Jinsi wasomi wanavyodhalilishwa Bungeni

Jinsi wasomi wanavyodhalilishwa Bungeni

zima kifanywe kwanza na wajiolojia na alikuwa anaeleza kwamba badala ya kuelekeza nguvu zote kwenye umeme wa maji ni wakati sasa wa kuangalia pia uzalishaji wa umeme kupitia vyanzo vingine ni kwasababu ameshaoversee impact zake akatoa mfano tukiwekeza kwenye wind, gas, geothermal, coal na nyinginezo ambazo ni very essential kwa ulimwengu wa sasa je hapo hajatumia usomi wake? tumefuatilia ni consultancy ngapi anazifanya kwa taifa hili za kijiolojia na hata tumseme hakuna anachofanya kama msomi? na je hawa wasomi waliopo bungeni tukisema waondoke bungeni tuwaache wakina msukuma tu unadhani tutakuwa na nchi ya aina gani? Mtu anapayuka wasomi wanaliletea taifa hasara je tujiulize kuna waziri au naibu asiye msomi? kuna makatibu wakuu na wasaidizi wasio wasomi? na je project zote zinazoendelea na kujengwa zinafanywa na wasio wasomi? Hayo makampuni wanayoyaleta kufanya project kubwa na wanarecruit wasomi wakubwa wa hapa nchini ni wajinga? Tulipofikia kama taifa ni pabaya kuanza kudharau wasomi. Inasikitisha sana
Hapo kwenye ulimwengu wa sasa ndipo alipodanganya kwakua hizo zote ni energy za ulimwengu uliopita...Wa sasa ni wa renewables na clean energy...Hayo mengine yote ni sawa kwangu...

Tatizo lake ni dhamira ya kutoa hayo mapendekezo...Alifatuta angle nzuri ya ku act smart...Hiyo ni unethical kutumia taaluma yako kuji justify its called self seeking!
 
Ukiachilia mbali wasifu wa Prof Muhongo akiwa UDSM, mchango wake Bungeni ni mdogo Sana hata hoja zake, hazina tofauti na hoja za Msukuma. Tusijifiche kwenye kichaka Cha Usomi, tuambizane ukweli. Wasomi wetu wengi wamegeuka kuwa madalali. Kama Prof Muhongo angekua mzalendo, Leo nchi isingekua inahangaika na umeme wa maji. Umeme wa gesi ya Mtwara ulikua unatosha Kama wasingeuuza kwa Mabeberu ( Enzi akiwa Waziri). Nakumbuka vurugu za Masasi zilivyosababisha maumivu na vifo kwa wananchi maskini huku akina Muhongo wakineemeka na miradi mibovu ya gesi.
 
sio bungeni tu hata huku mtaani jiran darasa la 7 anamali mara 100 ya profesa mtaa huo huo, huu sio udhalilishaji?
Wasomi wa Tanzania na Africa tujitafakari, tofauti yetu na wasomi wengine ni kuwa elimu ya hao wemgine inaleta matunda ya kwetu inaleta mizigo kwa walipa kodi...
 
Ukiachilia mbali wasifu wa Prof Muhongo akiwa UDSM, mchango wake Bungeni ni mdogo Sana hata hoja zake, hazina tofauti na hoja za Msukuma. Tusijifiche kwenye kichaka Cha Usomi, tuambizane ukweli. Wasomi wetu wengi wamegeuka kuwa madalali. Kama Prof Muhongo angekua mzalendo, Leo nchi isingekua inahangaika na umeme wa maji. Umeme wa gesi ya Mtwara ulikua unatosha Kama wasingeuuza kwa Mabeberu ( Enzi akiwa Waziri). Nakumbuka vurugu za Masasi zilivyosababisha maumivu na vifo kwa wananchi maskini huku akina Muhongo wakineemeka na miradi mibovu ya gesi.
Mimi siwaelewi na huo umeme wa gas kuwa wa faida kuliko wa maji, are you people serious?
Basi si mtumie tu hata google ambayo inakila juncks muone kama haya madai yenu yana ukweli?

Kisha mikataba yenyewe mbona haiwekwi public tuone?

