Jinsi weusi wanavyouawa na polisi wa Marekani

Jinsi weusi wanavyouawa na polisi wa Marekani

Mwarabu ananiona kama nilivyo!
Mwafrika wa Tanzania.
Na kwenye Imani yangu Mwarabu na Mwafrika wa kijijini wote Tunasali kwa namna moja, mwendo mmoja, lugha moja na taratibu moja!

Sio nyie mnajiona Wayahudi wakati makalio Yana upele ka ukuta wa chipping!

Halafu we mgalatia Wa AFRIKA hebu nenda Kasali ktk Kanisa la Wagalatia wa Kichina Km Utapata kitu!
Sana Watakutoa baruti tu kwa kuogopa Utawaibia!

Lugha moja, mwendo mmoja, na imani , hivi hiyo lugha ni ya kiimani au ni lugha ya wenyewe
 
Lugha moja, mwendo mmoja, na imani , hivi hiyo lugha ni ya kiimani au ni lugha ya wenyewe

Sasa hapa ndo umeuliza swali gani?

Teh teh teh!

Lugha ya QURAAN ndio Lugha Tunayotumia WAISLAMU WOTE ktk IBADA ZETU.

Na Ndio IMANI PEKEE YENYE LUGHA YA ASILI TOKA ilipoanza mpaka Mwisho wa hii DUNIA.

Wakristo HAMNA Lugha ya asili ya imani yenu Ndio maana Mna Bibilia TOFAUTI zaidi ya 54 na Kila moja ina dai iko sahihi kuliko INGINE.

SISI Tuna Kitabu KIMOJA TU! HAKINA UGONGANO wala Hakikaliwi Kikao Dodoma.


Sio nyie kazi yenu Kuchakachua tu kila siku.
 
Armagedon ipi unayoiongelea rafiki?

Why are u asking my friend there is only one prophesized Amargedon, and the Jews are in haste they want to force it happen afore the appointed time.
 
Why are u asking my friend there is only one prophesized Amargedon, and the Jews are in haste they want to force it happen afore the appointed time.


Nimekuuluza hivyo kutaka kujifunza kutoka kwako!
Unaweza kunielezea vzr juu ya Hiyo amargedon ktk unabii?

Na Hiyo vita iliwahi kutokea Na itakuja tena kutokea km ile ktk kufanana au vp?
 
IMANI KUU YA waisraeli Ni Kuwa WAO NI TAIFA TEULE na Wako JUU YA VIUMBE WOTE na NI WAO TU WATAKAO INGIA ktk UFALME WA MUNGU.
na BIBILIA inalithobitisha hilo.

Yaani kwa kifupi kwa mujibu wa WAISRAELI Mungu NI MMBAGUZI kawachagua wao tu.
Na hii ndio SABABU KUBWA ya WAKRISTO wa AFRIKA kujifanya na Wao ni WAYAHUDI kume Ni upuuzi mtupu.
Na ndio sababu kuu kwamba mkiristo au mpagani au muislamu ambae HAJAZALIWA NA MAMA WA KIYAHUDI HAWEZI Kujiunga na HIO IMANI.

Nyie mnajidanganya Kila siku kuwa hawa ni wenzenu lkn Wao wanawaona Nyie ka UCHAFU WA Mnyama.
And that is the fact.
Mkuu hebu tujifunze kuwa waungwana angalau hata kidogo

Nimeomba ushahidi wa hayo madai kuwa kuna dini ambayo inasema Wayahudi ni binadamu kuliko wengine na hujanipa ba umekuja na maneno yako matupu halafu eti unamalizia kuwa ni Fact,tangu lini maelezo yako yakawa ni fact?

Ni kweli hujui maana ya ushahidi?

Imani ya kila mtu kuwa mwana wa Ibrahim kupitia kumkiri Yesu ni ya Kikristo na sio Kiyahudi na pia tunakuwa waana wa Ibrahimu na sio Wayahudi kama unavyodai wewe

Lakini pia sula la Israel kuwa taifa teule ni imani ya Kikristo na sio ya Kiyahudi hivyo kuitumia imani hii kama ushahidi ni kupotoka!
 
tukitoka hapo tunaambiwa wazungu wana roho nzuri ila waarabu ndo makatili,

Mateso wanayotupa akina chenge, Pinda, Jakaya na wanasiasa wengine ni makali kuliko hiyo one youtube video

akina mama na watoto wanakufa kila dakika kwa kuwa chocked their basic rights kama madawa, tiba, elimu, chakula na ulinzi

tuache unafiki wakati Mh. Andrew Chenge kwa mabilioni aliyoiba angeweza kuokoa maelfu ya maisha halafu yeye anaita vijisenti

hii hypocrisy ni upumabvu mtupu.... JK na wenzake wameua maelfu ya watu kwa kuwanyima basic rights, and we are busy kwa mtu mmoja anayeuza sigara za rejareja marekani, tena kitu ambacho ni kinyume na sheria zao... na taratibu zao ziko wazi kabisa, ukibishia polisi ana ruhusa ya kukulamba zamoto
 
Mkuu hebu tujifunze kuwa waungwana angalau hata kidogo

Nimeomba ushahidi wa hayo madai kuwa kuna dini ambayo inasema Wayahudi ni binadamu kuliko wengine na hujanipa ba umekuja na maneno yako matupu halafu eti unamalizia kuwa ni Fact,tangu lini maelezo yako yakawa ni fact?

Ni kweli hujui maana ya ushahidi?

Imani ya kila mtu kuwa mwana wa Ibrahim kupitia kumkiri Yesu ni ya Kikristo na sio Kiyahudi na pia tunakuwa waana wa Ibrahimu na sio Wayahudi kama unavyodai wewe

Lakini pia sula la Israel kuwa taifa teule ni imani ya Kikristo na sio ya Kiyahudi hivyo kuitumia imani hii kama ushahidi ni kupotoka!

Umeomba tuwe waungwana Sasa Fuatana na mimi uone je KITABU CHAKO BIBILIA kimekuweka WEWE NA WAISRAELI sawasawa?

Na Je HUYO YESU KRISTO ambae wewe UNASEMA UMEMPOKEA alikuja Kwa ajili yako na wewe Mtanzania Wa MWANZA? Au Vingine?

Tafadhali SOMA Mpaka Mwisho Halafu Leta Hoja zako NA SIO KEJELI au Maswali ya Kitoto.
Ukifanya hivyo Kahtaan atakuwa Muungwana Sana.

"Yesu akaondoka huko, akaenda kando pande za Tiro na Sidoni. Na tazama, mwanamke Mkananayo wa mipaka ile akatokea, akampazia sauti akisema, Unirehemu, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa-sana-na pepo.- Wala yeye hakumjibu neno. Nao wanafunzi wake wakamwendea, wakamwomba, wakisema, Mwache aende zake;- kwa maana anapiga kelele nyuma yetu. Akajibu, akisema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.- Naye akaja akamsujudia, akisema, Bwana, unisaidie.- akajibu, akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.- Akasema, Ndiyo, Bwana, lakini hata mbwa hula makombo yaangukayo mezani za bwana zao.- Ndipo Yesu akajibu, akamwambia, Mama, imani yako ni kubwa;- na iwe kwako-kama-utakavyo.- Akapona binti yake tangu saa ile.

Mathayo 15.21-28

Kwa maneno yasiotatanisha Yesu Kristo anasema kuwa yeye hakutumwa ila kwa "kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli." Hakuwajia Waarabu, wala Wazungu, wala Wahindi, wala Waafrika, wala Machina.-Kama-hayo hayakutosha kuonyesha kuwa yeye hakuwajia wasio Mayahudi anazidi kufahamisha kwa mfano wa kumkata mtu kiu: Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa." Ikiwa ipo shaka yo yote katika akili ya mtu kuwa maana ya maneno hayo ni kuwa Yesu anasema kuwa hakutumwa kwa kabila nyengine zo zote ila Waisiraili tu na atazame mwenye shaka tafsiri kubwa kabisa ya Wakristo inayoeleza maana wazi maneno ya Biblia,-The Interpreter's Bible, sahifa 441 jalada VII ambamo imeandikwa hivi:--"Yaonekana wazi kuwa Yesu hakika aliamini kuwa ujumbe wake kwanza na khasa ni kwa watu wake mwenyewe."-Ndio maana alisema:

Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.

Mathayo 7.6

Mbwa na nguruwe ni watu wa mataifa yasiyokuwa wana wa Israili km vile mimi na wewe Eiyer.

Ukristo haufai kufundishwa watu wo wote isipokuwa Mayahudi. Hayo ndiyo mawazo ya Yesu, au ya hao walioandika Injili na wakatia maneno hayo kinywani mwa Yesu.--Kama-asemavyo Isaac Asimov katika kitabu chake-Guide to the Bible-(Uwongozi kwa Biblia):

"Suala liliopo ni nani hao mbwa na nguruwe wanaokusudiwa katika mstari huu?
Yaweza kuwa maana ya mstari huu ni kuwa haifai kufunza ukweli wa dini kwa wale wasiotubu katika kejeli zao, au wale waliozama katika madhambi, lakini hayo hayaelekei kabisa. Basi mtu amfundishe nani? Wale waliokwisha amini? Yesu mwenyewe anakanya hayo, kwani aliposhutumiwa kuwa anachanganyika na wenye dhambi ananukuliwa kusema:Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio hawawezi.

Mathayo 9.12

"Upande mwengine, huku kutaja mbwa na nguruwe huweza kuwa ni maneno aliyoyachagua Mathayo kulipa nguvu wazo-lake-kuwa-isifanywe juhudi kubwa kueneza mafunzo ya Yesu miongoni mwa Mataifa mengine. Labda ni nadhari ya Mathayo kuwa ipo khatari kubwa ya hayo Mataifa kuudhika na juhudi za kutaka kuwatanasarisha na kwa hivyo wakawatesa Wakristo; itakuwa ndio 'watageuka na kuwararua'.Na hayo kwa hakika waliwahi kuyafanya. Yaweza kuwa aliona kuwa yale Mataifa yaliyoukubali Ukristo bila ya kuijua Sharia ya Musa yangeweza kuyavuruga mafunzo ya Yesu: 'na kuyakanyaga chini ya miguu-yao.'"


