Dah eti "hakuna alichopata shuleni" ππ watu mna kejeli nzitoDah we jamaa kweli hakuna ulichopata shuleni kabisa, kama hujui kitu usiongee uongo ongea kitu cha kueleweka na cha uhakika au soma sana
Kuna haja gani ya kutukana?. Mimi nimeongea ninachokijua. Vizuri na wewe umwambie muuliza swali unachokijua. Sio mambo yote yanahitaji shule,shule,shule. Mbona wasomi wetu wa siku hizi hatuyaoni mabadiriko yoyote mliyotuletea?. Zaidi tu tunaona maprofesa wakiokotwa majalalani. Hapo na wewe utajiita umeelimika kwa kutukana wengine?. Nikikuambia nina watoto watatu kwa mfumo huo?. Unaweza ukasema nimebahatisha. Lakini ndivyo tulivyopanga na nimefanikiwaDah we jamaa kweli hakuna ulichopata shuleni kabisa, kama hujui kitu usiongee uongo ongea kitu cha kueleweka na cha uhakika au soma sana
Ipo hivi, mfano mrahisi uwe kwa yule mwanamke mwenye mzunguko wa siku 28, siku ya kwanza kuona siku zake mf. Leo tarehe 5 Dec, siku ya hatari ambapo yai linakuwa tayari kwa kutungisha mimba ni siku ya 14 tangu kaona siku zake, yaani itakuwa tarehe 18 dec, yai huwa na uwezo wa kukaa masaa 72 yaani siku 3, ila mbegu za mwanaume zinauwezo wa kukaa siku tatu-tano kutegemea ubora wa mbegu.
MTOTO WA JINSIA IPI?!
mwanaume anambegu zenye XY na mwanamke ana XX pekee, mbegu ya X huwa inaishi muda mrefu ila haina spidi iingiapo mwilini mwa mwanamke na mbegu ya Y inaspid sana ila haiishi muda mrefu, kama wahitaji mtoto wa kiume, yabidi kufanya mapenzi na mwanamke siku ya 13, 14 na 15 tangu aone siku zake, kwa maana kuwa hizi ni siku ambazo yai huwa linatoka na mbegu ziingiapo mwilini basi ni rahisi sana kwa Y kukimbia na kujitungisha, endapo utafanya mapenzi na mwanamke siku ya 11, na 12 kuna uwezekano mkubwa kupata mtoto wa kike maana yai linakuwa bado na mpaka litakapokuwa tayari basi kuna uwezekano mkubwa mbegu za Y kuwa zishakufa,
Hiyo ndo njia pekee mkuu...zingine propagandaAnhaa... Hii kali
Umepanick sana mkuu,kunywa maji kwanza,nijibu pole pole,usije ukajikaba manenoDah we jamaa kweli hakuna ulichopata shuleni kabisa, kama hujui kitu usiongee uongo ongea kitu cha kueleweka na cha uhakika au soma sana
Ipo hivi, mfano mrahisi uwe kwa yule mwanamke mwenye mzunguko wa siku 28, siku ya kwanza kuona siku zake mf. Leo tarehe 5 Dec, siku ya hatari ambapo yai linakuwa tayari kwa kutungisha mimba ni siku ya 14 tangu kaona siku zake, yaani itakuwa tarehe 18 dec, yai huwa na uwezo wa kukaa masaa 72 yaani siku 3, ila mbegu za mwanaume zinauwezo wa kukaa siku tatu-tano kutegemea ubora wa mbegu.
MTOTO WA JINSIA IPI?!
mwanaume anambegu zenye XY na mwanamke ana XX pekee, mbegu ya X huwa inaishi muda mrefu ila haina spidi iingiapo mwilini mwa mwanamke na mbegu ya Y inaspid sana ila haiishi muda mrefu, kama wahitaji mtoto wa kiume, yabidi kufanya mapenzi na mwanamke siku ya 13, 14 na 15 tangu aone siku zake, kwa maana kuwa hizi ni siku ambazo yai huwa linatoka na mbegu ziingiapo mwilini basi ni rahisi sana kwa Y kukimbia na kujitungisha, endapo utafanya mapenzi na mwanamke siku ya 11, na 12 kuna uwezekano mkubwa kupata mtoto wa kike maana yai linakuwa bado na mpaka litakapokuwa tayari basi kuna uwezekano mkubwa mbegu za Y kuwa zishakufa,
Umejibu kienyeji zaidiNjia rahisi,anza kuhesabu ile siku yako ya kwanza kuingia mwakani. Kuanzia siku hiyo ya kwanza kuingia mwakani mpaka siku ya 10,siku hiyo tayari unaweza ku-conceive. Na hiyo siku ya 10 ni mtoto wa kike,mpaka siku ya 15 au 16 ni mtoto wa kike. Siku ya 17,18,19 ni mtoto wa kiume. Na ndio maana wanazaliwa sana watoto wa kike,ksbb ni siku za mwanzo tangu mwanamke amalize mwakani. Let's say kama unafanya kila siku lazima utakuwa unapata watoto wa kike tu ksbb viunganishi vya mtoto vinaunganishwa kwenye zile siku za mwanzo kabla ya kufikia tarehe ya zile za mtoto wa kiume.
