Jinsi wasomi wanavyodhalilishwa Bungeni

Jinsi wasomi wanavyodhalilishwa Bungeni

Unachoona cha maana wewe kwa mwingine ni cha kipuuzi pia
Sijui nawe utaacha lininkupost huo upuuzi
Unatoa wap ubavu was kulinganisha Magufuli na Lusinde au msukukuma? Acha ujinga. Kwa sasa bungeni washasema wasomi hawana jipya
 
Unatoa wap ubavu was kulinganisha Magufuli na Lusinde au msukukuma? Acha ujinga. Kwa sasa bungeni washasema wasomi hawana jipya

Mjinga wewe usojua vigezo vya kulinganisha hao wawakilishi wa wananchi
 
Kuna mambo wasomi hawatakiwi kuongea mbele ya wajinga. Bora wawe wananyamaza tu
 
Mjinga wewe usojua vigezo vya kulinganisha hao wawakilishi wa wananchi
Wewe dada unaosha naniiii.... Yako muda gani khaaa... Legacy ya mtu halilazimishwi kudumu kama sio ya kudumu. Mbona Nyerere hakutumia nguvu hivi?? 😀
 
Tanzania haina wasomi, ina watu walioenda shule kukariri, ndio maana watu wengi elimu zao haziwasaidii kabisa.

Mimi akija mtu akanambia amesoma, ana PhD, masters au degree halafu hana hela, au anaongea pumba ambazo hata mtu wa form 4 anaejielewa hawezi ongea.

Namuona mpumbavu tu. Hatuwezi kukaa kusikiliza hoja zako, hata kama ni pumba eti tukubali kisa umesoma. Mimi nina ka degree kamoja, ila Jana nilimuelewa sana Msukuma.
Mkuu, sikubaliani na ww. Sidhani kama kila mwenye pesa ni msomi au kila msomi ana pesa. Umechanganya vitu viwili tofauti, kama chai na chumvi. Msomi ni msomi tu, huwezi linganisha weledi wa PhD holder kama Prof. Muhongo na darasa la 7 kama Musukuma au Kibajaji. Na ndio maana hao darasa la 7 hawawezi kujibu hoja tajwa zaidi ya kushambulia personality ya mtu, and vice versa is true kwamba huwezi kuona Prof anashambulia mtu zaidi ya kujibu hoja. Ni aibu kubwa pia kwa Spika ambaye anashabikia udhalilishaji huu wa aibu badala ya kuukemea.
Hii nchi ngumu sana, tuna safari ndefu kuelekea Kaanani.
 
Wewe dada unaosha naniiii.... Yako muda gani khaaa... Legacy ya mtu halilazimishwi kudumu kama sio ya kudumu. Mbona Nyerere hakutumia nguvu hivi?? 😀

Ratiba yangu ya kuosha mama yako anaijua haijapishana sana na yake

Wewe unayetumia nguvu nyingi kulazimisha legacy ya JPM isidumu unaumia buree heri utumie hizo nguvu kutengeneza familia yako

Halafu eti mbona Nyerere hakutumia nguvu nyingi hivi😆😆😆😆 Kwani JPM amefufuka useme sasa anatumia nguvu nying???

Maskini umejawa na chuki kiasi kwamba hata uandikacho hukijui
 
Bad
"Elimu ni ufunguo wa maisha" hii ni kauli ambayo wengi wengi tumeisikia sana katika juhudi zetu za kutafuta maarifa na ujuzi kwa ajiri ya maisha yetu. Lakini kwa mazingira ya Tanzania elimu imekuwa kitu kingine tofauti kama vile nongwa, kejeli, dhihaka na masimango.

Hakuna kitu kinachouma na kusikitisha kama bunge ambacho ni chombo kinachotunga sheria kuongozwa na ushabiki badala ya weledi Watanzania tujitathimini.

Kitendo cha Wabunge wa darasa la saba kuwashambulia wasomi wakiongozwa na spika sio cha kiungwana na wala hatafika popote maana hakuna ya kuwa na weledi.

Ni muda sasa Wasomi wajitizame kwenye kisha waangalie kama niwaminifu kwenye taaluma zao. Wasomi waaminifu na taaluma zao hawawezi kukubali kudhalilika sababu tu wametoa mawazo tofauti na wengine.

Kitendo cha akina Msukuma na Lusinde kupayuka bungine kumsema mtu kwa "defense mechanism'' bila kutoa hoja ni wazi kabisa bunge halithamini weledi badala ya ushabiki na umbea.

Tanzania mama yangu☺️☺️☺️
lucky.......elimu yetu inapimwa kwenye makaratasi,
 
Nchi za watu elimu kubwa ya mtu inajipambanua kwa kile anakitoa kwa jamii inayomzunguka kukabiliana na changamoto mbali mbali.