Na juu ya kauli ya Yesu : "Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa,

"Hapa Mathayo kwa uwazi anatuletea Yesu ambaye kazi yake ni ndani ya mipaka ya uwananchi wa Kiyahudi tu."


Tukiendelea na isemavyo Biblia juu ya ujumbe wa Yesu tunapata ushahidi zaidi kutokana na Injili ya Mathayo:

Hao Thenashara Yesu aliwatuma, akawaagiza, akisema, Katika njia ya Mataifa msiende, wala katika mji wo wote wa Wasamaria msiingie.- Afadhali shikeni njia kuwaendea kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.

Mathayo 10.5-6

-Hao Thenashara ni wanafunzi wake kumi na mbili aliowateua mwenyewe Yesu kutangaza mafunzo yake.- Hapo anawapa amri zilizo wazi kuwa wasiwaendee watu wa Mataifa, yaani wasiokuwa Waisraili. Hao wanafunzi kumi na mbili ndio wanaoitwa katika Biblia "mitume" kwa kuwa walitumwa na Yesu. Na wao kama yeye mwenyewe hawakutumwa ila kwa "kondoo waliopotea wa Israel" kwani "si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa."
Kwa nini Yesu alisema maneno kama haya ya kukataa na kukataza kuwafunza dini ila Waisraili tu?- Kwa nini alitumia mifano mibaya kama hivyo "mbwa" na "nguruwe" kwa kuwakusudia hao watu wengine wasio Mayahudi, yaani ndio mimi na wewe mwenzangu?- Wataalamu wa Kikristo na wasio Wakristo wamestaajabishwa na maneno hayo.- Ni maneno machache katika aliyoyasema Yesu ambayo yamewatatiza wasomaji Wakristo kuliko maneno haya.- Wapo wanaoona kuwa Yesu alitumia matusi yale kuwaita wote wasio Mayahudi kufuata mwenendo wa Kiyahudi, yaani ndio hivyo Mayahudi wawaonavyo binaadamu wote wasio kuwa wao. Na wapo wasemao kuwa Yesu akipenda kufunza kwa mifano, na hivyo anafananisha kama kwamba yeye anaamini hiyo imani mbovu ya Kiyahudi ya kudharau watu wasiokuwa kabila yao. Na wapo wengine kama Asimov ambao wanaona maneno yale ni ya Mathayo, na yeye Mathayo (au ye yote yule aliyeandika Injili hiyo) kamuambatisha nayo Yesu maneno hayo, kwa kuwa yeye mwandishi alikuwa Mkristo wa kabila la Kiyahudi na anacho kiburi cha Kiyahudi.
Ama kusema kuwa hakutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa Israeli inaonekana kama kilivyosema kitabu cha The Interpreter's Bible kuwa Yesu hakika kwanza aliamini kuwa alitumwa kwa Waisraili tu.- Ni jambo la kustaajabisha kuwa Mungu au Mwana wa Mungu aje duniani atumwe na kwanza asiujue utumwa wake ila aamini tu kuwa katumwa kwa watu wake wa Kiyahudi basi.- Na kama yeye ni Mungu au Mwana wa Mungu, katumwa na nani?- Kama katumwa na Mungu, basi yeye si Mungu.- Si hilo tu, bali hata akiwa ni Nabii na Mtume wa Mungu tunamtaraji aujue tangu mwanzo huo ujumbe wake aliokuja nao, asiwe kutapatapa, kupapasa,- na kuhangaika katika jambo la msingi.
Hapana haja ya kuyatafutia tafsiri hii na maana hii, hayo maneno yaliyo wazi ya Yesu Kristo.- Yesu hakika hakutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.- Yesu hakika kawakataza "mitume" wake wasende kuwahubiria mataifa mengine.- Yesu ni kweli kaonya kuwa kuwafundisha mafunzo yake hayo mataifa mengine ni sawa sawa na kuwapa mbwa kilicho kitakatifu, na kuwatupia lulu nguruwe. Kwa nini ikawa hivi? Ikiwa Yesu kweli katumwa na Mungu, kwa nini ujumbe wake uwekewe mipaka kwa jamaa zake tu wa Kiisraili, na yeye asikiuke mipaka ile?- Naam, zipo sababu zenye nguvu kwa hayo.
Kwa hakika hayo hayakuwa mageni, wala Yesu hakuwa Mtume wa mwanzo kutumwa hivyo na Mwenyezi Mungu.- Mitume wote waliokwisha kuja kabla yake walikuwa ni Mitume wa vikundi vyao tu, na zama zao tu, na walikuja na mafunzo yao maalumu machache. Musa alikuwa hivyo, na Yesu hali kadhaalika.- Hali yake hali ya wenziwe, ila yeye alikuwa ndiye Mtume wa mwisho katika Mitume waliotumwa kwa kabila maalumu.- Kwa nini Mwenyezi Mungu akafanya hivyo?
Kwa nini Yesu alikatazwa, mathalan, asiwahubirie yeye wala wafwasi wake, Waafrika, au Wazungu, au Wahindi, au Machina, au Waarabu?- Amekatazwa kwa sababu kabila zote hizo zilikuwa hata hazijachukua khatua ya mwanzo ya kuamini Mungu Mmoja.- Kabila hizo na mataifa hayo yalikuwa makafiri ama wa kuabudu masanamu, au kuabudu mapango au miti au viumbe vyengine au kuabudu wanaadamu wenzao.- Na ujumbe wake Yesu ni kutengeneza mwenendo, tabia ya watu ambao tangu hapo wanayo imani ya Mungu mmoja. Yeye hakuwa na uwezo wala muda wa kujenga tangu chini.- Yeye kazaliwa katika umma wenye kuamini Mungu Mmoja, umma wenye sharia ya Mwenyezi Mungu.- Kazi yake kwa muda mchache alioishi na kuhubiri ni kiasi ya kuwapiga msasa tu Mayahudi ambao walikwisha tahiriwa, wanajua cha halali na haramu, na muhimu kabisa wanamjua Mwenyezi Mungu Mmoja, asiyezaa wala kuzaliwa.- Ila yao Mayahudi ni kutokuwa na huruma, na kuifanya dini sharia tu isiyo na roho na imani. Mayahudi waliishika sharia ya Musa kwa dhaahiri yake, lakini waliutupilia mbali uchamngu wa Ibrahimu, wakashika ya kuonekana na watu, na wakatupa ya ndani anayoyaona Mwenyezi Mungu na dhamiri zao.- Walipoacha "mitume" wa Yesu amri hiyo ya Mungu ya kutowendea makafiri wasiomjua Mungu wala msingi wa sharia, ndipo mafunzo ya Yesu yalipochafuka.-- Kwani hao makafiri walipoingia katika Ukristo walijigeuza jina tu, lakini waliingiza karibu yao yote ya kikafiri katika dini ya Yesu, ikaitwa Ukristo, na hali sio Ukristo kabisa aliyoufundisha Yesu.- Mahekalu yao ya kipagani yakageuzwa makanisa, na mizimu na mapango yao yakawa ndio monastari za Kikristo. Lau kuwa Wana wa Israili wangeli mwitikia Yesu, basi Ukristo usingelichafuka kama ulivyo chafuka.
Upton Sinclair akiandika juu ya wakati ilipoingia Dola ya Kirumi katika Ukristo na ikaufanya ndio dini rasmi ya taifa, amesema kwa masikitiko: "Ulikuwa ni ushindi kwa Kanisa, na kwa mwenyewe mwenye kuanzisha (yaani Yesu) ni kushindwa kwa muda. Maana yake ni kuwa maadui zake wamelichukua jina lake, mafunzo yake, na nguvu zake."
Yesu alionya, lakini Paulo hakusikia:

"Katika njia ya Mataifa msiende, wala katika mji wo wote wa Wasamaria msiingie. Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.- Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.- Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na wakawararua."


Yaliyosemwa yamekuwa.- Kwa kitendo cha Paulo kuwaingiza mapagani wa Kizungu katika dini ya Yesu sharia ya Mwenyezi Mungu ikaambiwa ni laana, ikatolewa ruhusa kula nyamafu, nguruwe na damu, na kila kiuzwacho sokoni bila ya kutia wasiwasi wo wote katika dhamiri. Tohara aliyoamrishwa Ibrahimu na Mwenyezi Mungu na Manabii wote wakaifuata mpaka mwenyewe Yesu na wanafunzi wake, Paulo aliipuuza kuwaridhi makafiri. Imani za kipagani za mungu mwana na utatu zilizoenea katika mila za Mithra, Osiris, Attis n.k. zikaingizwa katika dini ya Kikristo.
Katika ufalme wa mbinguni Yesu ana yakini kuwa hatokuwa nao ila wana wa Israili tu. Injili ya Mathayo inasema:

Yesu akawaambia, Amin, nawaambia ya kwamba ninyi mlionifuata mimi, katika ulimwengu mpya, atakapoketi Mwana wa Adamu katika kiti cha utukufu wake, ninyi nanyi mtaketi katika viti kumi na viwili, mkiwahukumu kabila kumi na mbili za Israeli.

Mathayo 19.28

Hata katika maombi yake inaonyesha kuwa Yesu alikuwa anajua mipaka yake na uwezo wake. Madai ya kuwa yeye ni mwombezi, mbali kuwa ni mwokozi, wa ulimwengu mzima ni kumsingizia jambo ambalo mwenyewe hakulidhania. Kumpa mtu cheo asichokuwa nacho ni kumtukana, ni kumvika kilemba cha ukoka, kama Mayahudi walivyotaka kumkejeli kwa kumvika taji la miba. Cheo alicho nacho kwa hakika si kidogo.- Kuwa ni Mtume wa Mwenyezi Mungu miongoni mwa Mitume na Manabii watukufu ni jambo kuu kweli kweli. Kuwa mtumishi wa Mwenyezi Mungu mwenye kupendeza si utukufu mdogo. Na Yesu alitafakhari nao, na alitafakhari kuwa yeye hakutumwa ila kwa- kondoo waliopotea wa Ki-Israili. Na hayo si kwa upungufu wo wote kwa upande wake, ila ni kuutumikia ujumbe wa Mwenyezi Mungu kwa kuulinda usiharibiwe na washirikina mpaka ufike wakati wa kuja huyo atayekuwa kazi yake ni kuitangazia risala ya Mungu kwa ulimwengu mzima.
Katika Injili ya Yohana ananukuliwa Yesu kusema:

Mimi nawaombea hao; siuombei ulimwengu; bali hao ulionipa.

