Jakowili
Member
- Jun 4, 2012
- 68
- 36
yeah, ila uweke stock rom
Mtaalam C 6 nina Nokia E 71 i, original nayo imezidiwa nikiiwasha screen inawaka kama hazard na program inajifungua zenyewe, hii simu bado naipenda, utanisaidiaje maana mi si mjuzi saana ya hayo mambo, kama vipi niwekee mawasiliano yako nikutafute kama uko hapa dar, tafadhali