Haha Kuna mdada nlimpiga chini so akawa anaview kisirisiri ebwane muda mwingine anajisahau anakomenti kabisa ko nikamgundua anaview kisirisiri tabu yote ya nn SasaHata official watsup unapata kwenye privacy'
Then unatoa 'read recipients' inakua inatoa tiki za blue inabaki grey na mtu hataona kama umeview status yake
Hebu nifokee vizuri mkuu sijakuelewa
MTU Fulani OfficialSettings << Account << Privacy << Turn off Read receipts. Hatuweza kuona kama umeViewView attachment 1533308
Hii ni kwa WhatsApp Messenger au GB?Mbona rahisi tu. Unaenda 'privacy' halafu unaweka 'read receipts' off
Mm nina yo lakini mbona siwezi.ebu nipe shule apo mkuu.Hayo mambo tunayapata ukiwa na Yowhatsapp
Vijana mna ujinga mwingi sanaHata official watsup unapata kwenye privacy'
Then unatoa 'read recipients' inakua inatoa tiki za blue inabaki grey na mtu hataona kama umeview status yake
Ni utoto tuHaha Kuna mdada nlimpiga chini so akawa anaview kisirisiri ebwane muda mwingine anajisahau anakomenti kabisa ko nikamgundua anaview kisirisiri tabu yote ya nn Sasa
Hiyo hutokea pale unapomkubali mtu gizani lakini hadharani hutaki kukiri kwamba unamkubali! Matokeo yake ndo hayo... akitupia kitu kwenye status yake unatamani kukicheki lakini hutaki ajue kumbe umeshoboka na status yake!!!1. Screenshot then zoom.
2. Mimi na wewe tufanye mpango itengenezwe App maalumu ambayo itakufanya u view status ya mtu Bila mhusika kujua kama umeview.
We will make a millions and millions.
Hasara ya iyo utakua umetoa blue tick kama message yako ikisomwa hutajua na anaekutumia text hatojua kama umesoma text yakeHata official watsup unapata kwenye privacy'
Then unatoa 'read recipients' inakua inatoa tiki za blue inabaki grey na mtu hataona kama umeview status yake
Ma x zetu wanaitumia sana hiiHata official watsup unapata kwenye privacy'
Then unatoa 'read recipients' inakua inatoa tiki za blue inabaki grey na mtu hataona kama umeview status yake
Wadada wanatumia sana hii..ili iweje...ukiona hvo huyo hajamove onMbona rahisi tu. Unaenda 'privacy' halafu unaweka 'read receipts' off
poleni aiseeMa x zetu wanaitumia sana hii
ChigeHiyo hutokea pale unapomkubali mtu gizani lakini hadharani hutaki kukiri kwamba unamkubali! Matokeo yake ndo hayo... akitupia kitu kwenye status yake unatamani kukicheki lakini hutaki ajue kumbe umeshoboka na status yake!!!
Jombaa, angalia tu kwa kujinafasi na kama umekubali, toa appreciation... simple like that!!
Tick ya blue sio muhimu saaana maana ukiview details unaona read na received muda wake kama kawaidaHasara ya iyo utakua umetoa blue tick kama message yako ikisomwa hutajua na anaekutumia text hatojua kama umesoma text yake