Yohana 17.9

Tukiyachungua vilivyo maneno ya Yesu kama yalivyosimuliwa na Mathayo na Marko ya kuwa yeye alitumwa kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israili, na maamrisho yake yalio wazi kuwapa "mitume" wake wasende kwenye mataifa mengine isipokuwa Mayahudi tu, na kuwa yeye na wanafunzi wake kumi na mbili watakaa katika viti vyao vya utukufu wakizihukumu kabila kumi na mbili za Israili katika ulimwengu mpya wa mbinguni, hatuwezi ila kuhukumu kuwa hao watu anaowaombea Yesu ni hao hao waliokwisha tajwa kabla, yaani wana wa Israili, sio ulimwengu, sio mimi na wewe. Mimi na wewe si Wana wa Israili.- Mimi na wewe ni mataifa mengine.- Mimi na wewe na ulimwengu, usiokuwa wa Kiyahudi, Yesu kesha sema hatuombei, ikiwa tutakubali maneno yaliyoandikwa katika Injili zote.
Ni jambo linalojuulikana katika historia - na hata ukisoma katika Biblia kitabu cha Matendo ya Mitume utaona - ya kuwa Ukristo kwanza haukuhubiriwa kwa mataifa mengine mpaka alipoingia Paulo. Na yeye alipingwa vikali sana kwa kutoa shauri hiyo na wanafunzi wake Yesu waliomwona na wakawa naye siku zote na wakajifunza vilivyo mafunzo yake na makatazo yake ya kwenda kuwahubiria watu ambao bado ni makafiri.Dr. Marcello Craveri anaandika katika kitabu chake-The Life of Jesus:

"Na hapo Paulo akaingia uwanjani.- Kwa heba yake ya kitisho na tamaa yake, hakupoteza wakati ila alijifanya kuwa ni mmoja miongoni mwa 'nguzo' za kikundi kile, kama mwenyewe alivyokuwa kwa kejeli akiwaita Yakobo na Petro. Ukazuka ugomvi na ushindani baina yao na Paulo, na khasa katika shauri ovu la huyu Mkristo mpya kutaka kuivusha dini mipaka ya Uyahudi."


Mtaalamu wa Biblia, Dr. Hugh Schonfield, katika kitabu chake,-Those Incredible Christians, (Wale Wakristo wa Ajabu) ameandika juu ya Paulo na ugomvi wake na wafuasi wa kweli wa asli wa Yesu hivi:

"Saulo wa leo, aliyetumia jina la Kirumi la Paulo, alionekana kama ni adui aliyepandwa na shetani wa Daudi mpya.- Hatimaye alipokuwa mfungwa wa Warumi, hapana Mkristo aliyenyanyua hata udole kumsaidia, la Wakristo wa Yerusalemu wala wa Roma. Juhudi zake Paulo zote, hata kule kukusanya michango kuwasaidia watakatifu masikini wa Yuda, hazikupunguza upinzani dhidi yake. Wale walioshika kani miongoni mwa wana-kanisa la halali walimwona Paulo kuwa ni mtu wa khatari na mharibifu aliyeazimia kupata wafuasi wengi katika Mataifa yasiyokuwa Mayahudi ili apate ushindi wa idadi kuweza kuwapinga Wazee walioko Yerusalemu.- Paulo alikuwa ni adui tangu mwanzo, na kwa sababu alishindwa katika ule uadui wake wa wazi, alijipenyeza kwa hila katika kikundi ili aweze kukibomoa kwa ndani. Hili aliweza kulifanya kwa kuitenga Torati takatifu na kumuingiza katika dini ye yote anayetaka kumfuata kwa kutamka tu imani. Ingelifaa asingekubaliwa kabisa mtu huyu; lakini walikuwapo watu ambao hawakujua wala hawakuwa na shaka naye kwa hivyo hawakutambua nini khasa makusudio yake. Na tazama basi ile imani yao imefikisha wapi hali ya mambo!- Unasara wote, juhudi ya Masihi mwenyewe ikaingia katika khatari ya kudharauliwa kabisa katika Israili. Kwa sababu Paulu ni mmoja katika wasemaji wao wakubwa, na yeye alikuwa akitangaza kuwa Torati ni baatili, haifai tena kwa uwokofu, ikawa inaaminiwa na Mayahudi wachamngu kuwa wafuasi wa Yesu ni makafiri wa mwisho."


Busara ya Mwenyezi Mungu kukataza mafunzo ya Yesu yasikiuke mipaka ya Israili ni kuwa isije dini ya haki ikaharibiwa na ushirikina wa makafiri ulioenea pande zote katika zama zile. Ulimwengu ulikuwa bado haujawa tayari kupokea ujumbe wa ulimwengu mzima, na huyo mwenye kuweza kubeba ujumbe ule hajazaliwa, na umma wa kutimiza jambo hilo na kulieneza bado haujapikika ukawa tayari. Yaliyotokea tumeyaona. Ukristo tuuonao na ulioenea ulimwenguni sio Ukristo aliofundisha Yesu. Wa Yesu ulitoweka na mwenyewe na wafuasi wake wa mwanzo wa kabila la Kiyahudi. Paulo kaufuja Ukristo.
Kauli zinazonukuliwa kwa kudai kuwa ni ushahidi kuwa Yesu mwenyewe alitaka mafunzo yake yakafundishwe kwa ulimwengu wote yamo katika Injili ya-Mathayo 28.19-20, Injili ya-Luka 24.46-49-na-Marko 16.15.- Mathayo inasema:

Basi, enendeni, mkwafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi;- na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.

Mathayo 28.19-20

Luka anatwambia:

(Yesu) akwaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu;- na kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu Yerusalemu. Nanyi ndinyi mashahidi wa mambo haya.- Na tazama, naweletea juu yenu ahadi ya Baba yangu;- lakini kueni humu mjini, hata mvikwe uwezo utokao juu.

Luka 24.46-49

Na Injili ya Marko inasema:

-------- (Yesu) akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.

Marko 16.15

Je, imekuwaje?- Yesu ni kigeugeu?-

Mbona huku anawakataza wanafunzi wake wasende kuwahubiria ila kabila kumi na mbili za Israili, na huku anawaambia nendeni kuwahubiria Injili ulimwengu mzima.- La, Yesu si mbabaishi, wala si kigeugeu. Hebu natuziangalie vilivyo hizo amri mbili, moja ya kuwa mafunzo yake wasifunzwe ila wana wa Israili tu, na ya pili ni hii ya kuwa watu wote wafunzwe dini.
Vipande vyote vitatu tulivyonukulu mwishoni havitaji mambo ya Yesu alipokuwa na maisha yake ya uhai wa kidunia, lakini vyaeleza mambo yaliyotukia baada ya "kufufuka kutoka wafu" kama inavyosimuliwa na Injili zote tatu.- Yajuulikana kuwa Injili ya mwanzo kuandikwa ni Injili ya Marko.- Hizo nyingine ziliandikwa baadae, na labda ujuzi wao ulitegemea hiyo hiyo Injili ya Marko. Yajuulikana vile vile kuwa maneno yote yaliyohusu kufufuka Yesu kutokana na wafu, pamoja na hayo maamrisho ya kwenda kuihubiri Injili "kwa kila kiumbe", kinyume na maamrisho yake yote ya kuwa asihubiriwe ila Muisraeli tu - maneno hayo yote hayakuwamo katik Marko ya asli, bali yaliongezwa baadae.
Encyclopaedia Brittanica, nakla ya 11, jalada 17, sahifa 730, yasema ya kuwa kipande chote hicho kiliongezwa baadae, yamkini mwanzo mwanzo wa karne ya pili, kuchukua maneno yaliyopotea, au yaliyoonekana kuwa ni mapungufu.
William Neil akiandika katika tafsiri ya Biblia iitwayo-Harper's Bible Commentaryanasema:

"Kama lipo jambo lolote katika uchunguzi wa Injili ambalo juu yake wataalamu wamekubaliana, ni kuwa kufika hapa (yaani Marko 16.8) Injili ya Marko inakoma.-Sehemu iliyobaki ya sura (yaani 16.9-20) ndio hiyo iitwayo "Kimalizio kirefu" cha Injili.- Kimalizio hicho hakionekani katika nakla za miswada ya zamani, na ambacho ni nyongeza iliyopachikwa katika karne ya pili kutokana na maongezo ya Mathayo, Luka na Matendo...ushahidi wa kale kabisa ulioandikwa juu ya Kufufuka (Yesu) haumo katika Injili bali katika barua ya kwanza ya Paulo kuwapelekea Wakorintho 15.3-8."


Maneno hayo ya Paulo aliyowaandikia Wakorintho na ndio mara ya kwanza kutajwa kufufuka kwa Yesu ni haya:

Kwa maana niliwatolea ninyi hapo mwanzo yale niliyoyapokea mimi mwenyewe, ya kuwa Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu, kama yanenavyo maandiko;- na ya kuwa alizikwa;- na ya kuwa alifufuka siku ya tatu, kama yanenavyo maaandiko;- na ya kuwa alimtokea Kefa;- tena na wale Thenashara;- baadaye aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano pamoja; katika hao wengi wanaishi hata sasa, ila baadhi yao wamelala;- badaye akamtokea Yakobo;- tena na mitume wote; na mwisho wa watu wote, alinitokea mimi,- kama ni mtu aliyezaliwa si kwa wakati wake.

