Jinsi wasomi wanavyodhalilishwa Bungeni

Nasikia darasa la 7 hupita kiujanja,umafia ulozi,rushwa nk.mbunge wa Rungwe alienguliwa baada ya kuhisiwa anatoa rushwa ni la 7.
Lusinde na msukuma huwa hawana hoja na uchambuzi bali kushambulia watu.
Kuna makabila bado yanachagua wabunge darasa la saba.
Shida inakuja unakuta huoni tofauti Kati ya la saba na mwenye elimu kwenye kujenga hoja
 
Nasikia darasa la 7 hupita kiujanja,umafia ulozi,rushwa nk.mbunge wa Rungwe alienguliwa baada ya kuhisiwa anatoa rushwa ni la 7.
Lusinde na msukuma huwa hawana hoja na uchambuzi bali kushambulia watu.
Kuna makabila bado yanachagua wabunge darasa la saba.
Sio la saba Tu Bali the most of them upita kiujanjaunja
 
Wote wanamsema Prof. Sospeter Muhongo, alipouponda Umeme unaotokana na Maji ikionekana analenga Bwawa la JNHP...

Hapo ndipo Shule yake ilipotiliwa shaka.....
 
Tutakapofikia hatua ya kuweza kujua maana halisi ya elimu

Tutafikia hatua ya kuweza kuheshimu na kuwaheshimu wote wenye elimu isiyo rasmi na elimu rasmi

Binafsi nathamini elimu rasmi kama ilivyo kwa ile isiyo rasmi lakini naamini kwamba elimu rasmi haimsaidii mtu kama hawezi kuitumia kuongeza thamani na ubora wa mazingira yanayotuzunguka

Hayo makaratasi yanaoyoitwa diploma, degree, masters, PhD yasitudanganye tukajihisi bora zaidi na kuanza kupandisha mabega juuuu sababu kuna wasiokua nayo na pia wanafanya vitu vikubwa tu
Sawa uko sahihi, lkn wanachofanya kina Msukuma na Kibajaji siyo weledi bali kudhalilisha na kutaka km vile kuaminisha watu kuwa elimu na wenye elimu hawana maana. Hiyo si sawa kabisa na ndiyo utaona pia wanaongea hayo kwa sababu ya ukosefu wa elimu ambayo ingewasaidia kuwafanya wajitambue.

Hatuwezi kusema wale ni zaidi ya wasomi wetu eti tu kwasababu ya uwezo wao wa kubwabwaja,kuropoka na kukejeli elimu za watu pale bungeni.
 
Kama unamuongelea JPM ujue tuu ameitendea haki kwenye miaka yake akiwa mwalimu, miaka 20 ya Uwaziri na sita ya u6rais.
Hajawahikuitumia PhD kama unavyoitumia wewe kwenye mitandao ilihali hakuna lolote ulilowahi kuifanyia jamii yako

Halafu acha kumlinganisha hayati John Pombe Joseph Magufuli na vitu vya ajabu ajabu

dudus elimika






Rest well our hero President John Pombe Joseph Magufuli
Kumsifu huyo marehemu ni uzwazwa tu. Mshenzi fulani tu yule, ni washenzi wenzake tu wanaweza kumsifu.
 
"Elimu ni ufunguo wa maisha" hii ni kauli ambayo wengi wengi tumeisikia sana katika juhudi zetu za kutafuta maarifa na ujuzi kwa ajiri ya maisha yetu. Lakini kwa mazingira ya Tanzania elimu imekuwa kitu kingine tofauti kama vile nongwa, kejeli, dhihaka na masimango.

Hakuna kitu kinachouma na kusikitisha kama bunge ambacho ni chombo kinachotunga sheria kuongozwa na ushabiki badala ya weledi Watanzania tujitathimini.

Kitendo cha Wabunge wa darasa la saba kuwashambulia wasomi wakiongozwa na spika sio cha kiungwana na wala hatafika popote maana hakuna ya kuwa na weledi.

Ni muda sasa Wasomi wajitizame kwenye kisha waangalie kama niwaminifu kwenye taaluma zao. Wasomi waaminifu na taaluma zao hawawezi kukubali kudhalilika sababu tu wametoa mawazo tofauti na wengine.

Kitendo cha akina Msukuma na Lusinde kupayuka bungine kumsema mtu kwa "defense mechanism'' bila kutoa hoja ni wazi kabisa bunge halithamini weledi badala ya ushabiki na umbea.

