Jinsi ya kuflash simu aina zote

0962d70a17e2c9e6641ad2f3ad1a186f.jpg
 
infinity....nck dongle/box...z3x....volcano box....avator box.....octoplus....
 
kama mwezi umepita nahangaika na ile samsung s4 clone ya mdogo wangu ambayo inajirestart kila muda mpaka betri iishe chaji Wataalamu wa simu za android clone , nimehangaika nayo, mafundi wa mwanza chali, juzi nimeenda kariakoo fundi akaniambia iyo lete 30k nikampa ikamshinda nikaenda kwa wawili watatu chali, sasa nikaamua kutake matter in my hands, jana nimefanikiwa kuiflash na kuiroot kabisa, nikaona si vibaya kushare ugunduzi wangu huu....


Jinsi ya kuflash simu zenye MediaTek chipset

naamini clone zote zinatumia mtk pia nahisi hata za tecno nazo zina hii chipset

1. anza kwa kuandaa mazingira ya kuflash simu yako ambayo labda iko bricked, au ina tatizo lolote kama hii yangu iliyokuwa inajirestart muda wote

vitu unavyohitaji ni
a.) drivers za simu (kama chip yako ni MT65xx family download hapa) na
b.) Smart Phone flash tool download hapa
c.) Mtk Droid Tools download hapa
d.) ROM / firmware ya simu yako (hakikisha ni rom sahihi kwa model ya simu yako) Rom karibia zote zinapatikana hapa

2. Tuanze sasa
a.) chomeka simu yako na iache ifanye installation ya driver zote, kama zingua install driver hapo juu(kama simu yako ni mt65xx)
b.)kwa sababu simu za clone hazijulikani model maana zina imitate original, basi tutatumia MTK droid tool kujua model ya simu yetu. fungua application na uiache italeta details zote kuhusu simu

10480135_599055540215986_1375624687214936381_n.jpg


c.) tayari taarifa za simu tumezipata , kinachofuata hapo ni kudownload firmware specific kwa ajili ya simu yetu. ROM/firmware zipo hapa (ili kudownload inabidi ujisajili kwanza) pia unaweza kugoogle utapata tu. hakikisha una extract na ndani kuwe na faili MT(model ya simu yako)_Android_scatter.txt (hakikisha kuna neno scatter kwenye jina la hili file)

d.) hapo sasa kila kitu tunacho tunaweza kuanza kuflash simu yetu...
i. ichomoe simu, kisha fungua SP flash flash tools, sehemu ya scatter-loading file weka lile .txt file nililokwambia limo kwenye folder uliloextract kule juu

pia nenda options > usb mode iwe ticked pia hapohapo kwenye options angalia DA download all > Speed > force high speed inakuwa checked

10625067_599055556882651_3763621965207345634_n.jpg


ii. click download kisha iache (usichomeke simu kwanza mpaka imalize) ikimaliza chomeka simu bila betri ukisikia mlio wa simu imekuwa connected kwenye pc haraka rudisha betri bonyeza "firmware -> upgrade" kisha tulia itaanza kuflash simu

ii. kama kila kitu kimeenda sawa utaona progress kwa rangi ya njano kama kuna makosa itatokea rangi nyekundu na maelezo

10483716_599066903548183_2078077919794371100_n.jpg


ikikamilisha successiful, itaonesha kiduara cha kijani

10562946_599069000214640_788390772595478611_n.jpg



hapo sasa unaweza chomoa simu yako na kuiwasha na utaona inaanza kama mpya vile....



ukipenda unaweza kuiroot, kubadili IMEI, kuondoa application za kichina zote kwa kutumia MTK Droid tools


TAHADHARI: SITAHUSIKA KAMA UTAHARIBU SIMU YAKO, TRY AT YOUR OWN RISK
hapo unabadilishaje imei, au kurudisha imei iliyopotea?
 
kama mwezi umepita nahangaika na ile samsung s4 clone ya mdogo wangu ambayo inajirestart kila muda mpaka betri iishe chaji Wataalamu wa simu za android clone , nimehangaika nayo, mafundi wa mwanza chali, juzi nimeenda kariakoo fundi akaniambia iyo lete 30k nikampa ikamshinda nikaenda kwa wawili watatu chali, sasa nikaamua kutake matter in my hands, jana nimefanikiwa kuiflash na kuiroot kabisa, nikaona si vibaya kushare ugunduzi wangu huu....


