Jinsi ya kuangalia startime bila kulipia

Jinsi ya kuangalia startime bila kulipia

jaman mimi kila nikijaribu ni 0 signal nisaidieni, nmechoka kuwalipa hela za bure hawa jamaa
 
Daaah imefaa kaka ila kuna zile nilizokua nalipia mwanzo hazionyeshi nimepata zingine 13 tu ndo zinaonekana plus za nyumbani

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Daaah imefaa kaka ila kuna zile nilizokua nalipia mwanzo hazionyeshi nimepata zingine 13 tu ndo zinaonekana plus za nyumbani

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Osd transparency mbona sioni hicho kitufe kwenye remot?
 
Hongera broo but mbona kuna kibox kinakaa katikati ya tv hicho kinatolewaje
 
Ingia menu, then system setting, then channel search, right click kwenye manual search then andika 531 au 570 then ok
mkuu Nitonye kweli "umenitonya" mana duh tunapata shida sana ya kununua muda wa kuangalia izo channel bei zao ziko juu mno ila kwa style iyo mbona tutatoka sana tu, 'maisha rahisi kwa mtanzania mwenye nia inawezekana'.
 
MM BADO INAGOMA,
inasema search finish cnabak vilevile.
 
Anza kusearch upya mkuu au rekebisha uelekeo wa antena
nimejaribu search upya,na kubadilisha uelekeo wa antena bila mafanikio.kibox kinaandika chanel list is empty! na king'amuzi kinaonesha open muda wote bila namba za channel.Hofu yangu ni kwamba wameblock,yawezekana hii kweli?!
 
nimejaribu search upya,na kubadilisha uelekeo wa antena bila mafanikio.kibox kinaandika chanel list is empty! na king'amuzi kinaonesha open muda wote bila namba za channel.Hofu yangu ni kwamba wameblock,yawezekana hii kweli?!

Hata kwangu hazipatikani, wameshtukia mchezo hawa ngoja tusubiri codes nyngne kwa wachakachuaj
 
uploadfromtaptalk1374821551688.jpg unafikiri nchigan hapo
 
Duhuu! Imekula kwangu .
Kaja jamaa mmoja anjiita eti yeye ni wakala wa startimes na nifundi anazungukia mitaani na anauwezo wa kuwezesha channell zote kwa muda wa mwezi mmoja kwa gharama ya shilingi elfu mbili na miatano tu,nikammpa nimeeangalia masaa matatu tu .channel zote zika corrupt.
Sijui ndo alinifanyia hivyo maana kwatamaa zangu nilimpa hela ya miezi 5 kwa 2500 kila mwezi.
VYA BURE NOUMA.
 
Me sijafanikiwa jaman nipo nje kdg ya jiji la arusha nimejaribu codes zote 515 570,zote yani
Sijui tatizo ni nini?
 
Back
Top Bottom