Jinsi ya kuangalia startime bila kulipia

Jinsi ya kuangalia startime bila kulipia

imeniandikia receive 0 channel
..........we muongo!
 
Mwaaakee, kitu kimejipa, jamaa wamepandisha toza ya kila mwezi kifurushi cha 18,000 sasa ni 20,000 na kile cha 36,000 ni 40,000. Asanteni kwa kutukomboa
 
Mm nikiingiza hii 531. Nikibonyeza ok inaruka inaandika 530. Sijajua tatizo lake nini
 
jamani mbona napata chanel moja tu
naenda chanel search kuna manual na
automatic search naingia kwenye manual search naingiza namba 531 STV GUIDE MSAADA
 
Nyie semeni uongo mie nakula 13 channel, ATN,TBN,MBC2,COLORS,SATANTA,MUVI AFRICA, TBC1,STAR TV,CHANEL10,ITV,NK, Kwani ww uko wapi na kabla ya kuingiza hizo code ulikuta kuna namba ipi?
 
nadhan ingewezekana kabla mtoa mada hajaiweka hapa.
 
asubuhi nakurupuka kucheki jamaa wa Misri wanavyochapana kwenye CNN nakutana na 'no service' nikaeka 530,holaa! 0 channel!, saa 9 na nusu hivi nikajaribu tena- mannual search 530Mhz,yap! channel 13 hewani! kucheki aljazeera oh, my gosh jamaa wanatandikwa risasi msikitini!
Wachina hawajaziba tundu bwana!
 
Back
Top Bottom