Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 24,100
- 29,548
Kiswahili si lugha yako, hujui tofauti ya kufukuza na kunasa au kukamata mbu. Kaa hivyohivyo mpaka tutakapojua lugha yako.Mbona hamna mbu alienasa kwenye hiyo picha?
Kiswahili si lugha yako, hujui tofauti ya kufukuza na kunasa au kukamata mbu. Kaa hivyohivyo mpaka tutakapojua lugha yako.Mbona hamna mbu alienasa kwenye hiyo picha?
Jaribu kuwekaaa.... Ulete mrejeshokwa hiyo nikiweka,hamna haja ya kutumia net tena?
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Mkuu karafuu naweza kukutumia hata kilo nzima. Tutokomeze malaria kabisa
Asubuhi na jioni tuu... Dakka chache..Hii ya kukoroga mchanganyiko kwa siku nne si inakuwa issue?siku nne nzima umekaa sehemu unakoroga huo mchanganyiko? Ndugu hapa ndo pamenishinda maana nadhan hata mkono utakufa ganzi
Inategemea na ukubwa wa chumba chako.Malimao mangapi mkuu au vipande vingapi vinatosha kwa chumba
Pixha Kalii SanaaaMjomba hilo jina lako la bob lee swagger linanikumbusha muvi moja matata sanaaa inaitwa shooter ya nyota akiwa Mack waberg kama lee swagger. Pia yumo mtu mzima Danny Glover..ambaye hajaiona hii movie aitafute.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Inafukuza mbu Na sio mtego wa kunasa mbu
Mkuu pole kwa maswaliWanakimbilia pale ambapo harufu haiwafikii kabisa/ au ambapo pana afadhali kwenye hyo harufu. Mfano, Chini ya uvungu kwenye mlundikano wa nguo etc.
Hvyo ukija kufungua mlango / madrisha kama ni siku nyingine
wataondoka na kupotea moja kwa moja.
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]Mkuu pole kwa maswali
inakuwa ishafika asubuhi na hiyo dawa mbu hagusi sasa kwanini utupe limao lako wakati linaweza kutumika kwa kuweka kwenye chai na ukipenda unaenda mbali zaidi kwa maganda yake baada ya kukamua kujisugulia mwili wakati wa kuoga hasa kwenye kwapa kwa wale wenye jasho kali!Du, kwenye chai tena, mbu umewasahau tena.
Sasa kwa mbu aliyeingia chumbani, itamfukuza aelekee wapi?Inafukuza mbu Na sio mtego wa kunasa mbu
Kwani aliingilia wapi?Sasa kwa mbu aliyeingia chumbani, itamfukuza aelekee wapi?
Poaa mkuuInategemea na ukubwa wa chumba chako.
Wengine limao moja linatosha. Wengine mawili.
That is immaterial hoja ya msingi imeelewekaGood.
Pia ebu check pale kwenye "...NUNUA vitu vifuatavyo" ungebadilisha, badala ya neno hilo NUNUA tumia neno ANDAA. Maana baadhi ya watu hawanunui, wanavyo tayari.
Mchango wangu ni huo tu
Ni kweli, hata hivyo mtoa post amesharekebisha kuaccomodate hoja yangu!!!That is immaterial hoja ya msingi imeeleweka