Frumenckyauke
Member
- Sep 3, 2013
- 11
- 0
StarTime n pesa babu kuibia channel n ndoto wanatumia automatic software ku fungua channel ww unahizo mitambo zao?
ingia kwenye serching kisha ingiza code number 531 chanel zitaonekana usicheze na wabongo ukianza tu tunamaliza
je kama nilizolipia hazionekani je nita undo vipi kuona nilizolipia?
Oya imekataa mm nko Dar
Kijana unonekan Roho mbaya san hupendelei wenzako wapte.Wewe mpuuzi hufai kotekote kanisani wala msikitini na hata kwenye deals zangu hufai maana ulichopost hapa inaonekana kuwa hujui kula na kipofu bora nikuache na pengine ni rafiki yangu ngoja nikuchunguze kabla nisije kupa dili ukaniunguzia kwa mamwela.
Vipi wana jf badohii kitu inapatikana buree ?
Duh! wabongo noma, mchina akishtukia atapandisha bei, mpaka mtajuta.. teh teh...