Jinsi ya kujikinga na "connection", fuata na njia hizi

TODAYS

JF-Expert Member
Apr 30, 2014
13,776
21,280
Kwanza ikimbie zinaa kama hujaoa acha, kama umeoa tulia naye na kama huna jifunze useja.

Twende kazi:

a) Chukua simu zote ziweke kwenye begi 😃!

b) Kama upo lodge muombe muhudumu akupe fagio hakikisha chumba kisafi, yaani hakikisha hamna takataka inayoweza kuhisiwa kurekodi humo 😃!

c) Usiiamini TV ya lodge mkuu na ole wako iwe smart 🤓, zima na ifunike kwa blanket 😅!

d) Uwe makini na zile eti nikae juu au umpe nafasi to msalani, asee ukiweza msindikize kuzuia connection mkuu 😃!.


e) Vigezo na masharti vizingatiwe maana kuna watoto wa kizazi hiki wanaitafuta pesa kwa nguvu sana.

f). Ongezea ...

Ukiingia kichwa kichwa kesho wanao wanakuita 'Baba njoo umuangalie huyu kafanana na wewe'🤓
 
Kula pisi yenye kitambi na ma....n..yo...NY.....O mlalo hawezi record nakwambia
WEweeeee, huwajui wanawale labda, hawanaga cha kupoteza hawana aibu tofauti na mwanaume.
We msanii Nandi imagine na ule mchupi aliovaaga halafu anapigwa dole nyuma ila walaaa utasema hakija happen kitu 😂😂😂😂.

Lilija suala la pesa wanawake hawajal mswalie mtume wala nabii, lolote linafanyika
 
WEweeeee, huwajui wanawale labda, hawanaga cha kupoteza hawana aibu tofauti na mwanaume.
We msanii Nandi imagine na ule mchupi aliovaaga halafu anapigwa dole nyuma ila walaaa utasema hakija happen kitu 😂😂😂😂.

Lilija suala la pesa wanawake hawajal mswalie mtume wala nabii, lolote linafanyika
Hawa watu sijui wana link gani na hela🤔watafiti warudi field wafanye research, Hata video nyingi zinazovuja ni wenyewe tu wanavujisha mfano za gigy kaamua kuuza mwenyw
 
Kwanza ikimbie zinaa kama hujaoa acha, kama umeoa tulia naye na kama huna jifunze useja.

Twende kazi:

a) Chukua simu zote ziweke kwenye begi 😃!

b) Kama upo lodge muombe akupe fagio hakikisha chumba kisafi, yaani hakikisha hamna takataka inayoweza kuhisiwa kurekodi humo 😃!

c) Usiiamini TV ya lodge mkuu na ole wako iwe smart 🤓, zima na ifunike kwa blanket 😅!

d) Uwe makini na zile eti nikae juu au umpe nafasi to msalani, asee ukiweza msindikize kuzuia connection mkuu 😃!.


e) Vigezo na masharti vizingatiwe maana kuna watoto wa kizazi hiki wanaitafuta pesa kwa nguvu sana.

f). Ongezea ...

Ukiingia kichwa kichwa kesho wanao wanakuita 'Baba njoo umuangalie huyu kafanana na wewe'🤓
kwanini mtembee na watu msio waamini
 
WEweeeee, huwajui wanawale labda, hawanaga cha kupoteza hawana aibu tofauti na mwanaume.
We msanii Nandi imagine na ule mchupi aliovaaga halafu anapigwa dole nyuma ila walaaa utasema hakija happen kitu 😂😂😂😂.

Lilija suala la pesa wanawake hawajal mswalie mtume wala nabii, lolote linafanyika
Tazama nyimbo zote za Uchi wao ndio wako Uchi kwenye Hiphop na Blues ila wanaume wamevaa kuanzia juu hadi chini....

Kwenye swala la pesa na starehe wanawake msiwachukulie po kabisa.

They can do anything......say again Anything.
 
Uzuri wa sisi Wabongo huwa tuna shobo na vitu vipya tukishazoea tunaona kawaida tuu, tumeona video ngap chafu za watu zimevuja lkn sasa hv raia wameshasahau na kuona n kitu cha kawaida.

Hao akina ambarutty sasa hv wapo na wanaendelea na maisha yao ya kila siku na kupata michongo, kama mnakumbuka aliwahi kuitwa mashuleni kuwaasa wanafunzi wakike nadhani kutumia pedi.
 
Back
Top Bottom