TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,776
- 21,280
Kwanza ikimbie zinaa kama hujaoa acha, kama umeoa tulia naye na kama huna jifunze useja.
Twende kazi:
a) Chukua simu zote ziweke kwenye begi 😃!
b) Kama upo lodge muombe muhudumu akupe fagio hakikisha chumba kisafi, yaani hakikisha hamna takataka inayoweza kuhisiwa kurekodi humo 😃!
c) Usiiamini TV ya lodge mkuu na ole wako iwe smart 🤓, zima na ifunike kwa blanket 😅!
d) Uwe makini na zile eti nikae juu au umpe nafasi to msalani, asee ukiweza msindikize kuzuia connection mkuu 😃!.
e) Vigezo na masharti vizingatiwe maana kuna watoto wa kizazi hiki wanaitafuta pesa kwa nguvu sana.
f). Ongezea ...
Ukiingia kichwa kichwa kesho wanao wanakuita 'Baba njoo umuangalie huyu kafanana na wewe'🤓
Twende kazi:
a) Chukua simu zote ziweke kwenye begi 😃!
b) Kama upo lodge muombe muhudumu akupe fagio hakikisha chumba kisafi, yaani hakikisha hamna takataka inayoweza kuhisiwa kurekodi humo 😃!
c) Usiiamini TV ya lodge mkuu na ole wako iwe smart 🤓, zima na ifunike kwa blanket 😅!
d) Uwe makini na zile eti nikae juu au umpe nafasi to msalani, asee ukiweza msindikize kuzuia connection mkuu 😃!.
e) Vigezo na masharti vizingatiwe maana kuna watoto wa kizazi hiki wanaitafuta pesa kwa nguvu sana.
f). Ongezea ...
Ukiingia kichwa kichwa kesho wanao wanakuita 'Baba njoo umuangalie huyu kafanana na wewe'🤓