ashomile
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,913
- 2,967
hii simu android version ni NOUGAT narudia tena kuanzia android 6.0 mpk 7.0 hizi simu huwezi root bila pc yaani mpk pcTecno wx3 nime root kwa kutumia kingroot,kingoroot, imekataa kabisa.
hii simu android version ni NOUGAT narudia tena kuanzia android 6.0 mpk 7.0 hizi simu huwezi root bila pc yaani mpk pcTecno wx3 nime root kwa kutumia kingroot,kingoroot, imekataa kabisa.
Mkuu Bora umekuja humu mwenyewe nilitaka nijue kuroot simu Ambayo ni Android Version yake ni 7 yaani ukinipa maelezo nikaweza nitakushukuru sana mkuu.Faida zake .
1.kuiongezea utendaji kazi simu yako kwa kuweka android version mpya baada ya kuroot.
2.Simu yako kuweza kutunza moto.
3.Simu yako kuwa na uwezo wa kuondoa application ambazo zimekuja na simu ambavyo si rahisi kuondoa km haunaroot simu yako .
4.Simu yako kuwa na uwezo wa kudownload application ambazo zilikuwa zikakataa ila baada ya kuroot hukubali .
5.Simu yako kuwa salama na huru kufanya wizi wa vitu vilivyopo playstore ambavyo vingine vinakuja na licences lkn ukiroot utaiba application na kuondoa licences yake au kuonesha umelipia kitu na kupewa vertification km poweramp ,titanium key premium n.k
ZIPO FAIDA NYINGI LAKINI NI BAADHI TU NIMEKUPA HIZO .
HASARA SASA
1.KUONDOA WARRANTY KWENYE SIMU YAKO .
2.SIMU YAKO KUSTUCK WAKATI UNAPEROOZ VITU ILA UKIFUATA MUONGOZO VEMA HILI HUTOKUTANA NALO .
3.KUUA SIMU MILELE NA MILELE KM HUTOFUATA SHERIA ZA KUROOT SIMU .
4 .SIMU YAKO KUWA NA ADS WENGI MPK UWEKE AD BLOCKS ILI KUWAONDOA .
NI HAYO TU HAYA LETENI MENGINE .
Ahsante kwa ushaulihii simu android version ni NOUGAT narudia tena kuanzia android 6.0 mpk 7.0 hizi simu huwezi root bila pc yaani mpk pc
Mkuu habari... Nielekeze namna ya ku root TECNO R6 7.0, Maana kila njia imeshindikana..hii simu android version ni NOUGAT narudia tena kuanzia android 6.0 mpk 7.0 hizi simu huwezi root bila pc yaani mpk pc
Simu gani ndugu unataka ufanye unlock network ?Mkuu habari... Nielekeze namna ya ku root TECNO R6 7.0, Maana kila njia imeshindikana..
Nimetumia kingroot kwa pc lakini hakuna mafanikio, nikatumia kingoroot pia hakuna mafanikio.
Msaada tafadhali.
Pia naomba kuelekezwa namna ya kufanya network unlock ya the same phone.
Ahsante
Tecno R6 from tigoSimu gani ndugu unataka ufanye unlock network ?
Mkuu halo solution uwe na firmware unlocked or peleka kwa nafundi software wataunlock ila km inadai code ukiweka laini nyingine hemu niambie nikufanyie utaratibu .Tecno R6 from tigo
Sijawahi kuroot iphone ht mara moja ndugu yanguVipi kuhusu IPhone 6 Plus
kuroot simu yako version 7.0 inawezekana nitaorodhesha vitu muhimu ili uroot simu yako ila hakikisha una pc pamoja na usb cable .Mkuu habari... Nielekeze namna ya ku root TECNO R6 7.0, Maana kila njia imeshindikana..
Nimetumia kingroot kwa pc lakini hakuna mafanikio, nikatumia kingoroot pia hakuna mafanikio.
Msaada tafadhali.
Pia naomba kuelekezwa namna ya kufanya network unlock ya the same phone.
Ahsante
Utaroot nipe muda somo litaingiaMkuu Bora umekuja humu mwenyewe nilitaka nijue kuroot simu Ambayo ni Android Version yake ni 7 yaani ukinipa maelezo nikaweza nitakushukuru sana mkuu.
Hyo 10k tuTecno wx3 nime root kwa kutumia kingroot,kingoroot, imekataa kabisa.
Bado hujaroot c8 mkuu, ndo nilichokuwa nikihitajiWala PC haihitajiki ndugu yangu nimeroot simu nyingi c5 c8 bila PC.
kwanini unasema sijaroot haya njoo whatssap kwa hii namba nikuelekeze namna ya kuroot simj yako .Bado hujaroot c8 mkuu, ndo nilichokuwa nikihitaji
Mkuu threads yako hii hapa lkn unasema siwezi root simu yako mimi bila pc wakati naroot simu za kuanzia version 5.1 na kushuka bila pc , ingelikuwa samsung ndo ngumu kwa hizi new version lkn hata hivo zinarootiwa nazoHabarini ndug zangu nnatumia tecno c7 nataka kuiroot ivo naomba kwa yeyote anaefaham hii process anielekeze
c8 mkuu naroot nimekupm acha ubishi twende kwa vitendo simu zote njia ni moja ya kuroot aseee km inakubalika bila pc na simu yako amini inarootika bila pcBado hujaroot c8 mkuu, ndo nilichokuwa nikihitaji
We nipm ndugu yangu android version 6.0 uwe na pc pili bando la kutoshaHabarini ndug zangu nnatumia tecno c7 nataka kuiroot ivo naomba kwa yeyote anaefaham hii process anielekeze