Yahp kama utahesabu siku toka alivyokoma kuingia period itakuwa hiviOh... Nlisikia kwamba siku za hatari ni zile saba hadi tisa baada ya kutoka period!!!?
Hahah hii mpya...mkuu hakuna mbegu ya X na Y kwa mwanaume...Mbegu zote ni XY na ya mwanamke ni XX
kwahyo haijalishi mbegu ipi imefika ila probability ya kuzaa wa kiume na kike ni 50/50
Mbegu ya kiume(XY) ikiingia kwenye Yai(Xx) ambapo ukicross hizo Xx na Xy utaona kuna uwezekano wa kupata Xx mbili na XY mbili pia
.
Hizi story za tarehe na nini ni imani na Uganga...njia peke ya imani inayofanya kazi(Namimi ni shahidi kwa hili) Ni hii ya kiislam kwamba Ukitaka mtoto wa kike inabidi mwanamke awe wa kwanza kutoa mbegu yake wakati wa Sex(kupizi)...Na mkitaka mtoto wa kiume inabidi mwanaume awe wa Kwanza kutoa mbegu yake wakati wa sex.
Mkuu sijui kama unajua kuwa xy ziko slow kuliko xx kwa hiyo ni rahisi kupata mtoto wa kike kwa kuwa tunaangalia mshindi wa kwanza wa mbio .hizo crossing ni more theoretical ndoma KE ni wengi kwenye world populationHahah hii mpya...mkuu hakuna mbegu ya X na Y kwa mwanaume...Mbegu zote ni XY na ya mwanamke ni XX
kwahyo haijalishi mbegu ipi imefika ila probability ya kuzaa wa kiume na kike ni 50/50
Mbegu ya kiume(XY) ikiingia kwenye Yai(Xx) ambapo ukicross hizo Xx na Xy utaona kuna uwezekano wa kupata Xx mbili na XY mbili pia
.
Hizi story za tarehe na nini ni imani na Uganga...njia peke ya imani inayofanya kazi(Namimi ni shahidi kwa hili) Ni hii ya kiislam kwamba Ukitaka mtoto wa kike inabidi mwanamke awe wa kwanza kutoa mbegu yake wakati wa Sex(kupizi)...Na mkitaka mtoto wa kiume inabidi mwanaume awe wa Kwanza kutoa mbegu yake wakati wa sex.
Itakuwa bado hujaelewa hapo mkuu. Haijalishi siku zinatofautianaje za mwakani. Mfano yupo anaenda siku 3,4,5. Wewe hesabu tu kuanzia siku ile ya kwanza. Mfano leo tarehe 05,kama anaanza leo mwakani,yoyote yule,anza leo kumhesabia. Siku ya 10 yake itakuwa tarehe 14, hapo mtoto wa kike,mpaka tarehe 15,16,17,18 wa kike. Kuanzia tarehe 19,20,21,22 humo,hasa 20,21 hapo kitu ya kiume
Mkuu umeanza kwa maneno makali sanaDah we jamaa kweli hakuna ulichopata shuleni kabisa, kama hujui kitu usiongee uongo ongea kitu cha kueleweka na cha uhakika au soma sana
Ipo hivi, mfano mrahisi uwe kwa yule mwanamke mwenye mzunguko wa siku 28, siku ya kwanza kuona siku zake mf. Leo tarehe 5 Dec, siku ya hatari ambapo yai linakuwa tayari kwa kutungisha mimba ni siku ya 14 tangu kaona siku zake, yaani itakuwa tarehe 18 dec, yai huwa na uwezo wa kukaa masaa 72 yaani siku 3, ila mbegu za mwanaume zinauwezo wa kukaa siku tatu-tano kutegemea ubora wa mbegu.
