minjapeter
Member
- Sep 19, 2017
- 14
- 1
Umesema miongoni mwa faida ya ku root simu ni Kuiongezea uwezo simu kwa kuongeza version baada ya Ku root Je! Itajiongeza yenyewe automatic baada ya Ku root au kuna sehemu utachagua Wewe iongezeke hadi version IPI?? Au inaongezeka kwa step1 kama ilikuwa 5.0 unaweza kuwa 6.0??? Na IPI faida ya ongezeko LA version kwenye simu??? Je labda inaweza ongeza uwezo wa camera au?? Nahitaji kujua b4 sijaamua Ku root kwakweli
Kiongozi simu yako fanya kuflash kwa kutumia unlocked firmware au nenda kwa fundi aliyekaribu yako akusaidie .pia kuroot simu yako fuata njia za kuroor kwa kutumia pc nadhani nimezieleza .Tecno R6 from tigo
Msaada tafadhali,inaomba pin nikiweka lain nyingine. Promotion fro TigoZTE Kis3 max
Hii ata mimi nikifa nikiwa kuiroot mwaka JanaBado hujaroot c8 mkuu, ndo nilichokuwa nikihitaji
Wanaita ku jail break na ukiijailbreak iphone ukakosea sehemu baaas we tupa simu maana hiyo di kama android eti inakupa option ya ku recoverVipi kuhusu IPhone 6 Plus
hata Mimi Nina c8 Akitoa maelekezo vizuri ndo ntajaribu coz kuna Rafiki yangu pia Ali root c8 mwaka Jana ikafa hadi LeoHii ata mimi nikifa nikiwa kuiroot mwaka Jana
Naombeni jibu mkuuNaomba kuuliza ukitaka kufuta Google account ya mtu mwingine kwenye simu unaifutaje bila kujua password zake
Mkuu Unapatikana wap.?Nataka Unisaidie Ku Root Simu Yang Lenovo K4 Note Vibe Njia zote Nilijarbu NkashindwaSimu gani ndugu unataka ufanye unlock network ?
nipo mkoa wa shinyanga ndugu yanguMkuu Unapatikana wap.?Nataka Unisaidie Ku Root Simu Yang Lenovo K4 Note Vibe Njia zote Nilijarbu Nkashindwa
Dah Nipo Arusha.. Vp Una Root Kwa Gharamanipo mkoa wa shinyanga ndugu yangu
Android version ngapi ndugu ?Dah Nipo Arusha.. Vp Una Root Kwa Gharama
Android version ngapi ndugu ?
Poa kaka....ntafanyaa Ivoo by week Ijayo Ntakuchek Kwen team Viewer nakutaftaje kkMkuu hiyo simu yako inawezakana mpk uwe na pc kuna uzi niliuweka namna ya kuroot android 6.0 hadi 7.0 mpk pc ukipata nicheki team viewer niroot simu yako bila malipo yoyote kwako tu ili ulete udhibitisho sawa .