Uzalendo na mengine tupo pamoja
 
"Elimu ni ufunguo wa maisha" hii ni kauli ambayo wengi wengi tumeisikia sana katika juhudi zetu za kutafuta maarifa na ujuzi kwa ajiri ya maisha yetu. Lakini kwa mazingira ya Tanzania elimu imekuwa kitu kingine tofauti kama vile nongwa, kejeli, dhihaka na masimango.

Hakuna kitu kinachouma na kusikitisha kama bunge ambacho ni chombo kinachotunga sheria kuongozwa na ushabiki badala ya weledi Watanzania tujitathimini.

Kitendo cha Wabunge wa darasa la saba kuwashambulia wasomi wakiongozwa na spika sio cha kiungwana na wala hatafika popote maana hakuna ya kuwa na weledi.

Ni muda sasa Wasomi wajitizame kwenye kisha waangalie kama niwaminifu kwenye taaluma zao. Wasomi waaminifu na taaluma zao hawawezi kukubali kudhalilika sababu tu wametoa mawazo tofauti na wengine.

Kitendo cha akina Msukuma na Lusinde kupayuka bungine kumsema mtu kwa "defense mechanism'' bila kutoa hoja ni wazi kabisa bunge halithamini weledi badala ya ushabiki na umbea.

Tanzania mama yangu☺️☺️☺️
Wasomi walioko Bungeni wanatakiwa waache kuropoka ropoka kama laymen. Wanatakiwa wawe na aina fulani ya ustaarabu unaoendana na kiwango cha elimu waliyonayo. Unfortunately ustaarabu huwa haufundishwi darasani, ni bidhaa ambayo msomi huwa anaipata ikiwa imejificha nyuma ya elimu aliyonayo. Pale inapokuja inatokea kuwa kuna mismatch kati ya ustaarabu na elimu aliyonayo mtu, tayari hapa mtu anaanza kuhesabiwa kuwa hajaelimika. Kawaida, kiwango cha elimu aliyonayo mtu na level ya ustaaarabu wake huwa ni lazima vi-match.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Wasomi walioko Bungeni wanatakiwa waache kuropoka ropoka kama laymen. Wanatakiwa wawe na aina fulani ya ustaarabu unaoendana na kiwango cha elimu waliyonayo. Unfortunately ustaarabu huwa haufundishwi darasani, ni bidhaa ambayo msomi huwa anaipata ikiwa imejificha nyuma ya elimu aliyonayo. Pale inapokuja inatokea kuwa kuna mismatch kati ya ustaarabu na elimu aliyonayo mtu, tayari hapa mtu anaanza kuhesabiwa kuwa hajaelimika. Kawaida, kiwango cha elimu aliyonayo mtu na level ya ustaaarabu wake huwa ni lazima vi-match.
Kipimo cha usomi ni ustaarabu...Vinginevyo mtu anakuwa hajaelimika na ndicho mtu anaelezwa akiwa anafanya PhD na anapimwa kwa jinsi hii siku ya mtihani wake wa mwisho
 
Kipimo cha usomi ni ustaarabu...Vinginevyo mtu anakuwa hajaelimika na ndicho mtu anaelezwa akiwa anafanya PhD na anapimwa kwa jinsi hii siku ya mtihani wake wa mwisho
Nafurahi sana kulijua hilo, sina PhD
 
Safi Sana, watu wanajua usomi ni kujaza ma certificate.. Educate comes from lattin name " Educo"which means draw from within. Maarifa yoyote unayoyatoa ndani kutokana na elimu uliyoyapata, yakaleta impact kwako na kwa jamii hiyo ndio huitwa elimu.
Watu wajinga sana. Kuna mtu amezaliwa garage, hajaenda shule ila amecheza na magari tangu akiwa mdogo mpaka amekuwa mkubwa.Mwingine alisoma shule mpaka form four,akamaliza akaenda VETA kusomea ufundi wa magari kwa miaka miwili. Kati ya hayo wawili unategemea nani atakuwa na uzoefu zaidi?


Tunawaona hata huku mitaani, vijana wananiita wasomi ila hawana chochote wanavhoweza kufanya kwenye jamii, wanabagua kazi, hawana nguvu, kutwa kushinda mitandaoni tu.
 
"Elimu ni ufunguo wa maisha" hii ni kauli ambayo wengi wengi tumeisikia sana katika juhudi zetu za kutafuta maarifa na ujuzi kwa ajiri ya maisha yetu. Lakini kwa mazingira ya Tanzania elimu imekuwa kitu kingine tofauti kama vile nongwa, kejeli, dhihaka na masimango.

