Peter ToshLegalize it
WhatsApp Messenger,Hii ni kwa WhatsApp Messenger au GB?
AsanteWhatsApp Messenger,
Haha.Hata official watsup unapata kwenye privacy'
Then unatoa 'read recipients' inakua inatoa tiki za blue inabaki grey na mtu hataona kama umeview status yake
Mimi hu view status za watu bila kuniona kuna setting nimeweka
We ni mshamba sana
Hata kwao waki view yangu haionyeshi walio view,napia waweza tuma message nikaisoma isionyeshe blue tick, Wala last seenSi unajidanganya mwenyewe sasa
Hua nahisi hata last seen yangu ikionekana ni tatizo nayo imepigwa nobodyHaha.
tunaendelea vizuri na maisha huku sisi tunaojikuta sana usalama wa taifa..!
Haha..Hua nahisi hata last seen yangu ikionekana ni tatizo nayo imepigwa nobody