Jinsi weusi wanavyouawa na polisi wa Marekani

Jinsi weusi wanavyouawa na polisi wa Marekani

Ubaguzi wa rangi, kabila,dini, koo hautokuja kuisha duniani mpaka siku dunia itakapo kuja kuwa paradiso.
 
Unajua hata kama unawachukia watu fulani kwasababu zozote zile au kwa kuamua tu ni vyema ukafanya hivyo kwa kujilisha ukweli na sio uongo

Au kama umeamua tu kuwachukia bila sababu unaweza kueleweka,lakini kuwachukia watu kwasababu ya kujilisha au kulishwa uongo hiyo inkuwa ni zaidi ya ujuha

Ni dini ipi hiyo ambayo inaonesha binadamu ni Waisrael pekee na kwa ushahidi upi?

IMANI KUU YA waisraeli Ni Kuwa WAO NI TAIFA TEULE na Wako JUU YA VIUMBE WOTE na NI WAO TU WATAKAO INGIA ktk UFALME WA MUNGU.
na BIBILIA inalithobitisha hilo.

Yaani kwa kifupi kwa mujibu wa WAISRAELI Mungu NI MMBAGUZI kawachagua wao tu.
Na hii ndio SABABU KUBWA ya WAKRISTO wa AFRIKA kujifanya na Wao ni WAYAHUDI kume Ni upuuzi mtupu.
Na ndio sababu kuu kwamba mkiristo au mpagani au muislamu ambae HAJAZALIWA NA MAMA WA KIYAHUDI HAWEZI Kujiunga na HIO IMANI.

Nyie mnajidanganya Kila siku kuwa hawa ni wenzenu lkn Wao wanawaona Nyie ka UCHAFU WA Mnyama.
And that is the fact.
 
In short Wayahudi haipendi wakristo and watu yote haifuati dini yao. Sasa hii watu Lokole they like Wayahudi and believe Yesu yeye ni Yahudi. Same time wao ndio naweka yeye kwa Cross +, katika hiyo book yao Talmud wao nasema Jesus toto haramu ya askari wa Roman, wao nasema Maria iko Malaya, pia Yahudi naweza kuuwa anyone na hapana kitu kutokea sababu iko halali ku kill anyone sio Yahudi. They say Christian wote jumbani yao ni Hell. Wao nasema kristo yote sawa na dog. Mambo mingi sana chafu nasema against christians. But the same White Chritians in USA who hates black people and friends of Yahudis are happily enjoying the hospitality of Bongo lokoles like ile Mzee Upako even using flags of Israel and USA on stage!!!
Wewe mdosi uwa unanifurahisha sana, teh teh teh.
 
Wewe mdosi uwa unanifurahisha sana, teh teh teh.

Mimi saidia Jesus kutoa elimu kwa ile sheep napotea kaka. Hata kama nasoma Geeta sisi najuwa what has been going long time. On the other hand the minds of neo-slavic fascists perception being supreme above all human. They are planning the extermination of the entire wold to bring about the Armagedon so they can rule the world.
 
tukitoka hapo tunaambiwa wazungu wana roho nzuri ila waarabu ndo makatili,

We mwarabu nini? Kwa taarifa yako hakuna mtu mkatili duniani kama mwarabu, hata akiwa mkiristo mwarabu
 
Kulikuwa na sababu gani ya kumkaba vile mpaka kumuua wakati mtu alikuwa hana hata silaha yoyote...eti kisa alikuwa anauza sigara.....dah nami naomba haya maandamano huko New york yasiishe mpaka kieleweke

Mkuu nadhani tunaona kama ni mambo mapya ...

Mwangosi kauawa na polisi Wa-Tanzania tena akiwa hana silaha yoyote..

Afadhali hata huko haki inaweza kupatikana..

Mkuu Ubaguzi tulionao Tanzania ni zaidi ya U.S.A..

1-Uislam vs Ukristo
2-Wakulima vs Wafugaji
3-Zenj vs Bara
4-Ukabila...nk

Ukipata muda fuatilia hizi kesi..

1-Dittopile
2-Zombe

Halafu linganisha na hii bila Kuangalia rangi ya ngozi..
 
Mkuu nadhani tunaona kama ni mambo mapya ...

Mwangosi kauawa na polisi Wa-Tanzania tena akiwa hana silaha yoyote..

Afadhali hata huko haki inaweza kupatikana..

Mkuu Ubaguzi tulionao Tanzania ni zaidi ya U.S.A..

1-Uislam vs Ukristo
2-Wakulima vs Wafugaji
3-Zenj vs Bara
4-Ukabila...nk

Ukipata muda fuatilia hizi kesi..

1-Dittopile
2-Zombe

Halafu linganisha na hii bila Kuangalia rangi ya ngozi..

