Jinsi ya kubana matumizi kwenye budget ya chakula

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Apr 12, 2018
2,510
4,224
Wakuu habari zenu.Nimekuwa nikijiuliza na kupiga mahesabu ya kubana matumizi hususan katika suala la chakula kutokana na hali ya uchumi ya sasa ilivyo.Ningependa kufahamu kutoka kwa wale wenzangu na mimi ambao wapo single.Hivi kati ya kununua vyakula migahawani (wastani sahani 2000/=) au kujipikia mwenyewe kipi ni bora?
 
Binafsi naona kama unaishi peke yako yani upo single kupika chakula ni ghalama kuliko kula migahawani lkn pia inategemea na shughuli zako zikoje

Maana kama mchana utakula kazini chai unywe kazini jioni upike hapo unakwepa nini?

Faida kubwa pekee nikwamba utakula ukipendacho na quality uitakayo
 
It depends. Hakuna lililo bora.

Mi ni bachelor. Self employed. Nafanya kazi from home na inapobidi naenda site kwa client. Ila muda mwingi niko nyumbani.

Kwangu hakuna jiko hata la kuchemshia maji. Hizi ni sababu zangu, na zinaweza zisifanane na zako.

1. Nina kazi nyingi za kufanya. Kuandaa, kupika, post clean up itanichukua si chini ya masaa 6 kwa siku. Time better spent working.

2. Kuweka jiko, store ya vyakula na viungo kutaharibu the overall aesthetic ya my place. Kumbuka ni home office - air conditioned, electronics kibao. Upepo wa mzungu hauendani na harufu ya vitunguu

3. Vyakula ninavyopendelea kula sio optimal kupikia nyumbani. Nyamachoma, uta grill kila siku?

4. Sina hobby ya kupika. Sina hii talanta, siko creative jikoni. Najua kupika just the basics for survival.

5. Kula nje kunanipa variety. Naweza kula hata vitu nisivyoweza kupika. Najiuliza tu leo nile nini kisha natafuta sehemu kinapouzwa.

6. Nina usafiri binafsi unaoniwezesha kwenda kula popote haraka sana. Siko locked to a single provider. Always nabadilisha sehemu ninapokula ili kubadilisha ladha na kutafuta the best.

Kwa upande wa gharama nadhani what you want to eat matters more kuliko whether you cook or buy. Mimi ni foodie. My expenses za msosi zinarange katiya 200k - 350k a month.
 
It depends. Hakuna lililo bora.

Mi ni bachelor. Self employed. Nafanya kazi from home na inapobidi naenda site kwa client. Ila muda mwingi niko nyumbani.

Kwangu hakuna jiko hata la kuchemshia maji. Hizi ni sababu zangu, na zinaweza zisifanane na zako.

1. Nina kazi nyingi za kufanya. Kuandaa, kupika, post clean up itanichukua si chini ya masaa 6 kwa siku. Time better spent working.

2. Kuweka jiko, store ya vyakula na viungo kutaharibu the overall aesthetic ya my place. Kumbuka ni home office - air conditioned, electronics kibao. Upepo wa mzungu hauendani na harufu ya vitunguu

3. Vyakula ninavyopendelea kula sio optimal kupikia nyumbani. Nyamachoma, uta grill kila siku?

4. Sina hobby ya kupika. Sina hii talanta, siko creative jikoni. Najua kupika just the basics for survival.

5. Kula nje kunanipa variety. Naweza kula hata vitu nisivyoweza kupika. Najiuliza tu leo nile nini kisha natafuta sehemu kinapouzwa.

6. Nina usafiri binafsi unaoniwezesha kwenda kula popote haraka sana. Siko locked to a single provider. Always nabadilisha sehemu ninapokula ili kubadilisha ladha na kutafuta the best.

Kwa upande wa gharama nadhani what you want to eat matters more kuliko whether you cook or buy. Mimi ni foodie. My expenses za msosi zinarange katiya 200k - 350k a month.
Kwamba ukiweka jiko sijaelewa air con itafanyaje...ufafanuzi kiongozi.
 
Wakuu habari zenu.Nimekuwa nikijiuliza na kupiga mahesabu ya kubana matumizi hususan katika suala la chakula kutokana na hali ya uchumi ya sasa ilivyo.Ningependa kufahamu kutoka kwa wale wenzangu na mimi ambao wapo single.Hivi kati ya kununua vyakula migahawani (wastani sahani 2000/=) au kujipikia mwenyewe kipi ni bora?
kula kunywa uwezavyo,maisha yenyewe mafupi haya ya nini kujibana bana?
 
Binafsi sijawahi kufikiria kubana matumizi kwenye kula...huwa nina kamsemo kangu

Kama kula nako nabana matumizi nafanya nini sasa inamaana kuna tatizo mahali[haina maana ninapata kingi] .....nilipokuwa naishi mwenyewe nikipatacho kwa mwezi naingia shopping nanunua hadi bajeti yangu ya chakula inakamilika.

