Jinsi ya kuanzisha jarida

Jinsi ya kuanzisha jarida

MaMals

Member
Joined
Oct 31, 2013
Posts
46
Reaction score
8
Habari zenu waungwana! hivi karibuni nimepata wazo la kuanzisha jarida format kama yale ya BANG!, ONSPOT, VIBE, KITANGOMA . Ila idea yangu ni unique kidogo na nimefanya research nimeona kuna tija endapo nikijipanga vizuri, litahusisha michoro na narrations .Nahitaji ushauri wenu, Je nahitaji rasilimali gani? (Watu, vitu, ujuzi) ili niweze kufanikisha wazo langu. Wasalaam!!!
 
Mpaka unauliza swali hili i guess you're such a noob on Designing errand.
There fore.

-Unachokitaka wewe nikuanzisha jarida, sio kujifunza jinsi gani ya kutengeneza jarida.
(kama kujifunza then it will take a lot of time)
-Nadhani unataka kuwa Boss wa hilo jarida therefore utahitaji vijana wenye ujuzi wa Graphics au utakakoenda kuzalishia pia kuna watu wenye interest hizo za designing unaeza ongea nao kitu ambacho kitahitaji amount of money.
Na sehemu utakayozalishia hayo majarida pia itakucost kutokana na materials zitakazotumika kama vile aina ya karatasi n.k.
 
kimsingi ninependa wazo, ninalo nataka nianzishe langu.

go for it bana. sio kazi yako wewe ni msimamizi tu.

graphic designers na wataalam wengine cha msingi ni fedha na kutafuta soko kwisha.
 
Am a Graphic Designer by Professional, na kuna mkono wangu Bab Kubwa Magazine. Pia nafahamu taratibu zote za kuanzisha jarida na all kinds of publication Materials kama Mabango makubwa ya Barabarani n.k.

Si hivyo tu, pia nipo njiani kuachia Magazine yangu na tupo jikoni tunaandaa Magazine ya Kampuni moja ivi ambayo soon litakuwa mtaani.

Kama upo Serious nitafute kwnye +255 713 741 758 AU tuma email kwenye corneliousbk@gmail.com
 
Kuna hatua 4 za muhimu;
(1)Ukusanyaji wahabari na picha.
(2)Editing na kudesign.
(3)Printing
(4)Usambazaji
 
Back
Top Bottom