INSIDE KENYA'S DEATH SQUADS

http://www.youtube.com/watch?v=lUjOdjdH8Uk&feature=youtu.be
Watch it on Aljazeera
 
In short Wayahudi haipendi wakristo and watu yote haifuati dini yao. Sasa hii watu Lokole they like Wayahudi and believe Yesu yeye ni Yahudi. Same time wao ndio naweka yeye kwa Cross +, katika hiyo book yao Talmud wao nasema Jesus toto haramu ya askari wa Roman, wao nasema Maria iko Malaya, pia Yahudi naweza kuuwa anyone na hapana kitu kutokea sababu iko halali ku kill anyone sio Yahudi. They say Christian wote jumbani yao ni Hell. Wao nasema kristo yote sawa na dog. Mambo mingi sana chafu nasema against christians. But the same White Chritians in USA who hates black people and friends of Yahudis are happily enjoying the hospitality of Bongo lokoles like ile Mzee Upako even using flags of Israel and USA on stage!!!
basi utakuta umezaliwa aga khan,umesoma olympio primary school pale upanga,umesoma mzizima secondary lakini kiswahili cha ugoko kama hiki...dah...but good analysis anyway.
 
Yaani huyo dingi kupigwa kabari kidoto tuu vile kafa???????
Inawezekana kabisa huyo dingi bonge alikuwa mgonjwa, ndiyo maana watu wazima ki-umri wanashauriwa kufanya mazoezi angalau mara 2 kwa wiki

alikuwa na asthma na wakati anakabwa alikabwa kwa kutumia Illegal Chokehold
 
We mwarabu nini? Kwa taarifa yako hakuna mtu mkatili duniani kama mwarabu, hata akiwa mkiristo mwarabu

Yes I tend to agree with you because all Tutsi and Hutus are Arabs of Rwanda, The Khmer Rouge of Cambodia, Hitler of Germany, Kahtaan's cousins of Israel, Pinochet of Chile, The Bhudist of Myanmar, The Hindus of Gujarat and the Western Axis of Nato with their holy drones and even my Uncles in Punjab Sind are all Arabs,
 
Waarabu nao wana matatizo yao na hayawezi kusafishwa na matatizo ya wazungu

Kimsingi kila jamii ina matatizo yake kwani hata sisi weusi ni wabaguzi vile vile!

Maneno yako ni kweli kila mmoya/ mtu ana matatizo yake, lakini hao unaotaka jaribu ati kuwatetea ni zaidi ya unyama kwa wayafanzao.

Hao Waarabu mara nyingi matatizo yao hutengeezwa na hao Wazungu wako uwaonao ati wana utu kulikoni weye mweusi.

Ukweli waufahamu ila tuu upo naezasema kazini upande wa kiimaani.

Tuendelee na kujifunza tokamana na mada tajwa.

Ahsanta nipo kipembeni hapa.
 
Mimi saidia Jesus kutoa elimu kwa ile sheep napotea kaka. Hata kama nasoma Geeta sisi najuwa what has been going long time. On the other hand the minds of neo-slavic fascists perception being supreme above all human. They are planning the extermination of the entire wold to bring about the Armagedon so they can rule the world.

Armagedon ipi unayoiongelea rafiki?
 
Waarabu nao wana matatizo yao na hayawezi kusafishwa na matatizo ya wazungu

Kimsingi kila jamii ina matatizo yake kwani hata sisi weusi ni wabaguzi vile vile!

unabalance sio?
 
IMANI KUU YA waisraeli Ni Kuwa WAO NI TAIFA TEULE na Wako JUU YA VIUMBE WOTE na NI WAO TU WATAKAO INGIA ktk UFALME WA MUNGU.
na BIBILIA inalithobitisha hilo.

Yaani kwa kifupi kwa mujibu wa WAISRAELI Mungu NI MMBAGUZI kawachagua wao tu.
Na hii ndio SABABU KUBWA ya WAKRISTO wa AFRIKA kujifanya na Wao ni WAYAHUDI kume Ni upuuzi mtupu.
Na ndio sababu kuu kwamba mkiristo au mpagani au muislamu ambae HAJAZALIWA NA MAMA WA KIYAHUDI HAWEZI Kujiunga na HIO IMANI.

Nyie mnajidanganya Kila siku kuwa hawa ni wenzenu lkn Wao wanawaona Nyie ka UCHAFU WA Mnyama.
And that is the fact.

We mwarabu anakuona kama nini bhana..!!
 
We mwarabu anakuona kama nini bhana..!!

Mwarabu ananiona kama nilivyo!
Mwafrika wa Tanzania.
Na kwenye Imani yangu Mwarabu na Mwafrika wa kijijini wote Tunasali kwa namna moja, mwendo mmoja, lugha moja na taratibu moja!

Sio nyie mnajiona Wayahudi wakati makalio Yana upele ka ukuta wa chipping!

Halafu we mgalatia Wa AFRIKA hebu nenda Kasali ktk Kanisa la Wagalatia wa Kichina Km Utapata kitu!
Sana Watakutoa baruti tu kwa kuogopa Utawaibia!
 
Back
Top Bottom