Tanzania mama yangu☺️☺️☺️
Mkuu sio kuwadharirisha bali ni kuwaambia ujinga wao sio kila msomi anakuwa na akili ya maisha,wengi wao wanakuwa vichaa kama ulikuwa hujui ,Kibaji na Musukuma wana akili nyingiilalabda kwa kuwa mazingira ya kusoma wakati wao hayakuwawezehsa kuendelea, sio kweli kuwa kwa kuwa mtu kaishia darasa la saba basi asiwasema wenye PhD zao kisa wamesoma,wengine wana digrii za utapeli na wengine pamoja na kuwa ni wasomi ni wapumbavu tu, wengine pamoja na kuwa ni wa darasa la saba wanaishi mazuri sana kulinganisha na hao walikula vitabu,sio kila msomi ana akili ya maisha na si dhambi kumsema mtu msomi,anasemwa Mungu iwe ndio hawa na aliyesemwa ni huyo Profesa Muhongo na sio wasomi wote yeye ndie wa kulaumiwa kwa kudharirisha wasomi wenzake kwa kuleta pumba bungeni wakati tunajua ni choli tu na mtu asiyejiamini,angekuwa anajiamini angeyesema yote hayo wakati Jiwe likipumua.
 
Tatizo ambalo wengi hamjaliona ni kwamba hakuna hata msomi ameenda pale bungeni sababu ya weledi wa taaluma yake. Pale ni siasa, kupiga domo. Mtu ana PhD ya udaktari wa binadamu yuko pale bungeni halafu unataka akuonyeshe weledi wa PhD yake ktk kilimo au uvuvi.

Ndiyo maana mtu km huyu utaona anapewa uwaziri mfano viwanda na biashara. Hawezi kuonyesha weledi na ndiyo maana utaona wakina Msukuma wanamwona ni wa kawaida hana lolote. Hapo hujaweka hapo ubovu wa mfumo wetu wa elimu.

Hawa darasa la saba wanajistukia, wanajihami ili na wao waonekane wamo.

Hawa wasomi hawajibizani nao kwa sababu wanajua kwanini wako pale bungeni. Siasa Siyo fani zao, Ni maslahi yamewapeleka pale na wako na wajinga waliokosa japo mwanga kidogo wa elimu hivyo Hakuna haja ya kubishana na wajinga.

Lkn msomi huyu huyu ambaye Hawa darasa la saba wanambeza, mfano daktari wa binadamu siku akiacha siasa akaajiriwa ktk hospitali fulani au akawa pale Muhimbili na msukuma au Lusinde akienda kutibiwa pale atampangia namna ya kumtibu? Jibu ni lazima Lusinde na Musukuma wawe watulivu na wafuate maelekezo ya kitaalamu.

Tuheshimu tu elimu za watu. Km umeikosa Elimu kubali kuna walioipata hiyo Elimu.Wananikera sana hao empty set hapo bungeni.

Majimboni kwao ni nyumba za tembe,wanakunywa maji ya madimbwi na mifugo.Shule ziko hoi.

Au basi elimu yetu iishie la saba ili tufanane.
 
Uzuri wa elimu huwa haiongopi. Unaweza kuibeza leo lakini ikaja kukuumbua miaka 20 mbele. Mimi wala sina hofu maana waliokimbia umande kipindi tunasoma walijiona wameyapatia sana maisha na wengine walianza kushika pesa mapema.

Hao wabunge LY nawaombea maisha marefu.Tutaelewana tu mbele ya safari.
 
Kama unamuongelea JPM ujue tuu ameitendea haki kwenye miaka yake akiwa mwalimu, miaka 20 ya Uwaziri na sita ya u6rais.
Hajawahikuitumia PhD kama unavyoitumia wewe kwenye mitandao ilihali hakuna lolote ulilowahi kuifanyia jamii yako

Halafu acha kumlinganisha hayati John Pombe Joseph Magufuli na vitu vya ajabu ajabu

dudus elimika






Rest well our hero President John Pombe Joseph Magufuli

Alikuwa mwalimu Wa primary?.
 
"Elimu ni ufunguo wa maisha" hii ni kauli ambayo wengi wengi tumeisikia sana katika juhudi zetu za kutafuta maarifa na ujuzi kwa ajiri ya maisha yetu. Lakini kwa mazingira ya Tanzania elimu imekuwa kitu kingine tofauti kama vile nongwa, kejeli, dhihaka na masimango.

Hakuna kitu kinachouma na kusikitisha kama bunge ambacho ni chombo kinachotunga sheria kuongozwa na ushabiki badala ya weledi Watanzania tujitathimini.

Kitendo cha Wabunge wa darasa la saba kuwashambulia wasomi wakiongozwa na spika sio cha kiungwana na wala hatafika popote maana hakuna ya kuwa na weledi.

Ni muda sasa Wasomi wajitizame kwenye kisha waangalie kama niwaminifu kwenye taaluma zao. Wasomi waaminifu na taaluma zao hawawezi kukubali kudhalilika sababu tu wametoa mawazo tofauti na wengine.

Kitendo cha akina Msukuma na Lusinde kupayuka bungine kumsema mtu kwa "defense mechanism'' bila kutoa hoja ni wazi kabisa bunge halithamini weledi badala ya ushabiki na umbea.

Tanzania mama yangu
Spika mpumbavu hawezi kuongoza taasisi yenye watu werevu
 
Nchi za watu elimu kubwa ya mtu inajipambanua kwa kile anakitoa kwa jamii inayomzunguka kukabiliana na changamoto mbali mbali.