Jinsi ya kuflash simu zenye MediaTek chipset

naamini clone zote zinatumia mtk pia nahisi hata za tecno nazo zina hii chipset

1. anza kwa kuandaa mazingira ya kuflash simu yako ambayo labda iko bricked, au ina tatizo lolote kama hii yangu iliyokuwa inajirestart muda wote

vitu unavyohitaji ni
a.) drivers za simu (kama chip yako ni MT65xx family download hapa) na
b.) Smart Phone flash tool download hapa
c.) Mtk Droid Tools download hapa
d.) ROM / firmware ya simu yako (hakikisha ni rom sahihi kwa model ya simu yako) Rom karibia zote zinapatikana hapa

2. Tuanze sasa
a.) chomeka simu yako na iache ifanye installation ya driver zote, kama zingua install driver hapo juu(kama simu yako ni mt65xx)
b.)kwa sababu simu za clone hazijulikani model maana zina imitate original, basi tutatumia MTK droid tool kujua model ya simu yetu. fungua application na uiache italeta details zote kuhusu simu

10480135_599055540215986_1375624687214936381_n.jpg


c.) tayari taarifa za simu tumezipata , kinachofuata hapo ni kudownload firmware specific kwa ajili ya simu yetu. ROM/firmware zipo hapa (ili kudownload inabidi ujisajili kwanza) pia unaweza kugoogle utapata tu. hakikisha una extract na ndani kuwe na faili MT(model ya simu yako)_Android_scatter.txt (hakikisha kuna neno scatter kwenye jina la hili file)

d.) hapo sasa kila kitu tunacho tunaweza kuanza kuflash simu yetu...
i. ichomoe simu, kisha fungua SP flash flash tools, sehemu ya scatter-loading file weka lile .txt file nililokwambia limo kwenye folder uliloextract kule juu

pia nenda options > usb mode iwe ticked pia hapohapo kwenye options angalia DA download all > Speed > force high speed inakuwa checked

10625067_599055556882651_3763621965207345634_n.jpg


ii. click download kisha iache (usichomeke simu kwanza mpaka imalize) ikimaliza chomeka simu bila betri ukisikia mlio wa simu imekuwa connected kwenye pc haraka rudisha betri bonyeza "firmware -> upgrade" kisha tulia itaanza kuflash simu

ii. kama kila kitu kimeenda sawa utaona progress kwa rangi ya njano kama kuna makosa itatokea rangi nyekundu na maelezo

10483716_599066903548183_2078077919794371100_n.jpg


ikikamilisha successiful, itaonesha kiduara cha kijani

10562946_599069000214640_788390772595478611_n.jpg



hapo sasa unaweza chomoa simu yako na kuiwasha na utaona inaanza kama mpya vile....



ukipenda unaweza kuiroot, kubadili IMEI, kuondoa application za kichina zote kwa kutumia MTK Droid tools


TAHADHARI: SITAHUSIKA KAMA UTAHARIBU SIMU YAKO, TRY AT YOUR OWN RISK

Nakupataje nilete yangu,ishawashinda mafundi wengi
 
Tumia menu hii *#*#3646633#*#*
Kipindi cha awali simu yangu ilikuwa inaonesha IMEI sawa na simu husika, hivyo kuonesha ni ORIGINAL ila baada ya kuwa inanizingua nikafanya Hard reset/ Factory reset ambayo imebadili IMEI kwa sasa!! Nikituma IMEI kwenda no ya TRCA 15090 baada ya KUPIGA*#06# inaleta IMEI mpya na Jina jipya la simu ambalo haliendani na simu husika!

BB Chip ni MT 65**, Android version 4.4.2. Nomba msaada wako jinsi ya kurudisha IMEI ya zamani kabla ya TCRA kuizia simu yangu.

CC: UncleUber , CHIEF MKWAWA
 
Kipindi cha awali simu yangu ilikuwa inaonesha IMEI sawa na simu husika, hivyo kuonesha ni ORIGINAL ila baada ya kuwa inanizingua nikafanya Hard reset/ Factory reset ambayo imebadili IMEI kwa sasa!! Nikituma IMEI kwenda no ya TRCA 15090 baada ya KUPIGA*#06# inaleta IMEI mpya na Jina jipya la simu ambalo haliendani na simu husika!

BB Chip ni MT 65**, Android version 4.4.2. Nomba msaada wako jinsi ya kurudisha IMEI ya zamani kabla ya TCRA kuizia simu yangu.