Huku Afrika elimu za watu ni vyeti vingi acha wayaoge tu.
Prof mzima anashauri nchi iachane na uzalishaji wa nishati ya umeme kwa njia ya maji.
Anatumika huyo na hanaga aibu kbsa ! ... Wakati wa gesi ndo tulimjua vzr
 
Ni kweli mawaziri wengi ni wasomi,lakini tumeshuhudia wakitumbuliwa kila uchao
nini kinatokea kama kweli kusoma ni kuelimika? Kwanini marehemu aliksema mara nyingi kwamba watu wangu hawanielewi na unakuta jambo limekwama akifika yeye unakuta linapata ufumbuzi, Tunaamini ukiwa msomi ni rahisi kuelewa maelekezo unayopewa kuliko wasiosoma,lakini cha ajabu ni kuwa haiko hivyo.
Sijazungumzia kutumuliwa bali imeogelea kuboresha katiba ili tuondowe vilaza bungeni! Haiwezekani mpaka leo hii tuna utitiri wa vyuo vikuu lakini bado tukawa tunafagilia wabunge wa std VII wakatutungie sheria zetu ndo maana kuna sheria zinapitishwa mbovu kabisa sababu kuna baadhi hata hawajishughulishi kuzisoma!
Suala la wateule kukosea au kutumbuliwa ni pana sana, kwanza wannafanya shughuli ambazo hawakuwahi kuzisomea, Mtu kasomea kemia unamteua akasimamie barabara na ujenzi wa majengo! Mtu kasomea udaktari wa binadamu unamuweka akasiamie utalii na wanyamapori! Mtu kasomea maendeleo ya jamii unamteua kuwa waziri wa ardhi! Hapa hata wakikosea ni jambo la kawaida!
 
"Elimu ni ufunguo wa maisha" hii ni kauli ambayo wengi wengi tumeisikia sana katika juhudi zetu za kutafuta maarifa na ujuzi kwa ajiri ya maisha yetu. Lakini kwa mazingira ya Tanzania elimu imekuwa kitu kingine tofauti kama vile nongwa, kejeli, dhihaka na masimango.

Hakuna kitu kinachouma na kusikitisha kama bunge ambacho ni chombo kinachotunga sheria kuongozwa na ushabiki badala ya weledi Watanzania tujitathimini.

Kitendo cha Wabunge wa darasa la saba kuwashambulia wasomi wakiongozwa na spika sio cha kiungwana na wala hatafika popote maana hakuna ya kuwa na weledi.

Ni muda sasa Wasomi wajitizame kwenye kisha waangalie kama niwaminifu kwenye taaluma zao. Wasomi waaminifu na taaluma zao hawawezi kukubali kudhalilika sababu tu wametoa mawazo tofauti na wengine.

Kitendo cha akina Msukuma na Lusinde kupayuka bungine kumsema mtu kwa "defense mechanism'' bila kutoa hoja ni wazi kabisa bunge halithamini weledi badala ya ushabiki na umbea.

Tanzania mama yangu
Hii nchi wasomi wametuangusha sana aisee, kuweka njaa mbele baada ya manufaa ya taifa wamekuwa mamburura wakutupa ni bora utambulike hauna elimu na mjinga kuliko una elimu na ujinga maana yake umepoteza mda wote kusomea ujinga tu.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, sikubaliani na ww. Sidhani kama kila mwenye pesa ni msomi au kila msomi ana pesa. Umechanganya vitu viwili tofauti, kama chai na chumvi. Msomi ni msomi tu, huwezi linganisha weledi wa PhD holder kama Prof. Muhongo na darasa la 7 kama Musukuma au Kibajaji. Na ndio maana hao darasa la 7 hawawezi kujibu hoja tajwa zaidi ya kushambulia personality ya mtu, and vice versa is true kwamba huwezi kuona Prof anashambulia mtu zaidi ya kujibu hoja. Ni aibu kubwa pia kwa Spika ambaye anashabikia udhalilishaji huu wa aibu badala ya kuukemea.
Hii nchi ngumu sana, tuna safari ndefu kuelekea Kaanani.
usimtetee huyu Prof hana tofauti yyte na hao ...ashawahi ita wafanyabiashara wazawa wana mitaji ya juice...usimpe utukufu kupita naye ni kama hao tuu - kwani anatumia ilani gani !? Hao ndo CCM
 
Mkuu, sikubaliani na ww. Sidhani kama kila mwenye pesa ni msomi au kila msomi ana pesa. Umechanganya vitu viwili tofauti, kama chai na chumvi. Msomi ni msomi tu, huwezi linganisha weledi wa PhD holder kama Prof. Muhongo na darasa la 7 kama Musukuma au Kibajaji. Na ndio maana hao darasa la 7 hawawezi kujibu hoja tajwa zaidi ya kushambulia personality ya mtu, and vice versa is true kwamba huwezi kuona Prof anashambulia mtu zaidi ya kujibu hoja. Ni aibu kubwa pia kwa Spika ambaye anashabikia udhalilishaji huu wa aibu badala ya kuukemea.
Hii nchi ngumu sana, tuna safari ndefu kuelekea Kaanani.
Yoyote yule ambae elimu yake imeshindwa kumsaidia hapa duniani,akaishia kuishi maisha ambayo hata yule wa darasa la saba anayashangaa, atakuwa ni mpumbavu kama ataendelea kijivunia hiyo elimu yake. Kwamaana nyingine, kama una PhD ila unaropoka mambao ambayo hata wa la saba hawezi basi wewe ni mpumbavu tu.Hiyo ndo maana yangu,tuangalie uzoefu wa mtu katika kitengo fulani,bila kujali umetokana na elimu rasimi au ile ya mitaani.

