Jinsi ya kufukuza mbu: Rahisi sana

Jinsi ya kufukuza mbu: Rahisi sana

Chumban...serious???
Ebu mkuu fanyia utafiti zaidi hilo eneo, kwamba wakifukuzwa wanatakiwa kwenda wapi?
Wanakimbilia pale ambapo harufu haiwafikii kabisa/ au ambapo pana afadhali kwenye hyo harufu. Mfano, Chini ya uvungu kwenye mlundikano wa nguo etc.

Hvyo ukija kufungua mlango / madrisha kama ni siku nyingine
wataondoka na kupotea moja kwa moja.
 
Mpaka pale limao lako litakapo pata fungus. Binafsi hua natoa asubui na kuweka kwenye fridge.
Asante Mkuu. Ingewezekana, JF ingeanzisha jukwaa la DIY(Do it yourself) na teknolojia kama hizi zikisha kuwa verified zina wekwa pale. Idadi ya wafuatiliaji wa JF wangeongezeka. Nadhani moderators, wata nisikia. Yaani hiyo page nina uhakika ingepata matangazo ya biashara ya kutosha ili kuingiza kipato kwa JF.
 
Wanakimbilia pale ambapo harufu haiwafikii kabisa/ au ambapo pana afadhali kwenye hyo harufu. Mfano, Chini ya uvungu kwenye mlundikano wa nguo etc.

Hvyo ukija kufungua mlango / madrisha kama ni siku nyingine
wataondoka na kupotea moja kwa moja.

Rejea kichwa cha habari ndugu. (Kufukuza) Kwa lugha ya kingereza wanaita (repellant)
Kwa maana hiyo hii dawa inawafanya mbu kuwa busy usiku kucha wanakimbia harufu na ww unatumia chance hiyo kuchapa usingizi.
 
Asante Mkuu. Ingewezekana, JF ingeanzisha jukwaa la DIY(Do it yourself) na teknolojia kama hizi zikisha kuwa verified zina wekwa pale. Idadi ya wafuatiliaji wa JF wangeongezeka. Nadhani moderators, wata nisikia. Yaani hiyo page nina uhakika ingepata matangazo ya biashara ya kutosha ili kuingiza kipato kwa JF.
Ni Kweli kabisa ndugu ni moja wapo ya fursa na watu kujichanganua na kuelewa mambo mbali mbaliiii....

Administration ya JF inabidi walifanyie mchakato hilii....
 
Kwa maana hiyo hii dawa inawafanya mbu kuwa busy usiku kucha wanakimbia harufu na ww unatumia chance hiyo kuchapa usingizi.
Mfano, ulale chumba ambacho ni jirani na jiko linalotoa moshii mwingi na unaingia ndani. Moshi unakukera umefanya kila namna imeshindikina, pengine utavumilia au utakimbia na kuondoka eneo hiloo...

Hivyoo mmbu atateseka sanaa akipata upenyo hata Asubuhi atakimbia vibaya mnoo.
 
Wee..! Jaribu kama hujakuta wamekutafuna haswa na kwa wale wa vimaji maji vya paleeee... utakuta wamejazana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom