Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,463
- 65,772
Hello
Kwanza zioshe vizuri sana karanga zako kisha weka chumvi ya kutosha, then una ziaacha kwa muda fulani ndio una weka jikoni kwa moto mdogo kama hivi
Endelea kukologa pole pole mpka zibadirike kama hivi
Uku una zio onja ili zisije ungua zikiwa teyari ziache zipoe
Baada ya hapo mm nilichukua na karanga ambazo siku zikaanga nika zichanganya mimi napenda hivi tu zina kuwaga mzuri sana ukiweza jaribu
Niambie ni kitu gani kingine una tamani kujua kupika niki pike wiki hii
Kwanza zioshe vizuri sana karanga zako kisha weka chumvi ya kutosha, then una ziaacha kwa muda fulani ndio una weka jikoni kwa moto mdogo kama hivi
Endelea kukologa pole pole mpka zibadirike kama hivi
Baada ya hapo mm nilichukua na karanga ambazo siku zikaanga nika zichanganya mimi napenda hivi tu zina kuwaga mzuri sana ukiweza jaribu
Niambie ni kitu gani kingine una tamani kujua kupika niki pike wiki hii