Na matatizo mengineyo mchungaji sylvester gamanywa atakuwa na maombezi kabambe
ya kukemea na kukataa mateso yanayowatesa watanzania pamoja na magonjwa yasiotibika
starehe ndogo ndogo na kubwa...matatizo ya familia yaani ndoa ,Watoto wasio na heshima ,na matatizo ya kibiashaara,makazini,na mengine mengi njoo barabara ya tegeta shuka kituo cha interchick uliza kanisa la BCS kwa Askofu gamanywa
Mungu anakwenda kuondoa mateso yako anaitaji imani na Toba
ijumaa Saa Tatu usiku mpaka kuminamoja
Mungu awabariki