uchumi2018
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 1,424
- 1,966
Kweli kabisa. Pia kwenye ulimwengu wa sasa kuna kitu kinaitwa ''certification'' unamkuta mtu ni injinia wa civil au mechanicalUmeona sasa....kijana kama huyo huwez kumfananisha na mtu alosoma miaka yake mitatu ya ubabaishaji mwingi na chabo za kutosha
Kitu kingine watu wanachokosea au kusahau mbali na elimu kuna watu wanazaliwa talented iwe kwenye siasa au maeneo mengine yoyote yale, so unapokuta mtu yuko talented anaweza kuwork ethnically and successfully kuliko yulr ambae alipata GPA yake ya upper second tena ilojaa mazonge na harakati za ajabu..Mifumo yetu ya elimu sio rafiki kwenye soko la ushindani wa ajira,
lakini ukimpeleka kwenye kuomba kazi kwenye makampuni ya kimataifa,unaambiwa kama hajawa certified na mamalaka zinazotambulika hawaweza kumuajiri kwa sababu bima zao zinataka watu waliothibitishwa,unamkuta mtu hata kama ni mzuri kiasi gani anakosa kazi sababu ya kutothibitishwa.
Ni vizuri vyuo vikongwe kama UDSM vijikite kufanya mabo makubwa kama hayo ili wasomi wetu wawe na soko la ndani na nje ya nchi vinginevyo kupigana vikumbo na sisi la saba hakutaisha,maana mchango wao ktk jamii kama wasomi tusipouona usitegemee heshima.