MTOTO WA JINSIA IPI?!
mwanaume anambegu zenye XY na mwanamke ana XX pekee, mbegu ya X huwa inaishi muda mrefu ila haina spidi iingiapo mwilini mwa mwanamke na mbegu ya Y inaspid sana ila haiishi muda mrefu, kama wahitaji mtoto wa kiume, yabidi kufanya mapenzi na mwanamke siku ya 13, 14 na 15 tangu aone siku zake, kwa maana kuwa hizi ni siku ambazo yai huwa linatoka na mbegu ziingiapo mwilini basi ni rahisi sana kwa Y kukimbia na kujitungisha, endapo utafanya mapenzi na mwanamke siku ya 11, na 12 kuna uwezekano mkubwa kupata mtoto wa kike maana yai linakuwa bado na mpaka litakapokuwa tayari basi kuna uwezekano mkubwa mbegu za Y kuwa zishakufa,
Mkuu sijui kama unajua kuwa xy ziko slow kuliko xx kwa hiyo ni rahisi kupata mtoto wa kike kwa kuwa tunaangalia mshindi wa kwanza wa mbio .hizo crossing ni more theoretical ndoma KE ni wengi kwenye world population
Hata survival chance XY wanayo kubwa (kwa kuwa ziko slower) kuliko XX
Ukijua hayo kupata jinsia unayotaka ni rahisi kidogo na wote wanakufundisha kutafta jinsia unayotaka wanajua hayo
Kwa mfano ukisex siku ya ovulation basi kuna chance kubwa ya kupata wakike kwakuwa mbegu zake zina speed na pia ukiwahi sana kabla kusex kabla ya ovulation unawezapata wakiume kwa kuwa mbegu zina uwezo wakusurvive hadi siku ya ushindi japo ziko slower
Nirekebishwe nilipokosea
Kwa taarifa yako...Dah we jamaa kweli hakuna ulichopata shuleni kabisa, kama hujui kitu usiongee uongo ongea kitu cha kueleweka na cha uhakika au soma sana
Ipo hivi, mfano mrahisi uwe kwa yule mwanamke mwenye mzunguko wa siku 28, siku ya kwanza kuona siku zake mf. Leo tarehe 5 Dec, siku ya hatari ambapo yai linakuwa tayari kwa kutungisha mimba ni siku ya 14 tangu kaona siku zake, yaani itakuwa tarehe 18 dec, yai huwa na uwezo wa kukaa masaa 72 yaani siku 3, ila mbegu za mwanaume zinauwezo wa kukaa siku tatu-tano kutegemea ubora wa mbegu.
MTOTO WA JINSIA IPI?!
mwanaume anambegu zenye XY na mwanamke ana XX pekee, mbegu ya X huwa inaishi muda mrefu ila haina spidi iingiapo mwilini mwa mwanamke na mbegu ya Y inaspid sana ila haiishi muda mrefu, kama wahitaji mtoto wa kiume, yabidi kufanya mapenzi na mwanamke siku ya 13, 14 na 15 tangu aone siku zake, kwa maana kuwa hizi ni siku ambazo yai huwa linatoka na mbegu ziingiapo mwilini basi ni rahisi sana kwa Y kukimbia na kujitungisha, endapo utafanya mapenzi na mwanamke siku ya 11, na 12 kuna uwezekano mkubwa kupata mtoto wa kike maana yai linakuwa bado na mpaka litakapokuwa tayari basi kuna uwezekano mkubwa mbegu za Y kuwa zishakufa,
Njia rahisi,anza kuhesabu ile siku yako ya kwanza kuingia mwakani. Kuanzia siku hiyo ya kwanza kuingia mwakani mpaka siku ya 10,siku hiyo tayari unaweza ku-conceive. Na hiyo siku ya 10 ni mtoto wa kike,mpaka siku ya 15 au 16 ni mtoto wa kike. Siku ya 17,18,19 ni mtoto wa kiume. Na ndio maana wanazaliwa sana watoto wa kike,ksbb ni siku za mwanzo tangu mwanamke amalize mwakani. Let's say kama unafanya kila siku lazima utakuwa unapata watoto wa kike tu ksbb viunganishi vya mtoto vinaunganishwa kwenye zile siku za mwanzo kabla ya kufikia tarehe ya zile za mtoto wa kike
Ahsante mkuu reproduction naona ilinipitia kushotoMwishoni umevulunda.