CC: UncleUber , CHIEF MKWAWA
Simu yako ni aina gani?
Ila kwa kuwa umesema ni mt bas tumia hii link kudownload application ya kuingiza IMEI

mtk-engineering-mode.en.uptodown.com/android
 
Download mtk engineering mode apk kisha fuata maelekezo namna ya kuweka imei
Mkuu msaada wako nmuhimu kwenye hii sim yangu vinginevyo nmekwisha....simu yangu ni Lg 2 og kabisa tatizo lilikuja hii simu ilitolewa IMEI no yake na nkipiga*#06# naletewa 0 na kwenye mfuniko wake wa hii simu kuna imei no nmetuma TCRA wananiambia simu yako orignal. Sasa kiongozi naomba utangulizi wako nfanyaje ili hii Imei iweze kuonekana kwenye simu yangu
 
Mkuu msaada wako nmuhimu kwenye hii sim yangu vinginevyo nmekwisha....simu yangu ni Lg 2 og kabisa tatizo lilikuja hii simu ilitolewa IMEI no yake na nkipiga*#06# naletewa 0 na kwenye mfuniko wake wa hii simu kuna imei no nmetuma TCRA wananiambia simu yako orignal. Sasa kiongozi naomba utangulizi wako nfanyaje ili hii Imei iweze kuonekana kwenye simu yangu
Mkuu kwa maarifa yangu kuhusiana na namna ya kubadili IMEI ni kwa njia mbili ya kwanza ni

Tumia menu hii *#*#3646633#*#*

Na njia ya pili ni kutumia application ya kuingiza imei ambayo kwa cm za mtk inajulikana kama
Mtk engineering mode
na simu za spreadtrum inajulijana kama
spreadtrum engineering mode
Na namna ya kuzipata hizi unaingia Google unaandika Mtk Engineering Mode Apk Download.
Moja kwa moja zitakuja link kibao za kuchagua na utadownload. Hvyo maelezo mengine yatafuata baada ya mojawapo ya hzo application kukubali
 
Simu yako ni aina gani?
Ila kwa kuwa umesema ni mt bas tumia hii link kudownload application ya kuingiza IMEI

mtk-engineering-mode.en.uptodown.com/android
Ahsante kwa kunireply.
MS Board: mobistel
Model no: Cynus F6
Mkuu Idea ya IT niliyo nayo ni ndogo. Maelezo Tafadhali ndg. Nikisha download afu nafanyeje kuirudisha IMEI ya awali? Make ninayo naikumbuka
 
Ahsante kwa kunireply.
MS Board: mobistel
Model no: Cynus F6
Sorry, naona kama hii Link haiko Active?
Ingia Google andika MTK ENGINEERING MODE APK DOWNLOAD alaf zitakuja link nyingi ila itakuwa vzur ukichagua link iliyokwenye mtandao wa 'uptodownload" na hyo apk ina kb kama 169 ni ndogo sana download na uinstal baada ya hapo ikifanikiwa kuingia nitakupa maelezo mengine
 
Ahsante kwa kunireply.
MS Board: mobistel
Model no: Cynus F6
Mkuu Idea ya IT niliyo nayo ni ndogo. Maelezo Tafadhali ndg. Nikisha download afu nafanyeje kuirudisha IMEI ya awali? Make ninayo naikumbuka
Mkuu nakuwekea link hapa chini ni nzur kwa maelekezo ya hatua kwa hatua namna ya kurudisha imei ya awal kutokana na hyo program uliyoidownload mwanzo

HOW TO FIX INVALID IMEI {3 METHODS} | Micromax unite 2 official

Sio mjuaj sana kama nakosea wataalamu wanaweza nisahihisha
 
Mkuu nakuwekea link hapa chini ni nzur kwa maelekezo ya hatua kwa hatua namna ya kurudisha imei ya awal kutokana na hyo program uliyoidownload mwanzo

HOW TO FIX INVALID IMEI {3 METHODS} | Micromax unite 2 official

Sio mjuaj sana kama nakosea wataalamu wanaweza nisahihisha
Daah nashukuru sna mkuu. Maelezo yako clear sn.
Ngoja nipige kazi naona boss anazunguka zunguka hapa asije ni mind bure!! Any time nitakupa feedback.
Ubarikiwe sanaaaaaaa.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Back
Top Bottom