1 Wakorintho 15.3-8

Ikiwa kipande chote tangu mstari 9 mpaka mstari 20 katika sura 16 ya Injili ya Marko, kimepachikwa, basi kisa chote cha kufufuka Yesu kimebuniwa.- Mwenye kubuni kisa hichi ni Mtakatifu Paulo.- Hivyo ndivyo tunavyoweza kuagua kutokana na kuisoma Biblia, kwani maandishi ya kwanza hayamo katika Injili bali yamo katika barua ya Paulo kwa Wakorintho.
Amesema Craveri katika Maisha ya Yesu:

"Paulo alijihakikishia mwenyewe kuwa ijapokuwa Yesu ni kweli alikufa, lazima awe amefufuka, akiuwacha mwili wake wa kidunia nyuma ili avae mwili wa 'kiroho'...Paulo alichanganya mawazo yake mwenyewe ya kikafiri kafiri ya Yesu kuwa na maisha mapya kwamba ni malipo yake kwa mema yake, pamoja na imani ya Kiyahudi ya kuwajibika mapatano na Yehova (Mungu) na agano la pili.- Kwa hivyo Paulo akafunza kuwa ndiyo haya khasa yaliyokuwa ni kazi ya Yesu, na hicho ndicho cheo chake machoni mwa Mungu:- kafara ya nafsi yake kwa utakatifu wake na kutokuwa na dhambi kwake ili afutie kwa pamoja makosa ya wote."


Ikiwa basi msingi wa hadithi nzima ya kufufuka Yesu hadi ya ubora wake ni kuwa ni ya shaka shaka - licha ya kuwa ni wazi kuwa ni ya uwongo - hapana njia ya kuamini ya Kuwa Yesu wakati wo wote katika historia aliwahi kuamrisha watu "Enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu," kwa sababu haya hakuyasema ila baada ya huko kunakoambiwa ni kufufuka.
Katika Biblia ya Kiswahili iliyo mbele yangu iliyotangazwa na-The British and Foreign Bible Society-1950 kifungu cha Marko 16 tangu mstari wa 9 mpaka mwisho yaani mstari wa 20 kimetiwa katika mipinde miwili hivi ( ) kuonyesha kuwa maneno hayo hayakuwamo katika maandiko ya asli. Ilivyokuwa imethibitika kuwa hayo ya Marko si madhubuti, basi yaliyonukuliwa na Mathayo na Luka juu ya mambo hayo ya kufufuka, na kuamrisha kwenda kuhubiria watu wa ulimwengu, na kuutaja Utatu, yote hayo ni baatili.
Kwa mukhtasari tunaona kuwa Biblia inashuhudia kuwa Yesu alikuwa ni Nabii aliyetumwa na Mwenyezi Mungu kwa Waisraili waliopotea njia.- Hadithi ya kuwa aliamrisha mafunzo yake yakatangazwe kwa watu wote "kwa jina la Baba, na Mwana na Roho Mtakatifu" imebuniwa na kuongezwa mwishoni mwa Injili tatu za Mathayo, Marko na Luka.- Kadhaalika kuwa Yesu alifufuka kutoka wafu kwa njia ya kimiujiza imeongezwa, na kauli ya Utatu basi ya kuwa mafunzo yakatangazwe "kwa jina la Baba, na Mwana na Roho Mtakatifu" pia nayo imebuniwa na wala haina asli yo yote ya kweli
 
Last edited by a moderator:
Mateso wanayotupa akina chenge, Pinda, Jakaya na wanasiasa wengine ni makali kuliko hiyo one youtube video

akina mama na watoto wanakufa kila dakika kwa kuwa chocked their basic rights kama madawa, tiba, elimu, chakula na ulinzi

tuache unafiki wakati Mh. Andrew Chenge kwa mabilioni aliyoiba angeweza kuokoa maelfu ya maisha halafu yeye anaita vijisenti

hii hypocrisy ni upumabvu mtupu.... JK na wenzake wameua maelfu ya watu kwa kuwanyima basic rights, and we are busy kwa mtu mmoja anayeuza sigara za rejareja marekani, tena kitu ambacho ni kinyume na sheria zao... na taratibu zao ziko wazi kabisa, ukibishia polisi ana ruhusa ya kukulamba zamoto

Wacha tabia za kike za cherry picking!
Unamlaumu RAIS wa nchi wakati MAJIZI ni Watu wenu? Wale Viongozi wa makanisa mbona Hujawataja hapa pamoja na MIJIZI YOTE ya Escrow ilioiba zaidi ya BILION 75!
Dawa ngapi Zingenunuliwa kwa Pesa hizo?
Kina mama wangapi Wangepata matibabu kwa Pesa Hizo.

Ajambe mtoto ukamlaumu baba! ?
Hizo ndio busara Mnazofundishwa huko Majumbani Kwenu?

Talking about American law, unaishi Unakojua Wewe halafu unakuja Danganya Watu hapa!
Hebu Niwekee Hicho Kifungu cha Sheria Kinachosema (I quoted you here) ".. na taratibu zao ziko wazi kabisa, ukibishia polisi ana ruhusa ya kukulamba zamoto!

Wapi SHERIA za Hapa US zinasema Upumbavu huo ulioandika hapo juu?

Unajua RAIA wangapi WANAUAWA NA Police nchii hii kwa Makosa ya Kipuuzi kabisa!

Mnakaa kwenye vijiwe vya Kahawa Na kuanza Kudanganya watu!
Huyo jamaa aliyeuawa Angekuwa Babako Au Ndugu yako Ungeandika huo uharo hapo Juu?

Mtoto nuksi kwelikweli wewe.

Pata fact hapa. Sio unadanganya watu for the sake of it!

1418265034801.jpg
 
Wacha tabia za kike za cherry picking!
Unamlaumu RAIS wa nchi wakati MAJIZI ni Watu wenu? Wale Viongozi wa makanisa mbona Hujawataja hapa pamoja na MIJIZI YOTE ya Escrow ilioiba zaidi ya BILION 75!
Dawa ngapi Zingenunuliwa kwa Pesa hizo?
Kina mama wangapi Wangepata matibabu kwa Pesa Hizo.

Ajambe mtoto ukamlaumu baba! ?
Hizo ndio busara Mnazofundishwa huko Majumbani Kwenu?

Talking about American law, unaishi Unakojua Wewe halafu unakuja Danganya Watu hapa!
Hebu Niwekee Hicho Kifungu cha Sheria Kinachosema (I quoted you here) ".. na taratibu zao ziko wazi kabisa, ukibishia polisi ana ruhusa ya kukulamba zamoto!

Wapi SHERIA za Hapa US zinasema Upumbavu huo ulioandika hapo juu?

Unajua RAIA wangapi WANAUAWA NA Police nchii hii kwa Makosa ya Kipuuzi kabisa!

Mnakaa kwenye vijiwe vya Kahawa Na kuanza Kudanganya watu!
Huyo jamaa aliyeuawa Angekuwa Babako Au Ndugu yako Ungeandika huo uharo hapo Juu?

Mtoto nuksi kwelikweli wewe.

Pata fact hapa. Sio unadanganya watu for the sake of it!

View attachment 209846

if you know accountability principles then utajua nina maana gani... serikali dhaifu huruhusu watu wanaotumia dini, siasa, ulemavu, etc kujineemesha

a failed state is a mess of everything... hakuna watu nachukia kama makanisa yanayotegemea exemptions huku yakibaka rights za masikini... but who i responsible kuweka vitu right?? ni serikali iliyopo madarakani

Kumbe uko USA?? ndio wale mnaoandaliwa kuwa terrorists wa ndani sio??

they must be watching you
 
if you know accountability principles then utajua nina maana gani... serikali dhaifu huruhusu watu wanaotumia dini, siasa, ulemavu, etc kujineemesha

a failed state is a mess of everything... hakuna watu nachukia kama makanisa yanayotegemea exemptions huku yakibaka rights za masikini... but who i responsible kuweka vitu right?? ni serikali iliyopo madarakani

Now your talking my language!
Ungeandika namna hii toka mwanzo tusingefika hapa!

Sasa km Unakubali kuwa NI SERIKALI ndio responsible then why pinpointed The PREZIDA!!!!

Kuna Viongozi wangapi Walitakiwa Wajiuzuru kwa Hii kashfa Ya ESCROW peke yake! ??????

Nani mpaka sasa kaachia ngazi! Na Ikiwa Kila kashfa Na Matukio ya Ubadhilifu Yanapotokea Basi Tumvamie RAIS kwa KASHFA na Matusi Ni nani atakae washugulikia Hao Wabadhilifu?

Ndio nikasema Akijamba Mtoto basi Ashughulikiwe Mtoto, dhambi Za Mtoto msimbebeshe Baba Hata Siku moja!

Tuanze na Hao viongozi wa Dini kwanza! Manake hao MAPADRI Ndio wananchi wameweka Imani zao Kwao na Kuwaita ni watumishi wa Bwana, kumbe ni VIBAKA wa kutupa wanaonuka TAMAA.

Tukimaliza Hao Turudi kwa Hawa Mawaziri na wabunge!

Kila Mtu abebeshwe Msalaba wake mwenyewe!

Rais Ana majukumu mengi ktk nchi!
Give him a break!
 
Umeomba tuwe waungwana Sasa Fuatana na mimi uone je KITABU CHAKO BIBILIA kimekuweka WEWE NA WAISRAELI sawasawa?

Na Je HUYO YESU KRISTO ambae wewe UNASEMA UMEMPOKEA alikuja Kwa ajili yako na wewe Mtanzania Wa MWANZA? Au Vingine?

Tafadhali SOMA Mpaka Mwisho Halafu Leta Hoja zako NA SIO KEJELI au Maswali ya Kitoto.
Ukifanya hivyo Kahtaan atakuwa Muungwana Sana.