Huku Afrika elimu za watu ni vyeti vingi acha wayaoge tu.
Prof mzima anashauri nchi iachane na uzalishaji wa nishati ya umeme kwa njia ya maji.
Shida yetu ni kwamba hata hatusikilizi tukachambua hayo wasomi wetu wamesema nini. Mwandishi wa habari akitufanyia muhtasari tu na kutafsiri anavyopenda yeye au anavyoona gazeti litauzika, basi ndiyo na sisi tunaimba na kukariri hivyo hivyo.

Ulisikiliza alivyozungumza Prof kuhusu umeme wa maji?
 
Tutakapofikia hatua ya kuweza kujua maana halisi ya elimu

Tutafikia hatua ya kuweza kuheshimu na kuwaheshimu wote wenye elimu isiyo rasmi na elimu rasmi

Binafsi nathamini elimu rasmi kama ilivyo kwa ile isiyo rasmi lakini naamini kwamba elimu rasmi haimsaidii mtu kama hawezi kuitumia kuongeza thamani na ubora wa mazingira yanayotuzunguka

Hayo makaratasi yanaoyoitwa diploma, degree, masters, PhD yasitudanganye tukajihisi bora zaidi na kuanza kupandisha mabega juuuu sababu kuna wasiokua nayo na pia wanafanya vitu vikubwa tu
Maisha pia yanafundisha. Mara zote ubongo huchakata taarifa mbalimbali kutoka mazingira aishiyo mtu. Haijalushi madarasa bali mazingira akuliayo mtu.
Ila elimu ya darasani haitakiwi kubezwa maana inachochea akili pia. Inategemea mtu anazungumzia nini. Asiyesomea, mfano, udaktari atamzidije daktari katika taaluma hiyo.
 
Mi nadhani kwamba wasomi wa kiwango cha PhD na maprofesa wanaposhindwa kusimama katika Taaluma zao kufikia hatua ya kutoa matokeo chanya katika maendeleo ya nchi katika maeneo waliyobobea badala yake wanajiunga kwenye siasa hasa za nchi maskini kama zetu ambazo kusema ukweli ni usaliti dhidi ya watawala ni haki yao kabisa kudhalilishwa na VII leavers ambao kwao uwanja wa siasa za nchi maskini unawapedelea.Ni sawa na Messi aamue kuja kucheza Ligi ya Vodacom na kucheza kwenye viwanja vya Manungu au Katavi halafu akaanza kulalamikia ubora wa viwanja na waamuzi ataonekana kuwa yeye ndio kavamia ligi isiyo ya level yake. Hivyo hao maprofesa katika bunge ambalo minimum qualifications as mtu kugombea ubunge ni kujua kusoma na kuandika ni aibu profesa kujiingiza kwenye mchanganyiko huo.
 
Wacha watukanane na kuvunjiana heshima wenyewe kwa wenyewe wale waliokuwa wakiwatukana sasa hawako bungeni ni raha tupu.
Ni kweli sasa hivi bunge limekuwa kama kikao cha matayarisho ya "kitchen party". Ndugai ameshindwa kulipa heshima kwa kushiriki na utani na vijembe. Bunge ni sehemu ya kujadili serious issues, lakini linapotumika kama sehemu ya kupeana mipasho, inasikitisha. Ni kweli, wakati mwingine huwa zinatoka hoja kwa wasomi, mpaka unasikitika na kutoamini hiyo hoja imetoka kwa mtu mwenye Ph.D., inapotokea hivyo inawapa nafasi wabunge vilaza kujitutumua, maana hoja za wasomi zinakuwa hafifu na za kuchekesha! Lakini sasa hivi kuna kudhalalishana kunakobarikiwa na Spika. Spika anatakiwa awe serious na asilete utani maana anapokuwa amekaa kwenye kile kiti yuko kazini, na kazini hatutaniani. wale wanaodai kuwa Spika amepwaya, ni kweli amepwaya na anakitia hicho kiti, heshima mbaya.
 
Halafu wasomi wetu bwana, kazi kulialia na kutaka mheshimiwe eti kwa sababu tu mmesoma, mnashangaza sana!
Usomi wenu umeisaidiaje jamii inayowazunguka?
Mmetumiaje nafasi za kuutumikia umma mlizopewa? Jamii imenufaikaje na utumishi wenu? Wengi wenu mmegeuka na kuwa majizi ya mali ya umma na kusababisha maisha magumu kwa wananchi; halafu mnataka mheshimiwe eti kwa sababu mmesoma?!
Msomi anayeshauri bungeni tuache miradi yenye manufaa makubwa kwa jamii, badala yake tufuate ushauri wake eti kwa kuwa yeye au rafiki yake ana dili la ulaji kwenye huo mradi, hivi huyo ni msomi kweli, au mchumia tumbo tu?
Please wasomi wetu, kama mnataka tuwaheshimu kwa usomi wenu, tueleweni wananchi tunataka nini, na mtumie usomi wenu kutatua changamoto zetu. Wekeni pembeni personal interests zenu, muungane nasi kutafuta maendeleo ya taifa letu.
 
Back
Top Bottom