Hakuna kitu kinachouma na kusikitisha kama bunge ambacho ni chombo kinachotunga sheria kuongozwa na ushabiki badala ya weledi Watanzania tujitathimini.

Kitendo cha Wabunge wa darasa la saba kuwashambulia wasomi wakiongozwa na spika sio cha kiungwana na wala hatafika popote maana hakuna ya kuwa na weledi.

Ni muda sasa Wasomi wajitizame kwenye kisha waangalie kama niwaminifu kwenye taaluma zao. Wasomi waaminifu na taaluma zao hawawezi kukubali kudhalilika sababu tu wametoa mawazo tofauti na wengine.

Kitendo cha akina Msukuma na Lusinde kupayuka bungine kumsema mtu kwa "defense mechanism'' bila kutoa hoja ni wazi kabisa bunge halithamini weledi badala ya ushabiki na umbea.

Tanzania mama yangu☺️☺️☺️
Kuna mojawapo ya matamko ya zamani sikumbuki ni ahadi za chama au nini ilikuwa inasema "HESHIMA YA MTU ITATOKANA NA HUDUMA YAKE KWA UMMA'' mwisho wa kunukuu,ukiona heshima ya wasomi inashuka bungeni ujue huduma yao bungeni na michango yao ya kimawazo bungeni imeshuka.
Tulizoea wasomi kuwa watatuzi wa matatizo na siyo kuleta matatizo,Wasomi wakijitambua heshima itarudi sio suala la kutafuta heshima kwa kulunzi,kama ipo itakuwepo tuu. Wananchi hatuhitaji mtu anayejua kupangilia misitari,bali tunataka mtu mbunifu wa kutatua matatizo yanayotukabili bila kujali ana kiwango gani cha elimu.
Leo hii mainjinia wamehamia bungeni badala ya kuwa viwandani na kujenga barabara, madokta wa binadamu wamehamia bungeni badala ya kwenda mahospitalini kutibu wagonjwa wanasheria hali kadhalika na wengine wengi sasa dawa naona akina kashekuu na wenzake wameitafuta.
 
Hivi kama huna elimu utafanya upasuaji? utajenga madaraja? kama umeishia darasa la saba sio tatizo
Kwa hiyo hao waliopo bungeni wanafanya hayo uliyoyataja? wacha wapate vidonge vyao,
Wasomi tuliopo makazini tusijione wanyonge tuendelee kuchapa kazi,akina kasheku wakija hosipitalini wanaumwa tukawatibu
wakiishapona tuwaulize kama kusoma kuna faida au hakuna. Lakini hizi story za kujiita msomi huku umekaa chini na kuita mh.spika hakuna asiyeweza
hata ukimpeleka darasa la saba kikubwa ajue kusoma na kuandika.
 
Shida ipo kwenye vigezo vya kikatiaba vinavyompa raia sifa za kugombea ubunge, kwamba ni kujua kusoma na kuandika, hapa ndipo tulipokamatwa!

Katiba yetu ilishapitwa wakati, hivi sasa hata uteuzi wa baraza la mawaziri ambapo kigezo cha kwanza kuwa mbunge utaona karibu mawaziri wote ni wasomi, Kuna haja gani ya kuruhusu watu wa darasa la saba kuingia kugombea ubunge?
Ni kweli mawaziri wengi ni wasomi,lakini tumeshuhudia wakitumbuliwa kila uchao
nini kinatokea kama kweli kusoma ni kuelimika? Kwanini marehemu aliksema mara nyingi kwamba watu wangu hawanielewi na unakuta jambo limekwama akifika yeye unakuta linapata ufumbuzi, Tunaamini ukiwa msomi ni rahisi kuelewa maelekezo unayopewa kuliko wasiosoma,lakini cha ajabu ni kuwa haiko hivyo.
 
Kwan
Kitendo cha akina Msukuma na Lusinde kupayuka bungine kumsema mtu kwa "defense mechanism'' bila kutoa hoja ni wazi kabisa bunge halithamini weledi badala ya ushabiki na umbea.
Bunge linaongozwa na nani?
mentaly fit for this job?
hana file sehemu kwa 'matatizo ya kichwa'?
Niwape pole wananchi wa majimbo yanayoongozwa na std 7
 
"Elimu ni ufunguo wa maisha" hii ni kauli ambayo wengi wengi tumeisikia sana katika juhudi zetu za kutafuta maarifa na ujuzi kwa ajiri ya maisha yetu. Lakini kwa mazingira ya Tanzania elimu imekuwa kitu kingine tofauti kama vile nongwa, kejeli, dhihaka na masimango.