"Yesu akaondoka huko, akaenda kando pande za Tiro na Sidoni. Na tazama, mwanamke Mkananayo wa mipaka ile akatokea, akampazia sauti akisema, Unirehemu, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa-sana-na pepo.- Wala yeye hakumjibu neno. Nao wanafunzi wake wakamwendea, wakamwomba, wakisema, Mwache aende zake;- kwa maana anapiga kelele nyuma yetu. Akajibu, akisema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.- Naye akaja akamsujudia, akisema, Bwana, unisaidie.- akajibu, akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.- Akasema, Ndiyo, Bwana, lakini hata mbwa hula makombo yaangukayo mezani za bwana zao.- Ndipo Yesu akajibu, akamwambia, Mama, imani yako ni kubwa;- na iwe kwako-kama-utakavyo.- Akapona binti yake tangu saa ile.

Mathayo 15.21-28

Kwa maneno yasiotatanisha Yesu Kristo anasema kuwa yeye hakutumwa ila kwa "kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli." Hakuwajia Waarabu, wala Wazungu, wala Wahindi, wala Waafrika, wala Machina.-Kama-hayo hayakutosha kuonyesha kuwa yeye hakuwajia wasio Mayahudi anazidi kufahamisha kwa mfano wa kumkata mtu kiu: Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa." Ikiwa ipo shaka yo yote katika akili ya mtu kuwa maana ya maneno hayo ni kuwa Yesu anasema kuwa hakutumwa kwa kabila nyengine zo zote ila Waisiraili tu na atazame mwenye shaka tafsiri kubwa kabisa ya Wakristo inayoeleza maana wazi maneno ya Biblia,-The Interpreter's Bible, sahifa 441 jalada VII ambamo imeandikwa hivi:--"Yaonekana wazi kuwa Yesu hakika aliamini kuwa ujumbe wake kwanza na khasa ni kwa watu wake mwenyewe."-Ndio maana alisema:

Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.

Mathayo 7.6

Mbwa na nguruwe ni watu wa mataifa yasiyokuwa wana wa Israili km vile mimi na wewe Eiyer.

Ukristo haufai kufundishwa watu wo wote isipokuwa Mayahudi. Hayo ndiyo mawazo ya Yesu, au ya hao walioandika Injili na wakatia maneno hayo kinywani mwa Yesu.--Kama-asemavyo Isaac Asimov katika kitabu chake-Guide to the Bible-(Uwongozi kwa Biblia):

"Suala liliopo ni nani hao mbwa na nguruwe wanaokusudiwa katika mstari huu?
Yaweza kuwa maana ya mstari huu ni kuwa haifai kufunza ukweli wa dini kwa wale wasiotubu katika kejeli zao, au wale waliozama katika madhambi, lakini hayo hayaelekei kabisa. Basi mtu amfundishe nani? Wale waliokwisha amini? Yesu mwenyewe anakanya hayo, kwani aliposhutumiwa kuwa anachanganyika na wenye dhambi ananukuliwa kusema:Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio hawawezi.

Mathayo 9.12

"Upande mwengine, huku kutaja mbwa na nguruwe huweza kuwa ni maneno aliyoyachagua Mathayo kulipa nguvu wazo-lake-kuwa-isifanywe juhudi kubwa kueneza mafunzo ya Yesu miongoni mwa Mataifa mengine. Labda ni nadhari ya Mathayo kuwa ipo khatari kubwa ya hayo Mataifa kuudhika na juhudi za kutaka kuwatanasarisha na kwa hivyo wakawatesa Wakristo; itakuwa ndio 'watageuka na kuwararua'.Na hayo kwa hakika waliwahi kuyafanya. Yaweza kuwa aliona kuwa yale Mataifa yaliyoukubali Ukristo bila ya kuijua Sharia ya Musa yangeweza kuyavuruga mafunzo ya Yesu: 'na kuyakanyaga chini ya miguu-yao.'"


Na juu ya kauli ya Yesu : "Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa,

"Hapa Mathayo kwa uwazi anatuletea Yesu ambaye kazi yake ni ndani ya mipaka ya uwananchi wa Kiyahudi tu."


Tukiendelea na isemavyo Biblia juu ya ujumbe wa Yesu tunapata ushahidi zaidi kutokana na Injili ya Mathayo:

Hao Thenashara Yesu aliwatuma, akawaagiza, akisema, Katika njia ya Mataifa msiende, wala katika mji wo wote wa Wasamaria msiingie.- Afadhali shikeni njia kuwaendea kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.

Mathayo 10.5-6

-Hao Thenashara ni wanafunzi wake kumi na mbili aliowateua mwenyewe Yesu kutangaza mafunzo yake.- Hapo anawapa amri zilizo wazi kuwa wasiwaendee watu wa Mataifa, yaani wasiokuwa Waisraili. Hao wanafunzi kumi na mbili ndio wanaoitwa katika Biblia "mitume" kwa kuwa walitumwa na Yesu. Na wao kama yeye mwenyewe hawakutumwa ila kwa "kondoo waliopotea wa Israel" kwani "si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa."
Kwa nini Yesu alisema maneno kama haya ya kukataa na kukataza kuwafunza dini ila Waisraili tu?- Kwa nini alitumia mifano mibaya kama hivyo "mbwa" na "nguruwe" kwa kuwakusudia hao watu wengine wasio Mayahudi, yaani ndio mimi na wewe mwenzangu?- Wataalamu wa Kikristo na wasio Wakristo wamestaajabishwa na maneno hayo.- Ni maneno machache katika aliyoyasema Yesu ambayo yamewatatiza wasomaji Wakristo kuliko maneno haya.- Wapo wanaoona kuwa Yesu alitumia matusi yale kuwaita wote wasio Mayahudi kufuata mwenendo wa Kiyahudi, yaani ndio hivyo Mayahudi wawaonavyo binaadamu wote wasio kuwa wao. Na wapo wasemao kuwa Yesu akipenda kufunza kwa mifano, na hivyo anafananisha kama kwamba yeye anaamini hiyo imani mbovu ya Kiyahudi ya kudharau watu wasiokuwa kabila yao. Na wapo wengine kama Asimov ambao wanaona maneno yale ni ya Mathayo, na yeye Mathayo (au ye yote yule aliyeandika Injili hiyo) kamuambatisha nayo Yesu maneno hayo, kwa kuwa yeye mwandishi alikuwa Mkristo wa kabila la Kiyahudi na anacho kiburi cha Kiyahudi.
Ama kusema kuwa hakutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa Israeli inaonekana kama kilivyosema kitabu cha The Interpreter's Bible kuwa Yesu hakika kwanza aliamini kuwa alitumwa kwa Waisraili tu.- Ni jambo la kustaajabisha kuwa Mungu au Mwana wa Mungu aje duniani atumwe na kwanza asiujue utumwa wake ila aamini tu kuwa katumwa kwa watu wake wa Kiyahudi basi.- Na kama yeye ni Mungu au Mwana wa Mungu, katumwa na nani?- Kama katumwa na Mungu, basi yeye si Mungu.- Si hilo tu, bali hata akiwa ni Nabii na Mtume wa Mungu tunamtaraji aujue tangu mwanzo huo ujumbe wake aliokuja nao, asiwe kutapatapa, kupapasa,- na kuhangaika katika jambo la msingi.
Hapana haja ya kuyatafutia tafsiri hii na maana hii, hayo maneno yaliyo wazi ya Yesu Kristo.- Yesu hakika hakutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.- Yesu hakika kawakataza "mitume" wake wasende kuwahubiria mataifa mengine.- Yesu ni kweli kaonya kuwa kuwafundisha mafunzo yake hayo mataifa mengine ni sawa sawa na kuwapa mbwa kilicho kitakatifu, na kuwatupia lulu nguruwe. Kwa nini ikawa hivi? Ikiwa Yesu kweli katumwa na Mungu, kwa nini ujumbe wake uwekewe mipaka kwa jamaa zake tu wa Kiisraili, na yeye asikiuke mipaka ile?- Naam, zipo sababu zenye nguvu kwa hayo.
Kwa hakika hayo hayakuwa mageni, wala Yesu hakuwa Mtume wa mwanzo kutumwa hivyo na Mwenyezi Mungu.- Mitume wote waliokwisha kuja kabla yake walikuwa ni Mitume wa vikundi vyao tu, na zama zao tu, na walikuja na mafunzo yao maalumu machache. Musa alikuwa hivyo, na Yesu hali kadhaalika.- Hali yake hali ya wenziwe, ila yeye alikuwa ndiye Mtume wa mwisho katika Mitume waliotumwa kwa kabila maalumu.- Kwa nini Mwenyezi Mungu akafanya hivyo?
Kwa nini Yesu alikatazwa, mathalan, asiwahubirie yeye wala wafwasi wake, Waafrika, au Wazungu, au Wahindi, au Machina, au Waarabu?- Amekatazwa kwa sababu kabila zote hizo zilikuwa hata hazijachukua khatua ya mwanzo ya kuamini Mungu Mmoja.- Kabila hizo na mataifa hayo yalikuwa makafiri ama wa kuabudu masanamu, au kuabudu mapango au miti au viumbe vyengine au kuabudu wanaadamu wenzao.- Na ujumbe wake Yesu ni kutengeneza mwenendo, tabia ya watu ambao tangu hapo wanayo imani ya Mungu mmoja. Yeye hakuwa na uwezo wala muda wa kujenga tangu chini.- Yeye kazaliwa katika umma wenye kuamini Mungu Mmoja, umma wenye sharia ya Mwenyezi Mungu.- Kazi yake kwa muda mchache alioishi na kuhubiri ni kiasi ya kuwapiga msasa tu Mayahudi ambao walikwisha tahiriwa, wanajua cha halali na haramu, na muhimu kabisa wanamjua Mwenyezi Mungu Mmoja, asiyezaa wala kuzaliwa.- Ila yao Mayahudi ni kutokuwa na huruma, na kuifanya dini sharia tu isiyo na roho na imani. Mayahudi waliishika sharia ya Musa kwa dhaahiri yake, lakini waliutupilia mbali uchamngu wa Ibrahimu, wakashika ya kuonekana na watu, na wakatupa ya ndani anayoyaona Mwenyezi Mungu na dhamiri zao.- Walipoacha "mitume" wa Yesu amri hiyo ya Mungu ya kutowendea makafiri wasiomjua Mungu wala msingi wa sharia, ndipo mafunzo ya Yesu yalipochafuka.-- Kwani hao makafiri walipoingia katika Ukristo walijigeuza jina tu, lakini waliingiza karibu yao yote ya kikafiri katika dini ya Yesu, ikaitwa Ukristo, na hali sio Ukristo kabisa aliyoufundisha Yesu.- Mahekalu yao ya kipagani yakageuzwa makanisa, na mizimu na mapango yao yakawa ndio monastari za Kikristo. Lau kuwa Wana wa Israili wangeli mwitikia Yesu, basi Ukristo usingelichafuka kama ulivyo chafuka.
Upton Sinclair akiandika juu ya wakati ilipoingia Dola ya Kirumi katika Ukristo na ikaufanya ndio dini rasmi ya taifa, amesema kwa masikitiko: "Ulikuwa ni ushindi kwa Kanisa, na kwa mwenyewe mwenye kuanzisha (yaani Yesu) ni kushindwa kwa muda. Maana yake ni kuwa maadui zake wamelichukua jina lake, mafunzo yake, na nguvu zake."
Yesu alionya, lakini Paulo hakusikia:

"Katika njia ya Mataifa msiende, wala katika mji wo wote wa Wasamaria msiingie. Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.- Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.- Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na wakawararua."