Baada ya hapo ndiyo naanza mambo mengine... cha ajabu sio kibonge wala.
 
Kwamba ukiweka jiko sijaelewa air con itafanyaje...ufafanuzi kiongozi.
Aircon haitakiwi kukaa kwenye chumba chenye source kubwa za heat kama jiko. Jiko litaongeza overall temperature ya room hivyo AC itapambana zaidi kuishusha.

Also ule mvuke utaongeza humidity ya room. Mojawapo ya kazi za AC ni kuremove humidity, ambapo itashindwa kufanya efficiently since its too much na inakuwa produced jikoni. Ukikaa kwenye chumba chenye AC na kina humidity kubwa it is ectremely uncomfortable - clammy air.

Ule moshi wa jikoni whatever unachopika utaenda kutulia kwenye air filter za AC. Harufu ya ulichopika haitaisha.
 
Binafsi sijawahi kufikiria kubana matumizi kwenye kula...huwa nina kamsemo kangu

Kama kula nako nabana matumizi nafanya nini sasa inamaana kuna tatizo mahali[haina maana ninapata kingi] .....nilipokuwa naishi mwenyewe nikipatacho kwa mwezi naingia shopping nanunua hadi bajeti yangu ya chakula inakamilika.

Baada ya hapo ndiyo naanza mambo mengine... cha ajabu sio kibonge wala.
Tuko sawa kote kasoro hapo kwenye ubonge.

Mimi ni bonge haswa. Nyinyi mnaoweza kula bila kunenepa hongereni.
 
Aircon haitakiwi kukaa kwenye chumba chenye source kubwa za heat kama jiko. Jiko litaongeza overall temperature ya room hivyo AC itapambana zaidi kuishusha.

Also ule mvuke utaongeza humidity ya room. Mojawapo ya kazi za AC ni kuremove humidity, ambapo itashindwa kufanya efficiently since its too much na inakuwa produced jikoni. Ukikaa kwenye chumba chenye AC na kina humidity kubwa it is ectremely uncomfortable - clammy air.

Ule moshi wa jikoni whatever unachopika utaenda kutulia kwenye air filter za AC. Harufu ya ulichopika haitaisha.
So ipo kwenye hicho hicho chumba ambacho ulitakiwa kupikia....

Asante mkuu... ila nadhani majiko ya gesi na kuni..mkaa ndiyo hatari....

Nimeona nyumba zenye ac hadi jikoni..ila zina chimney ndiyo maana nikauliza.
 
Shukrani..jitahidi uwaze saana waza ndoto kubwa usizoweza kuzitimiza, tafuta mwanamke unayempenda ila yeye hakupendi fanya mazoezi.

Hapo week mbili nyingi utashuka kama gunia la cement site.
Herein lies the problem... sioni point ya kuexert effort kupungua. My quality of life is excellent, najibeba vema, nina mobility ya kawaida. Tatizo tu ni can't fit in small places.
 
So ipo kwenye hicho hicho chumba ambacho ulitakiwa kupikia....

Asante mkuu... ila nadhani majiko ya gesi na kuni..mkaa ndiyo hatari....

Nimeona nyumba zenye ac hadi jikoni..ila zina chimney ndiyo maana nikauliza.
Yeah nina chumba na sebule AC nimeweka sebuleni/ofisini.

AC jikoni is overkill. Wanatakiwa watoboe ukuta waweke exhaust fans. Ila kwa domestic use na kama wana chimney saw haitawakera
 
Herein lies the problem... sioni point ya kuexert effort kupungua. My quality of life is excellent, najibeba vema, nina mobility ya kawaida. Tatizo tu ni can't fit in small places.
Vibonge karibu wote ukiwaambia umenenepa kweli huwa wanajibu mwili mwepesi...nimetoka kumuuliza mshkaji wangu juzi. Naogopa kuunyemelea uzee na ubonge that' s all.

But, at the end of the day if you feel comfortable with your body, good for you men..
 
Vibonge karibu wote ukiwaambia umenenepa kweli huwa wanajibu mwili mwepesi...nimetoka kumuuliza mshkaji wangu juzi. Naogopa kuunyemelea uzee na ubonge that' s all.

But, at the end of the day if you feel comfortable with your body, good for you men..
Wajaribishe. Jog nao, pigeni push ups, burpees, squats uangalie. Even better, pigeni physical hard work that is independent of body mass. Chimbeni mashimo, bebeni vitu vizito e.t.c Mimi sijanenepa leo, been fat for ages.

Yah, internally kwakweli ni issue. Uzee na ubonge? No such thing exists.🤣🤣 Hapa ni kuishi chap chap tumalize tuondoke tuwapishe wengine.
 
Back
Top Bottom