BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 762
Huwa nashindwa kuelewa sisi watanzania huwa tunatumia vigezo gani wakati tunapatania mishahara. Mimi nafikiri kazi inatakiwa ikuhudumie mfanyakazi na siyo wewe uwe unaihudumia kazi. Kuna wafanyakazi wengi sana wanatumia resources zao wakati wakiwa kazini bila kupata malipo yoyoye yale ya ziada. Mfano mtu anatumia gari lake, mafuta yake, simu yake, PR yake etc. Na wakati ana ajiriwa anajua hayo matumizi yapo ila we never take into consideration. (Tuondoe kabisa mentality ya kupiga deal makazini.
Ni vizuri wakati tuna bargain mishahara tuwe tuna consider yafuatayo.
1. Nauli/Mafuta ya gari
2. Wear & Tear ya gari
3. Kodi ya nyumba hata kama una nyumba assume kwamba umepanga kwasababu hata nyumba yako inahitaji repair & maitanance
4. Chakula, matibabu, ada za watoto na fedha ya dharura
5. Markup at leat 25% ya gharama zote ili uweze ku save.
Uzoefu unaonyesha mshahara wa kwanza ambao umepatana na mwajiri unaweza ukaongezeka baada ya miaka mitatu na siyo zaidi ya 15%. hivyo mapatano ya mwanzo yana maana sana.
N.B NEVER EVER TRY TO BARGAIN CHEAP UKITEGEMEA KWAMBA UTAPIGA DEAL.
Ni vizuri wakati tuna bargain mishahara tuwe tuna consider yafuatayo.
1. Nauli/Mafuta ya gari
2. Wear & Tear ya gari
3. Kodi ya nyumba hata kama una nyumba assume kwamba umepanga kwasababu hata nyumba yako inahitaji repair & maitanance
4. Chakula, matibabu, ada za watoto na fedha ya dharura
5. Markup at leat 25% ya gharama zote ili uweze ku save.
Uzoefu unaonyesha mshahara wa kwanza ambao umepatana na mwajiri unaweza ukaongezeka baada ya miaka mitatu na siyo zaidi ya 15%. hivyo mapatano ya mwanzo yana maana sana.
N.B NEVER EVER TRY TO BARGAIN CHEAP UKITEGEMEA KWAMBA UTAPIGA DEAL.