Yaliyosemwa yamekuwa.- Kwa kitendo cha Paulo kuwaingiza mapagani wa Kizungu katika dini ya Yesu sharia ya Mwenyezi Mungu ikaambiwa ni laana, ikatolewa ruhusa kula nyamafu, nguruwe na damu, na kila kiuzwacho sokoni bila ya kutia wasiwasi wo wote katika dhamiri. Tohara aliyoamrishwa Ibrahimu na Mwenyezi Mungu na Manabii wote wakaifuata mpaka mwenyewe Yesu na wanafunzi wake, Paulo aliipuuza kuwaridhi makafiri. Imani za kipagani za mungu mwana na utatu zilizoenea katika mila za Mithra, Osiris, Attis n.k. zikaingizwa katika dini ya Kikristo.
Katika ufalme wa mbinguni Yesu ana yakini kuwa hatokuwa nao ila wana wa Israili tu. Injili ya Mathayo inasema:

Yesu akawaambia, Amin, nawaambia ya kwamba ninyi mlionifuata mimi, katika ulimwengu mpya, atakapoketi Mwana wa Adamu katika kiti cha utukufu wake, ninyi nanyi mtaketi katika viti kumi na viwili, mkiwahukumu kabila kumi na mbili za Israeli.

Mathayo 19.28

Hata katika maombi yake inaonyesha kuwa Yesu alikuwa anajua mipaka yake na uwezo wake. Madai ya kuwa yeye ni mwombezi, mbali kuwa ni mwokozi, wa ulimwengu mzima ni kumsingizia jambo ambalo mwenyewe hakulidhania. Kumpa mtu cheo asichokuwa nacho ni kumtukana, ni kumvika kilemba cha ukoka, kama Mayahudi walivyotaka kumkejeli kwa kumvika taji la miba. Cheo alicho nacho kwa hakika si kidogo.- Kuwa ni Mtume wa Mwenyezi Mungu miongoni mwa Mitume na Manabii watukufu ni jambo kuu kweli kweli. Kuwa mtumishi wa Mwenyezi Mungu mwenye kupendeza si utukufu mdogo. Na Yesu alitafakhari nao, na alitafakhari kuwa yeye hakutumwa ila kwa- kondoo waliopotea wa Ki-Israili. Na hayo si kwa upungufu wo wote kwa upande wake, ila ni kuutumikia ujumbe wa Mwenyezi Mungu kwa kuulinda usiharibiwe na washirikina mpaka ufike wakati wa kuja huyo atayekuwa kazi yake ni kuitangazia risala ya Mungu kwa ulimwengu mzima.
Katika Injili ya Yohana ananukuliwa Yesu kusema:

Mimi nawaombea hao; siuombei ulimwengu; bali hao ulionipa.

Yohana 17.9

Tukiyachungua vilivyo maneno ya Yesu kama yalivyosimuliwa na Mathayo na Marko ya kuwa yeye alitumwa kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israili, na maamrisho yake yalio wazi kuwapa "mitume" wake wasende kwenye mataifa mengine isipokuwa Mayahudi tu, na kuwa yeye na wanafunzi wake kumi na mbili watakaa katika viti vyao vya utukufu wakizihukumu kabila kumi na mbili za Israili katika ulimwengu mpya wa mbinguni, hatuwezi ila kuhukumu kuwa hao watu anaowaombea Yesu ni hao hao waliokwisha tajwa kabla, yaani wana wa Israili, sio ulimwengu, sio mimi na wewe. Mimi na wewe si Wana wa Israili.- Mimi na wewe ni mataifa mengine.- Mimi na wewe na ulimwengu, usiokuwa wa Kiyahudi, Yesu kesha sema hatuombei, ikiwa tutakubali maneno yaliyoandikwa katika Injili zote.
Ni jambo linalojuulikana katika historia - na hata ukisoma katika Biblia kitabu cha Matendo ya Mitume utaona - ya kuwa Ukristo kwanza haukuhubiriwa kwa mataifa mengine mpaka alipoingia Paulo. Na yeye alipingwa vikali sana kwa kutoa shauri hiyo na wanafunzi wake Yesu waliomwona na wakawa naye siku zote na wakajifunza vilivyo mafunzo yake na makatazo yake ya kwenda kuwahubiria watu ambao bado ni makafiri.Dr. Marcello Craveri anaandika katika kitabu chake-The Life of Jesus:

"Na hapo Paulo akaingia uwanjani.- Kwa heba yake ya kitisho na tamaa yake, hakupoteza wakati ila alijifanya kuwa ni mmoja miongoni mwa 'nguzo' za kikundi kile, kama mwenyewe alivyokuwa kwa kejeli akiwaita Yakobo na Petro. Ukazuka ugomvi na ushindani baina yao na Paulo, na khasa katika shauri ovu la huyu Mkristo mpya kutaka kuivusha dini mipaka ya Uyahudi."


Mtaalamu wa Biblia, Dr. Hugh Schonfield, katika kitabu chake,-Those Incredible Christians, (Wale Wakristo wa Ajabu) ameandika juu ya Paulo na ugomvi wake na wafuasi wa kweli wa asli wa Yesu hivi:

"Saulo wa leo, aliyetumia jina la Kirumi la Paulo, alionekana kama ni adui aliyepandwa na shetani wa Daudi mpya.- Hatimaye alipokuwa mfungwa wa Warumi, hapana Mkristo aliyenyanyua hata udole kumsaidia, la Wakristo wa Yerusalemu wala wa Roma. Juhudi zake Paulo zote, hata kule kukusanya michango kuwasaidia watakatifu masikini wa Yuda, hazikupunguza upinzani dhidi yake. Wale walioshika kani miongoni mwa wana-kanisa la halali walimwona Paulo kuwa ni mtu wa khatari na mharibifu aliyeazimia kupata wafuasi wengi katika Mataifa yasiyokuwa Mayahudi ili apate ushindi wa idadi kuweza kuwapinga Wazee walioko Yerusalemu.- Paulo alikuwa ni adui tangu mwanzo, na kwa sababu alishindwa katika ule uadui wake wa wazi, alijipenyeza kwa hila katika kikundi ili aweze kukibomoa kwa ndani. Hili aliweza kulifanya kwa kuitenga Torati takatifu na kumuingiza katika dini ye yote anayetaka kumfuata kwa kutamka tu imani. Ingelifaa asingekubaliwa kabisa mtu huyu; lakini walikuwapo watu ambao hawakujua wala hawakuwa na shaka naye kwa hivyo hawakutambua nini khasa makusudio yake. Na tazama basi ile imani yao imefikisha wapi hali ya mambo!- Unasara wote, juhudi ya Masihi mwenyewe ikaingia katika khatari ya kudharauliwa kabisa katika Israili. Kwa sababu Paulu ni mmoja katika wasemaji wao wakubwa, na yeye alikuwa akitangaza kuwa Torati ni baatili, haifai tena kwa uwokofu, ikawa inaaminiwa na Mayahudi wachamngu kuwa wafuasi wa Yesu ni makafiri wa mwisho."


Busara ya Mwenyezi Mungu kukataza mafunzo ya Yesu yasikiuke mipaka ya Israili ni kuwa isije dini ya haki ikaharibiwa na ushirikina wa makafiri ulioenea pande zote katika zama zile. Ulimwengu ulikuwa bado haujawa tayari kupokea ujumbe wa ulimwengu mzima, na huyo mwenye kuweza kubeba ujumbe ule hajazaliwa, na umma wa kutimiza jambo hilo na kulieneza bado haujapikika ukawa tayari. Yaliyotokea tumeyaona. Ukristo tuuonao na ulioenea ulimwenguni sio Ukristo aliofundisha Yesu. Wa Yesu ulitoweka na mwenyewe na wafuasi wake wa mwanzo wa kabila la Kiyahudi. Paulo kaufuja Ukristo.
Kauli zinazonukuliwa kwa kudai kuwa ni ushahidi kuwa Yesu mwenyewe alitaka mafunzo yake yakafundishwe kwa ulimwengu wote yamo katika Injili ya-Mathayo 28.19-20, Injili ya-Luka 24.46-49-na-Marko 16.15.- Mathayo inasema:

Basi, enendeni, mkwafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi;- na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.

Mathayo 28.19-20

Luka anatwambia:

(Yesu) akwaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu;- na kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu Yerusalemu. Nanyi ndinyi mashahidi wa mambo haya.- Na tazama, naweletea juu yenu ahadi ya Baba yangu;- lakini kueni humu mjini, hata mvikwe uwezo utokao juu.

Luka 24.46-49

Na Injili ya Marko inasema:

-------- (Yesu) akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.

