PNC
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 8,107
- 14,352
Daah nashukuru sna mkuu. Maelezo yako clear sn.
Ngoja nipige kazi naona boss anazunguka zunguka hapa asije ni mind bure!! Any time nitakupa feedback.
Ubarikiwe sanaaaaaaa.
Daah nashukuru sna mkuu. Maelezo yako clear sn.
Ngoja nipige kazi naona boss anazunguka zunguka hapa asije ni mind bure!! Any time nitakupa feedback.
Ubarikiwe sanaaaaaaa.
hata mimi pia nina lg g2 ilipoteza imei baada ya kupgrade tuMkuu msaada wako nmuhimu kwenye hii sim yangu vinginevyo nmekwisha....simu yangu ni Lg 2 og kabisa tatizo lilikuja hii simu ilitolewa IMEI no yake na nkipiga*#06# naletewa 0 na kwenye mfuniko wake wa hii simu kuna imei no nmetuma TCRA wananiambia simu yako orignal. Sasa kiongozi naomba utangulizi wako nfanyaje ili hii Imei iweze kuonekana kwenye simu yangu
Mkuu na mim napenda sana vtu hivi, ebu nisaidie nahtaji kujifunza ata kama ni kwa ada kidogo nipo tayari. Nielekeze ofisin kwako nije tuzungumze. Ajira cku hizi ngumu so inabidi tujiajiri wenyewe.Binafsi sijawahi kusikia chuo wanachofundisha kozi hiyo,isipokuwa watu wengi hujifunza kwa watu wenye ofisi zao na uzoefu katka kazi hiyo, mimi binafsi niemwahi kufundisha watu ktk ofisi yangu siku za nyuma na nikagundua vitu muhimu viwili,kwanza unaweza kumfundisha mtu kwa kumpa lectures na akwa anachuka hata notes lakini mwisho wa siku akashindwa kufanya kazi, pili ukamchukua mtu hata shule hajasoma kabisa lakini ukakaa nae ofissini baada ya miezi michache utakuta anajua kuflash na kutengeneza vizuri sana! sasa hapo kama ni mtu mkomaaji kwenye forums na ameisha jifunza kazi kwa vitendo basi atakuwa mtalaam safi kabisa!