Jinsi ya kuflash simu aina zote

kama sijakose nadhani ni makutano ya uhuru na swahili. Leo nitaku pm nikupe contact za NAHEEM kisha utajribu kutathmin.hapo utapata kila aina ya mabox ila anza na hayo ambayo yamependekezwa na wadau.
asante kwa maelekezo.
 
.HAYA SASA. Unataka kuua simu za watu, wewe huna hata kaujuzi kadogo ka haya masuala lakini {unangangania}, au unataka kuwa kama kinyozi kujifunzia vichwani kwa watu. Ukisikia kuflash simu unachukulia kama toilet tu. nimempenda huyo aliye ulizia kuhusu vyuo au mahali pa kujifunzia lakini hakuana alie mjibu
Mauweeee!!
 
Lkn bro kumbe hakuna kifaa maalum ambacho unaconect na pc
Ndo kinaweza kuflash cm ?
Usb tu unaweza kulash cm ?
 
Lkn bro kumbe hakuna kifaa maalum ambacho unaconect na pc
Ndo kinaweza kuflash cm ?
Usb tu unaweza kulash cm ?

kuflash nnavyojua mie ni kufuta kila kitu/kuformat kisha urudishe os upya...

kilichonifanya nipeleke kwa mafundi nilikuwa nikiamini kuna kifaa kinahusika kuflash, ila nilipogoogle nikagundua sio lazima icho kifaa, kwani zile modem za e173 tulitumia kifaa chochote kuflash?
 
Nataka kufanyia zoezi hii kitu Tecno yangu maana na mm kuna jamaa angu anayo Tab inaji restart...

Na inashindwa kudetect SIM card sasa sijui ni hardware issue au software issue?
 
Nataka kufanyia zoezi hii kitu Tecno yangu maana na mm kuna jamaa angu anayo Tab inaji restart...

Na inashindwa kudetect SIM card sasa sijui ni hardware issue au software issue?
jaribu ulete feedback
 
Nataka nije niharibu kutumia ubuntu os kwa lumia yangu nione kama itakubali.,
 
kama mwezi umepita nahangaika na ile samsung s4 clone ya mdogo wangu ambayo inajirestart kila muda mpaka betri iishe chaji https://www.jamiiforums.com/tech-ga...76587-wataalamu-wa-simu-za-android-clone.html , nimehangaika nayo, mafundi wa mwanza chali, juzi nimeenda kariakoo fundi akaniambia iyo lete 30k nikampa ikamshinda nikaenda kwa wawili watatu chali, sasa nikaamua kutake matter in my hands, jana nimefanikiwa kuiflash na kuiroot kabisa, nikaona si vibaya kushare ugunduzi wangu huu....


Jinsi ya kuflash simu zenye MediaTek chipset

naamini clone zote zinatumia mtk pia nahisi hata za tecno nazo zina hii chipset

1. anza kwa kuandaa mazingira ya kuflash simu yako ambayo labda iko bricked, au ina tatizo lolote kama hii yangu iliyokuwa inajirestart muda wote

vitu unavyohitaji ni
a.) drivers za simu (kama chip yako ni MT65xx family download hapa) na
b.) Smart Phone flash tool download hapa
c.) Mtk Droid Tools download hapa
d.) ROM / firmware ya simu yako (hakikisha ni rom sahihi kwa model ya simu yako) Rom karibia zote zinapatikana hapa

2. Tuanze sasa
a.) chomeka simu yako na iache ifanye installation ya driver zote, kama zingua install driver hapo juu(kama simu yako ni mt65xx)
b.)kwa sababu simu za clone hazijulikani model maana zina imitate original, basi tutatumia MTK droid tool kujua model ya simu yetu. fungua application na uiache italeta details zote kuhusu simu