Marko 16.15

Je, imekuwaje?- Yesu ni kigeugeu?-

Mbona huku anawakataza wanafunzi wake wasende kuwahubiria ila kabila kumi na mbili za Israili, na huku anawaambia nendeni kuwahubiria Injili ulimwengu mzima.- La, Yesu si mbabaishi, wala si kigeugeu. Hebu natuziangalie vilivyo hizo amri mbili, moja ya kuwa mafunzo yake wasifunzwe ila wana wa Israili tu, na ya pili ni hii ya kuwa watu wote wafunzwe dini.
Vipande vyote vitatu tulivyonukulu mwishoni havitaji mambo ya Yesu alipokuwa na maisha yake ya uhai wa kidunia, lakini vyaeleza mambo yaliyotukia baada ya "kufufuka kutoka wafu" kama inavyosimuliwa na Injili zote tatu.- Yajuulikana kuwa Injili ya mwanzo kuandikwa ni Injili ya Marko.- Hizo nyingine ziliandikwa baadae, na labda ujuzi wao ulitegemea hiyo hiyo Injili ya Marko. Yajuulikana vile vile kuwa maneno yote yaliyohusu kufufuka Yesu kutokana na wafu, pamoja na hayo maamrisho ya kwenda kuihubiri Injili "kwa kila kiumbe", kinyume na maamrisho yake yote ya kuwa asihubiriwe ila Muisraeli tu - maneno hayo yote hayakuwamo katik Marko ya asli, bali yaliongezwa baadae.
Encyclopaedia Brittanica, nakla ya 11, jalada 17, sahifa 730, yasema ya kuwa kipande chote hicho kiliongezwa baadae, yamkini mwanzo mwanzo wa karne ya pili, kuchukua maneno yaliyopotea, au yaliyoonekana kuwa ni mapungufu.
William Neil akiandika katika tafsiri ya Biblia iitwayo-Harper's Bible Commentaryanasema:

"Kama lipo jambo lolote katika uchunguzi wa Injili ambalo juu yake wataalamu wamekubaliana, ni kuwa kufika hapa (yaani Marko 16.8) Injili ya Marko inakoma.-Sehemu iliyobaki ya sura (yaani 16.9-20) ndio hiyo iitwayo "Kimalizio kirefu" cha Injili.- Kimalizio hicho hakionekani katika nakla za miswada ya zamani, na ambacho ni nyongeza iliyopachikwa katika karne ya pili kutokana na maongezo ya Mathayo, Luka na Matendo...ushahidi wa kale kabisa ulioandikwa juu ya Kufufuka (Yesu) haumo katika Injili bali katika barua ya kwanza ya Paulo kuwapelekea Wakorintho 15.3-8."


Maneno hayo ya Paulo aliyowaandikia Wakorintho na ndio mara ya kwanza kutajwa kufufuka kwa Yesu ni haya:

Kwa maana niliwatolea ninyi hapo mwanzo yale niliyoyapokea mimi mwenyewe, ya kuwa Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu, kama yanenavyo maandiko;- na ya kuwa alizikwa;- na ya kuwa alifufuka siku ya tatu, kama yanenavyo maaandiko;- na ya kuwa alimtokea Kefa;- tena na wale Thenashara;- baadaye aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano pamoja; katika hao wengi wanaishi hata sasa, ila baadhi yao wamelala;- badaye akamtokea Yakobo;- tena na mitume wote; na mwisho wa watu wote, alinitokea mimi,- kama ni mtu aliyezaliwa si kwa wakati wake.

1 Wakorintho 15.3-8

Ikiwa kipande chote tangu mstari 9 mpaka mstari 20 katika sura 16 ya Injili ya Marko, kimepachikwa, basi kisa chote cha kufufuka Yesu kimebuniwa.- Mwenye kubuni kisa hichi ni Mtakatifu Paulo.- Hivyo ndivyo tunavyoweza kuagua kutokana na kuisoma Biblia, kwani maandishi ya kwanza hayamo katika Injili bali yamo katika barua ya Paulo kwa Wakorintho.
Amesema Craveri katika Maisha ya Yesu:

"Paulo alijihakikishia mwenyewe kuwa ijapokuwa Yesu ni kweli alikufa, lazima awe amefufuka, akiuwacha mwili wake wa kidunia nyuma ili avae mwili wa 'kiroho'...Paulo alichanganya mawazo yake mwenyewe ya kikafiri kafiri ya Yesu kuwa na maisha mapya kwamba ni malipo yake kwa mema yake, pamoja na imani ya Kiyahudi ya kuwajibika mapatano na Yehova (Mungu) na agano la pili.- Kwa hivyo Paulo akafunza kuwa ndiyo haya khasa yaliyokuwa ni kazi ya Yesu, na hicho ndicho cheo chake machoni mwa Mungu:- kafara ya nafsi yake kwa utakatifu wake na kutokuwa na dhambi kwake ili afutie kwa pamoja makosa ya wote."


Ikiwa basi msingi wa hadithi nzima ya kufufuka Yesu hadi ya ubora wake ni kuwa ni ya shaka shaka - licha ya kuwa ni wazi kuwa ni ya uwongo - hapana njia ya kuamini ya Kuwa Yesu wakati wo wote katika historia aliwahi kuamrisha watu "Enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu," kwa sababu haya hakuyasema ila baada ya huko kunakoambiwa ni kufufuka.
Katika Biblia ya Kiswahili iliyo mbele yangu iliyotangazwa na-The British and Foreign Bible Society-1950 kifungu cha Marko 16 tangu mstari wa 9 mpaka mwisho yaani mstari wa 20 kimetiwa katika mipinde miwili hivi ( ) kuonyesha kuwa maneno hayo hayakuwamo katika maandiko ya asli. Ilivyokuwa imethibitika kuwa hayo ya Marko si madhubuti, basi yaliyonukuliwa na Mathayo na Luka juu ya mambo hayo ya kufufuka, na kuamrisha kwenda kuhubiria watu wa ulimwengu, na kuutaja Utatu, yote hayo ni baatili.
Kwa mukhtasari tunaona kuwa Biblia inashuhudia kuwa Yesu alikuwa ni Nabii aliyetumwa na Mwenyezi Mungu kwa Waisraili waliopotea njia.- Hadithi ya kuwa aliamrisha mafunzo yake yakatangazwe kwa watu wote "kwa jina la Baba, na Mwana na Roho Mtakatifu" imebuniwa na kuongezwa mwishoni mwa Injili tatu za Mathayo, Marko na Luka.- Kadhaalika kuwa Yesu alifufuka kutoka wafu kwa njia ya kimiujiza imeongezwa, na kauli ya Utatu basi ya kuwa mafunzo yakatangazwe "kwa jina la Baba, na Mwana na Roho Mtakatifu" pia nayo imebuniwa na wala haina asli yo yote ya kweli

Mkuu nimekuomba ushahidi kutoka vitabu au kitabu cha Wayahudi kinachoonesha kuwa Wayahudi ni binadamu zaidi ya wengine au kinachoonesha Wayahudi ndio binadamu pekee,lakini nasikitija hujafanya hivyi na badala yake umeniletea madai yako mengine kuhusu mambo mengine kabisa na kibaya zaidi umeleta madai yako kutoka kwenye chanzo ambachi Wayahudi hata hawakitaki

Tangu lini agano jipya likawa linazungumzia masuala ya imani ya Kiyahudi?

Nipe ushahidi wa madai yenu kuwa dini ya Kiyahudi inasema wao ni binadamu zaidi ya wengine halafu hayo madai yako mengine tafuta thread yake
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hebu tujifunze kuwa waungwana angalau hata kidogo

Nimeomba ushahidi wa hayo madai kuwa kuna dini ambayo inasema Wayahudi ni binadamu kuliko wengine na hujanipa ba umekuja na maneno yako matupu halafu eti unamalizia kuwa ni Fact,tangu lini maelezo yako yakawa ni fact?

Ni kweli hujui maana ya ushahidi?

Imani ya kila mtu kuwa mwana wa Ibrahim kupitia kumkiri Yesu ni ya Kikristo na sio Kiyahudi na pia tunakuwa waana wa Ibrahimu na sio Wayahudi kama unavyodai wewe

Lakini pia sula la Israel kuwa taifa teule ni imani ya Kikristo na sio ya Kiyahudi hivyo kuitumia imani hii kama ushahidi ni kupotoka!
Eiyer, Read Talmud and especially (Sanhedrin 57a quoted in the last paragraph below) Sanhedrin are the 70 Elders mentioned in the bible and the body that authors and expert in the Jewish Laws, read :

The KKK White Supremacist Judeo-Evangelicans and Tea Party Neo- Conservatives of USA are incited and don't like Jews. And yet here are people who follows their Gospel call of Crusade. Now read what their Brothers in Arms teachings:

The Truth About Talmud
Talmudic Doctrine: Non-Jews are not Human

The Talmud specifically defines all who are not Jews as non-human animals, and specifically dehumanises gentiles as not being descendants of Adam. We will now list some of the Talmud passages which relate to this topic:

"The Jews are called human beings, but the non-Jews are not humans. They are beasts."
Talmud: Baba mezia, 114b

"The Akum (non-Jew) is like a dog. Yes, the scripture teaches to honour the the dog more than the non-Jew."
Ereget Raschi Erod. 22 30


"Even though God created the non-Jew they are still animals in human form. It is not becoming for a Jew to be served by an animal. Therefore he will be served by animals in human form."
Midrasch Talpioth, p. 255, Warsaw 1855

"A pregnant non-Jew is no better than a pregnant animal."
Coschen hamischpat 405

"The souls of non-Jews come from impure sprits and are called pigs."
Jalkut Rubeni gadol 12b

"Although the non-Jew has the same body structure as the Jew, they compare with the Jew like a monkey to a human."
Schene luchoth haberith, p. 250 b

"If you eat with a Gentile, it is the same as eating with a dog."
Tosapoth, Jebamoth 94b

"If a Jew has a non-Jewish servant or maid who dies, one should not express sympathy to the Jew. You should tell the Jew: "God will replace 'your loss', just as if one of his oxen or asses had died"."
Jore dea 377, 1

"Sexual intercourse between Gentiles is like intercourse between animals."
Talmud Sanhedrin 74b

"It is permitted to take the body and the life of a Gentile."
Sepher ikkarim III c 25

"It is the law to kill anyone who denies the Torah. The Christians belong to the denying ones of the Torah."
Coschen hamischpat 425 Hagah 425. 5

"A heretic Gentile you may kill outright with your own hands."
Talmud, Abodah Zara, 4b

"Every Jew, who spills the blood of the godless (non-Jews), is doing the same as making a sacrifice to God."
Talmud: Bammidber raba c 21 & Jalkut 772
How does a Jew prepare for his crime?