Hakuna kitu kinachouma na kusikitisha kama bunge ambacho ni chombo kinachotunga sheria kuongozwa na ushabiki badala ya weledi Watanzania tujitathimini.

Kitendo cha Wabunge wa darasa la saba kuwashambulia wasomi wakiongozwa na spika sio cha kiungwana na wala hatafika popote maana hakuna ya kuwa na weledi.

Ni muda sasa Wasomi wajitizame kwenye kisha waangalie kama niwaminifu kwenye taaluma zao. Wasomi waaminifu na taaluma zao hawawezi kukubali kudhalilika sababu tu wametoa mawazo tofauti na wengine.

Kitendo cha akina Msukuma na Lusinde kupayuka bungine kumsema mtu kwa "defense mechanism'' bila kutoa hoja ni wazi kabisa bunge halithamini weledi badala ya ushabiki na umbea.

Tanzania mama yangu☺️☺️☺️

wasomi 😂 😂 😂 😂 , wanaotoa ajira ndo hao hao la saba,toka corona imekuja wasomi wamekua wakijazana kwenye media kutoa tahadhari wakati wasomi wengine wapo wanahangaika kuharibu vichwa kutengeneza chanjo,bora ya sisi ambao tuliamua kuacha shule mapema sana
 
Kwan

Bunge linaongozwa na nani?
mentaly fit for this job?
hana file sehemu kwa 'matatizo ya kichwa'?
Niwape pole wananchi wa majimbo yanayoongozwa na std 7

nawapa pole mliokua na mategemeo na wasomi wa bongo maaana hawa la saba kama ni kutengeneza ajira nawapigia salute, nyie endeleeni na makaratasi yenu
 
Kama unamuongelea JPM ujue tuu ameitendea haki kwenye miaka yake akiwa mwalimu, miaka 20 ya Uwaziri na sita ya u6rais.
Hajawahikuitumia PhD kama unavyoitumia wewe kwenye mitandao ilihali hakuna lolote ulilowahi kuifanyia jamii yako

Halafu acha kumlinganisha hayati John Pombe Joseph Magufuli na vitu vya ajabu ajabu

dudus elimika






Rest well our hero President John Pombe Joseph Magufuli

Acheni kupost vitu vya kipuzi wakati tunamjadili mtu wa maana yaani msukukuma.
 
"Elimu ni ufunguo wa maisha" hii ni kauli ambayo wengi wengi tumeisikia sana katika juhudi zetu za kutafuta maarifa na ujuzi kwa ajiri ya maisha yetu. Lakini kwa mazingira ya Tanzania elimu imekuwa kitu kingine tofauti kama vile nongwa, kejeli, dhihaka na masimango.

Hakuna kitu kinachouma na kusikitisha kama bunge ambacho ni chombo kinachotunga sheria kuongozwa na ushabiki badala ya weledi Watanzania tujitathimini.

Kitendo cha Wabunge wa darasa la saba kuwashambulia wasomi wakiongozwa na spika sio cha kiungwana na wala hatafika popote maana hakuna ya kuwa na weledi.

Ni muda sasa Wasomi wajitizame kwenye kisha waangalie kama niwaminifu kwenye taaluma zao. Wasomi waaminifu na taaluma zao hawawezi kukubali kudhalilika sababu tu wametoa mawazo tofauti na wengine.

Kitendo cha akina Msukuma na Lusinde kupayuka bungine kumsema mtu kwa "defense mechanism'' bila kutoa hoja ni wazi kabisa bunge halithamini weledi badala ya ushabiki na umbea.

Tanzania mama yangu☺️☺️☺️
Tatizo limeanzia humo humo bungeni WALIPOKUBALI KUPITISHA SIFA YA KUCHAGULIWA MWANASIASA NI "KUJUA KUSOMA NA KUANDIKA".
Sasa madhara ya sheria waliopitisha wabunge ndio inaanza kuwapiga wabunge wasomi.
 
Back
Top Bottom