Jinsi watu wanavyotongozana JF

Jinsi watu wanavyotongozana JF

Kwa kutumia mbinu ya mwisho ya mtoa mada nimekula vichwa vitatu humu mdani

Naweza kusema ni mbinu bora zaidi
 
bro wangu alinijengea sana kujiamini... mbele ya hawa viumbe...Alikuwa na usemi "UKICHEKA na NYANI utavuna MABUA" alaf alikuwa na kiupepo cha kupata madem.. yaan wanakuja wengine nyumbani wanajifanya kupikapika pale.. yeye akirudi kutoka job anawatimua na fimbo..

braza kakurisisha 😂
 
Wanaokuja pm kwangu ni wahenga alafu wana pesaaa na hawajawahi comment wala kulike msilishane matango pori mm huwa najibu I'd kongwee full stop
 
Back
Top Bottom