Moed Kattan 17a . If a Jew is tempted to do evil he should go to a city where he is not known and do the evil there.
-

Hitting a Jew is the same as hitting God

Sanhedrin 58b. If a heathen (gentile) hits a Jew, the gentile must be killed.
-
-

O.K. to Cheat Non-Jews

Sanhedrin 57a . A Jew need not pay a gentile ("Cuthean" the wages owed him for work.
-

Jews Have Superior Legal Status

Baba Kamma 37b. "If an ox of an Israelite gores an ox of a Canaanite there is no liability; but if an ox of a Canaanite gores an ox of an Israelite...the payment is to be in full."
-

Jews May Steal from Non-Jews

Baba Mezia 24a . If a Jew finds an object lost by a gentile ("heathen" it does not have to be returned. (Affirmed also in Baba Kamma 113b). Sanhedrin 76a. God will not spare a Jew who "marries his daughter to an old man or takes a wife for his infant son or returns a lost article to a Cuthean..."
-

Jews May Rob and Kill Non-Jews

Sanhedrin 57a . When a Jew murders a gentile ("Cuthean", there will be no death penalty. What a Jew steals from a gentile he may keep.


Baba Kamma 37b. The gentiles are outside the protection of the law and God has "exposed their money to Israel."
Jews May Lie to Non-Jews

Baba Kamma 113a. Jews may use lies ("subterfuges" to circumvent a Gentile.
-

Non-Jewish Children are Sub-Human

Yebamoth 98a. All gentile children are animals.


Abodah Zarah 36b. Gentile girls are in a state of niddah (filth) from birth.

Abodah Zarah 22a-22b . Gentiles prefer sex with cows.
Insults Against Blessed Mary

Sanhedrin 106a . Says Mary- was a -----: "She who was the descendant of princes and governors played the harlot with carpenters." Also in footnote #2 to Shabbath 104b of the Soncino edition, it is stated that in the "uncensored" text of the Talmud it is written that Jesus mother, "Miriam the hairdresser," had sex with many men.
-
-

Horrible Blasphemy Against Jesus Christ

Gittin 57a. Says Jesus is being boiled in "hot excrement."

Sanhedrin 43a. Jesus deserved execution: "On the eve of the Passover, Yeshu (Jesus) was hanged...Do you suppose that he was one for whom a defense could be made? Was he not a Mesith (enticer)?"
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nimekuomba ushahidi kutoka vitabu au kitabu cha Wayahudi kinachoonesha kuwa Wayahudi ni binadamu zaidi ya wengine au kinachoonesha Wayahudi ndio binadamu pekee,lakini nasikitija hujafanya hivyi na badala yake umeniletea madai yako mengine kuhusu mambo mengine kabisa na kibaya zaidi umeleta madai yako kutoka kwenye chanzo ambachi Wayahudi hata hawakitaki

Tangu lini agano jipya likawa linazungumzia masuala ya imani ya Kiyahudi?

Nipe ushahidi wa madai yenu kuwa dini ya Kiyahudi inasema wao ni binadamu zaidi ya wengine halafu hayo madai yako mengine tafuta thread yake

Mwanzo ulitaka ushahidi.
Sasa hutaki ushahidi tu! Bali unataka ushahidi KUTOKA KWA WAYAHUDI WENYEWE.!

Sasa toka lini Mtu anaetaka USHAHIDI achague Huo Ushahidi Utakapo tokea? Hii ndio naskia kwako leo!

Kwanza kabisa lzm ufahamu kuwa Ni KANUNI Ya KAWAIDA kuwa Ili wewe na Mimi au Yyt anaetaka Kujiunga Na IMANI YA KIYAHUDI basi LZN AWE NA MAMA WA Kiyahudi 100%.! Kinyume cha hapo Wote sisi kwa imani yao Ni UCHAFU TU!

Kwa Imani ya Kiyahudi Huwezi kuwa Myahudi Mpaka uwe na Damu Ya Ki Israeli na Sababu kubwa ya Kusema hivi ni kuwa Wao Wana IMANI 100% kuwa Waisraeli ni TAIFA TEULE LA MUNGU lililo chaguliwa Kuwa More superior kuliko mataifa mengine yote.

Na hili LIMEELEZWA WAZI KABISA ktk KITABU CHA AGANO la KALE ambalo NI SPECIFIC KWA AJILI YA WAYAHUDI.

Wewe leo Unataka Kukataa kuwa AGANO LA KALE sio LA WAYAHUDI?

Kataa hapa Kuwa AGANO LA KALE sio La WAYAHUDI bali NI la Kwenu Nyie TUFUNGE HUU MJADALA.
Manake Hii tabia Ya Kugeuza geuza Maneno Ndio huwa INANICHAFUA mimi Naamua Kuwapeleka Mtakavyo Nyie!

Kumbukumbu la TORATI 14:1-2
INASEMA WAZI KABISA KUWA.

1Ninyi (waisraeli) mmekuwa wana wa Bwana, Mungu wenu; msijitoje miili yenu, wala msifanye upaa katikati ya macho yenu kwa ajili ya aliyekufa.-
2-Kwa kuwa u taifa takatifu kwa Bwana, Mungu wako, na Bwana amekuchagua kuwa watu wake hasa, kuliko mataifa yote yaliyo juu ya uso wa nchi.-

The Book of Genesis (chapter 17) it also written: "And I [God] will establish My covenant between Me and you [the Jewish people] and your descendants after you in their generations, for an everlasting covenant, to be God to you and your descendants after you."

Hapa AGANO LA KALE limesha waweka WAISRAELI JUU kuliko MATAIFA YOTE DUNIANI.

Sasa Niambie Km Tuipuuze BIBLIA tutafute Vitabu vya kina MICHUZI na willy gamba km Ushahidi.
 
Mtu mweusi anabaguliwa na jamii zote, na rangi zote, mbaya zaidi pia weusi kwa weusi tunabaguana.
 
Now your talking my language!
Ungeandika namna hii toka mwanzo tusingefika hapa!

Sasa km Unakubali kuwa NI SERIKALI ndio responsible then why pinpointed The PREZIDA!!!!

Kuna Viongozi wangapi Walitakiwa Wajiuzuru kwa Hii kashfa Ya ESCROW peke yake! ??????

Nani mpaka sasa kaachia ngazi! Na Ikiwa Kila kashfa Na Matukio ya Ubadhilifu Yanapotokea Basi Tumvamie RAIS kwa KASHFA na Matusi Ni nani atakae washugulikia Hao Wabadhilifu?

Ndio nikasema Akijamba Mtoto basi Ashughulikiwe Mtoto, dhambi Za Mtoto msimbebeshe Baba Hata Siku moja!

Tuanze na Hao viongozi wa Dini kwanza! Manake hao MAPADRI Ndio wananchi wameweka Imani zao Kwao na Kuwaita ni watumishi wa Bwana, kumbe ni VIBAKA wa kutupa wanaonuka TAMAA.

Tukimaliza Hao Turudi kwa Hawa Mawaziri na wabunge!

Kila Mtu abebeshwe Msalaba wake mwenyewe!

Rais Ana majukumu mengi ktk nchi!
Give him a break!

when he applied for a job alijua ana majukumu mengi, you cant excuse any CEO simply because atakua busy

rais has to set a system that will help him to be accoutable sio kuchekacheka na kutangaza ugonjwa as if wengine hawajawahi kuuguza wazazi wao wa kiume

take it from me, i supported JK kwa muda but h he has slost it, for the past two years hana anachofanya zaidi ya kushabikia vitu ambavyo hata madensa wameacha... watch his involvement, busy with mediocrity kuliko intellectuals, sijawahi ona mtu anazungumia drama ya prostate, ambayo si ajabu kwa wanaume wanafika 60 years kuipata kama alichofanya yeye

when you are selfish, then be smart...

at mawaziri --- who appoints the cabinet?? si yeye?? i failed minister reflects a failed president

unless wew ni walewale mazumbukuku mnaoishi kwa favours
 
Mtu mweusi anabaguliwa na jamii zote, na rangi zote, mbaya zaidi pia weusi kwa weusi tunabaguana.

hata sie weusi tunabagua mweusi... imagine ile pesa ya escrow angekua amelamba mbantu... hakuna rangi tungeacha ona, lakini kwasbabu ni burushi, basi wakubwa wanabeba pesa kwenye silver containers kupeleka marekani
 
when he applied for a job alijua ana majukumu mengi, you cant excuse any CEO simply because atakua busy

rais has to set a system that will help him to be accoutable sio kuchekacheka na kutangaza ugonjwa as if wengine hawajawahi kuuguza wazazi wao wa kiume

take it from me, i supported JK kwa muda but h he has slost it, for the past two years hana anachofanya zaidi ya kushabikia vitu ambavyo hata madensa wameacha... watch his involvement, busy with mediocrity kuliko intellectuals, sijawahi ona mtu anazungumia drama ya prostate, ambayo si ajabu kwa wanaume wanafika 60 years kuipata kama alichofanya yeye

when you are selfish, then be smart...

at mawaziri --- who appoints the cabinet?? si yeye?? i failed minister reflects a failed president

unless wew ni walewale mazumbukuku mnaoishi kwa favours

Unachanganya Maneno vibaya mno kiasi kwamba hueleweki!
Sasa "I failed minister!" ni kitu gani tena?
Jadili kibantu Tuendelee na Mnakasha! Hizi lugha za mkoloni zinaweza leta Muadhara.

Rais Sio mpishi!
Anapochagua mawaziri ndani kuna Wasafi na wachafu!
Sasa kwa mtazamo wako Ulitaka JK aachie ngazi au?
Ili hao Wizi Washangilie sio?
 
Back
Top Bottom