Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,701
- 6,658
hizo kwangu zinagoma kuinstall sijui nakwama wapi wakuuHayo mambo tunayapata ukiwa na Yowhatsapp
Na whatsaap Gb.
hizo kwangu zinagoma kuinstall sijui nakwama wapi wakuuHayo mambo tunayapata ukiwa na Yowhatsapp
Na whatsaap Gb.
ww ni mm kabisa wallah nina muted people karibu 30 wanaboa kinomaHaha..
Same here, na wale raia wa kupost status mpaka zinakuwa nukta, nimewa mute woote.!
TomasoNimejaribu imegomaView attachment 1533350
Hata whatsaapGBHayo mambo tunayapata ukiwa na Yowhatsapp
brobizWee uliyeleta hii mada uko dunia ya wapi,yaan unafikia hatua ya kujidanganya kwamba utapiga mamilion ya hela kwa kitu kidogo kama icho!!! Ila anyway nadhan umeshafahamishwa Sasa!
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
NambieCariha
Hasa na ma x na wadangaji ..hii Ni changa la macho pale jamaa akidai baby vip nakucheki sikuoni WhatsApp ..jibu utasikia baby Sina bando ukiona hivyo.Hiyo hutokea pale unapomkubali mtu gizani lakini hadharani hutaki kukiri kwamba unamkubali! Matokeo yake ndo hayo... akitupia kitu kwenye status yake unatamani kukicheki lakini hutaki ajue kumbe umeshoboka na status yake!!!
Jombaa, angalia tu kwa kujinafasi na kama umekubali, toa appreciation... simple like that!!
Settings
Nimeset hivyo na nimeanza kunyapia, ila kama siamini hivi!!!
Usiniponze mlamu, sipendi kuonekana aisee.
Lissu ni Mungu tuanzie hapa
We ni mshamba sana