Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
Mie nimekutambua kwa ile ingine mwaya.. Nimekuhamsalama my dear mdogo wangu!malizia tu manengelo bana😉
Amigo sikutaka kabisa upite hapa unaniharibia mipango ha ha haHa ha ha, mimi hata huku sijui imekuwaje nimekuja leo, napakimbiaga sana nabakia kusoma nyuzi tu.
Nadhani Evelyn Salt kasababisha nichangie huu uzi.
Namwonea huruma labda nimlipe 100khuyo dgo tumwajir ... Awe anatutypia txt .... Buku moja inamtosha
Mimi pia maana miaka ya 2010-2013,nimezipiga sana siasa hasa za maziwa makuubasi akija ALHAMDULILAH.... ila hahah mie kutongoza mtu simjui inanichukua wakat mgumu sana... maana humu katika threads za SIASA huwa sometimes naandikaga shit.. unaweza kukuta JIWE katuma chambo
sifikirii kuingia PM ya demu humu.. akija kwangu nitarespond fresh ila kuhusu serious relationship.. kwa kweli hapana.. bado nataka niishi
huenda unafananisha kweli!ila nna acc 1.....ni vile sikujitambulisha as guest... worry natMie nimekutambua kwa ile ingine mwaya.. Nimekuham
Okay bro hongera kwa kugombaniwa, hata panzi akianguka chini sisismizi wanamgombania.Kwangu sina neno maana mim sio mtongozaji wanakuja wenyewe kwa kugombania
yule huwa hatumbui hapo hapo.. anakuvizia ujisahau atume watu wasiojulikana waje wakukamueMimi pia maana miaka ya 2010-2013,nimezipiga sana siasa hasa za maziwa makuu
Duhkuna mbaba humu mchachu km wasira!jaman akishasikia manengelo anaenda kula anatuma salio jama had raha!na aatuma ahd ya kutolea!rahajeee!
Okay bro hongera kwa kugombaniwa, hata panzi akianguka chini sisismizi wanamgombania.






eve jaman mm nakufa!nacyeka km chizi jaman!khaaaaa!hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaOkay bro hongera kwa kugombaniwa, hata panzi akianguka chini sisismizi wanamgombania.
MmhhNataka nianzie kwako nione kama itazaa matunda
unataka kuniambia nini ?
hebu njoo pm tuongee basi ankooo





Nikwambie nn zaidi ya kukupenda mm anko wanguSio kila Pm zinapelekea mahusiano. ...nyingine nikuunda network kwa ajili ya mambo mengi nje ya Mahusiano...sifikirii kuingia PM ya demu humu.. akija kwangu nitarespond fresh ila kuhusu serious relationship.. kwa kweli hapana.. bado nataka niishi
ohh hakuna shaka mamy..duniian wawili wawili
yeeeees insta babe 😂😂😂Insta babe wa Jimmie
![]()
Yah nahis tumewrong wakwetu lol
Mmhh