Mwanaume ana X na Y
X- wa kike, na ina mbio sana, inawahi kufa (ndani ya masaa machache)
Y- wa kiume, kasi sio sana, inachelewa kufa (life_72hrs)
Ukifanya tendo siku za mwanzo sana 10, 11,12 una possiblity ya kupata mtoto wa kiume, kwani mbegu zikiingia X itakimbia haraka kama kawaida yake, na itakuta yai bado halijatoka na itasubir kidogo na kufa lakini Y anakuja mdogo mdogo na anaweza kusubiri yai litoke hadi siku 3
Correct,..exellentDah we jamaa kweli hakuna ulichopata shuleni kabisa, kama hujui kitu usiongee uongo ongea kitu cha kueleweka na cha uhakika au soma sana
Ipo hivi, mfano mrahisi uwe kwa yule mwanamke mwenye mzunguko wa siku 28, siku ya kwanza kuona siku zake mf. Leo tarehe 5 Dec, siku ya hatari ambapo yai linakuwa tayari kwa kutungisha mimba ni siku ya 14 tangu kaona siku zake, yaani itakuwa tarehe 18 dec, yai huwa na uwezo wa kukaa masaa 72 yaani siku 3, ila mbegu za mwanaume zinauwezo wa kukaa siku tatu-tano kutegemea ubora wa mbegu.
MTOTO WA JINSIA IPI?!
mwanaume anambegu zenye XY na mwanamke ana XX pekee, mbegu ya X huwa inaishi muda mrefu ila haina spidi iingiapo mwilini mwa mwanamke na mbegu ya Y inaspid sana ila haiishi muda mrefu, kama wahitaji mtoto wa kiume, yabidi kufanya mapenzi na mwanamke siku ya 13, 14 na 15 tangu aone siku zake, kwa maana kuwa hizi ni siku ambazo yai huwa linatoka na mbegu ziingiapo mwilini basi ni rahisi sana kwa Y kukimbia na kujitungisha, endapo utafanya mapenzi na mwanamke siku ya 11, na 12 kuna uwezekano mkubwa kupata mtoto wa kike maana yai linakuwa bado na mpaka litakapokuwa tayari basi kuna uwezekano mkubwa mbegu za Y kuwa zishakufa,
Mkuu sijui kama unajua kuwa xy ziko slow kuliko xx kwa hiyo ni rahisi kupata mtoto wa kike kwa kuwa tunaangalia mshindi wa kwanza wa mbio .hizo crossing ni more theoretical ndoma KE ni wengi kwenye world population
Hata survival chance XY wanayo kubwa (kwa kuwa ziko slower) kuliko XX
Ukijua hayo kupata jinsia unayotaka ni rahisi kidogo na wote wanakufundisha kutafta jinsia unayotaka wanajua hayo
Kwa mfano ukisex siku ya ovulation basi kuna chance kubwa ya kupata wakike kwakuwa mbegu zake zina speed na pia ukiwahi sana kabla kusex kabla ya ovulation unawezapata wakiume kwa kuwa mbegu zina uwezo wakusurvive hadi siku ya ushindi japo ziko slower
Nirekebishwe nilipokosea
Dah we jamaa kweli hakuna ulichopata shuleni kabisa, kama hujui kitu usiongee uongo ongea kitu cha kueleweka na cha uhakika au soma sana
Ipo hivi, mfano mrahisi uwe kwa yule mwanamke mwenye mzunguko wa siku 28, siku ya kwanza kuona siku zake mf. Leo tarehe 5 Dec, siku ya hatari ambapo yai linakuwa tayari kwa kutungisha mimba ni siku ya 14 tangu kaona siku zake, yaani itakuwa tarehe 18 dec, yai huwa na uwezo wa kukaa masaa 72 yaani siku 3, ila mbegu za mwanaume zinauwezo wa kukaa siku tatu-tano kutegemea ubora wa mbegu.
MTOTO WA JINSIA IPI?!
mwanaume anambegu zenye XY na mwanamke ana XX pekee, mbegu ya X huwa inaishi muda mrefu ila haina spidi iingiapo mwilini mwa mwanamke na mbegu ya Y inaspid sana ila haiishi muda mrefu, kama wahitaji mtoto wa kiume, yabidi kufanya mapenzi na mwanamke siku ya 13, 14 na 15 tangu aone siku zake, kwa maana kuwa hizi ni siku ambazo yai huwa linatoka na mbegu ziingiapo mwilini basi ni rahisi sana kwa Y kukimbia na kujitungisha, endapo utafanya mapenzi na mwanamke siku ya 11, na 12 kuna uwezekano mkubwa kupata mtoto wa kike maana yai linakuwa bado na mpaka litakapokuwa tayari basi kuna uwezekano mkubwa mbegu za Y kuwa zishakufa,
Mkuu wa kiume unalenga pembeni kama unaparaza fulani hivi halafu inakuwa show ya kibabe jasho mpk kwenye unyayo.. wakike unapiga katikati lkn lazima usimamie ukucha mixer wote muwe mnakatika Kama mnacheza bolingo.