10480135_599055540215986_1375624687214936381_n.jpg


c.) tayari taarifa za simu tumezipata , kinachofuata hapo ni kudownload firmware specific kwa ajili ya simu yetu. ROM/firmware zipo hapa (ili kudownload inabidi ujisajili kwanza) pia unaweza kugoogle utapata tu. hakikisha una extract na ndani kuwe na faili MT(model ya simu yako)_Android_scatter.txt (hakikisha kuna neno scatter kwenye jina la hili file)

d.) hapo sasa kila kitu tunacho tunaweza kuanza kuflash simu yetu...
i. ichomoe simu, kisha fungua SP flash flash tools, sehemu ya scatter-loading file weka lile .txt file nililokwambia limo kwenye folder uliloextract kule juu

pia nenda options > usb mode iwe ticked pia hapohapo kwenye options angalia DA download all > Speed > force high speed inakuwa checked

10625067_599055556882651_3763621965207345634_n.jpg


ii. click download kisha iache (usichomeke simu kwanza mpaka imalize) ikimaliza chomeka simu bila betri ukisikia mlio wa simu imekuwa connected kwenye pc haraka rudisha betri bonyeza "firmware -> upgrade" kisha tulia itaanza kuflash simu

ii. kama kila kitu kimeenda sawa utaona progress kwa rangi ya njano kama kuna makosa itatokea rangi nyekundu na maelezo

10483716_599066903548183_2078077919794371100_n.jpg


ikikamilisha successiful, itaonesha kiduara cha kijani

10562946_599069000214640_788390772595478611_n.jpg



hapo sasa unaweza chomoa simu yako na kuiwasha na utaona inaanza kama mpya vile....



ukipenda unaweza kuiroot, kubadili IMEI, kuondoa application za kichina zote kwa kutumia MTK Droid tools


TAHADHARI: SITAHUSIKA KAMA UTAHARIBU SIMU YAKO, TRY AT YOUR OWN RISK

Mda wote huo umejificha wap we mtaalam bhana! Nipm ktk hii namba tufanye kaz bhana on air
 
C6 hebu nisaidie mawazo kidogo nina samsung ya kichina ni i8190 MT6575 nimepata ROM yake vzr na nikifuata procedure hapo juu inaenda hadi mwisho ila ukiwasha kioo kinakuwa cheupe na hakuna kinachoendelea zaidi ya kusikia iki vibrate kidogo tu....
 
Last edited by a moderator:
C6 hebu nisaidie mawazo kidogo nina samsung ya kichina ni i8190 MT6575 nimepata ROM yake vzr na nikifuata procedure hapo juu inaenda hadi mwisho ila ukiwasha kioo kinakuwa cheupe na hakuna kinachoendelea zaidi ya kusikia iki vibrate kidogo tu....

wakati unaanza kuweka rom hakukuwa na neno lolote kuonesha kulikuwa na makosa popote?
 
Last edited by a moderator:
C6 hebu nisaidie mawazo kidogo nina samsung ya kichina ni i8190 MT6575 nimepata ROM yake vzr na nikifuata procedure hapo juu inaenda hadi mwisho ila ukiwasha kioo kinakuwa cheupe na hakuna kinachoendelea zaidi ya kusikia iki vibrate kidogo tu....
First boot! baada ya kuflash inachukua muda inabidi usubirie, kama ime vibrate ndio ipo katika prosses.

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 
Last edited by a moderator:
wakati unaanza kuweka rom hakukuwa na neno lolote kuonesha kulikuwa na makosa popote?

Kaka nimeweza kuroot tecno h5,ila ujanja wa kuweka ROM ndo shida...hasa sijui kufanya back up ya system....naomba Maelezo bro,niweke ROM mpya.
 
Kaka nimeweza kuroot tecno h5,ila ujanja wa kuweka ROM ndo shida...hasa sijui kufanya back up ya system....naomba Maelezo bro,niweke ROM mpya.

kwanza tafuta rom ya simu yako. kisha fuata step pale juu...
 
Back
Top Bottom