Nikuulize swali mkuu, Kati ya aliezaliwa mazingira ya gereji na akaanza kujifunza ufundi wa magari mpaka ukubwani bila kwenda shule, na mwingine aliezaliwa akaenda shule mpka form 4,kisha akaenda veta miaka 2 kusomea ufundi wa magari, yupi atakuwa na utaalamu kwenye kazi yake?
 
Ratiba yangu ya kuosha mama yako anaijua haijapishana sana na yake

Wewe unayetumia nguvu nyingi kulazimisha legacy ya JPM isidumu unaumia buree heri utumie hizo nguvu kutengeneza familia yako

Halafu eti mbona Nyerere hakutumia nguvu nyingi hivi Kwani JPM amefufuka useme sasa anatumia nguvu nying???

Maskini umejawa na chuki kiasi kwamba hata uandikacho hukijui
@mamaD achana na hawa watoto, wengine ni wajinga tu. Juzi nilikuwa kazini Bugando, ile natoka ofsini naenda kupata breakfast nikagundua kuwa miongoni mwa watu waliokuwa wanasubiri huduma alikua ameingia Jf, alikuwa ni kijana mwenye muonekano wa kihuni, kivuta bangi. Kuanzia hapo nikagundua kuwa, kumbe humu jF kuna wa ajabuajabu pia.Huyo kijana anaweza kuwa humu busy kunitukana asijue kuwa juzi nilikuwa nasaidia afya yake.
 
Tanzania haina wasomi, ina watu walioenda shule kukariri, ndio maana watu wengi elimu zao haziwasaidii kabisa.

Mimi akija mtu akanambia amesoma, ana PhD, masters au degree halafu hana hela, au anaongea pumba ambazo hata mtu wa form 4 anaejielewa hawezi ongea.

Namuona mpumbavu tu. Hatuwezi kukaa kusikiliza hoja zako, hata kama ni pumba eti tukubali kisa umesoma. Mimi nina ka degree kamoja, ila Jana nilimuelewa sana Msukuma.

Wewe usidanganye watu hapa,!
Wewe ni walewale LY- Class 7!
Hako ka- digrii unakodai wala huna baali ni geresha tu!
Kuna watu tunajua maana ya Elimu na namna tulivoiesotea halafu anakuja mjinga mmoja alikuwa anashika MKIA AU KIFUNGA MLANGO PRIMARY LEO ANAKUTUKANA ATI HUNA NA YEYE LEO NDO MWENE AKILI KWA VILE ANA VIHELA VINAMPA JEURI YA PESA....!!!
Tabia hii ya kudhalilisha wasomi lazima ikomeshwe mara moja.
 
Bad

lucky.......elimu yetu inapimwa kwenye makaratasi,
Kuna kijana mmoja mdogo kabisa (miaka 24-26) Mitaa ya Bugando hospital, ni fundi mzuri wa umeme wa magari, yaani habahatishi kazi zake. Baada ya kutembelea sana maeneo yake ya kazi, nilijaribu kumfanya rafiki yangu, sasa kuna siku nikamuuliza alisomea wapi huo ufundi, akanambia yeye ameishia darasa la 4,ila maisha yake yote amekulia garage, nilishangaa sana.

Sasa eti huyo dogo uje umringanishe na mtu alisoma mpaka form six, Kisha akajifunza ufundi wa magari kwa miaka 3 na kufanya field ya miezi mitatu?

Ndomaana wazungu hawataki kabisa habari ya makaratasi, wao wanaangalia fani na uzoefu wako katika fani husika, cheti ni kigezo cha mwisho kabisa.
 
Wewe usidanganye watu hapa,!
Wewe ni walewale LY- Class 7!
Hako ka- digrii unakodai wala huna baali ni geresha tu!
Kuna watu tunajua maana ya Elimu na namna tulivoiesotea halafu anakuja mjinga mmoja alikuwa anashika MKIA AU KIFUNGA MLANGO PRIMARY LEO ANAKUTUKANA ATI HUNA NA YEYE LEO NDO MWENE AKILI KWA VILE ANA VIHELA VINAMPA JEURI YA PESA....!!!
Tabia hii ya kudhalilisha wasomi lazima ikomeshwe mara moja.
Search (Petro Elikana Ngata), alafu uje kubishana tena. Mimi siko humu kushindana.
 
@mamaD achana na hawa watoto, wengine ni wajinga tu. Juzi nilikuwa kazini Bugando, ile natoka ofsini naenda kupata breakfast nikagundua kuwa miongoni mwa watu waliokuwa wanasubiri huduma alikua ameingia Jf, alikuwa ni kijana mwenye muonekano wa kihuni, kivuta bangi. Kuanzia hapo nikagundua kuwa, kumbe humu jF kuna wa ajabuajabu pia.Huyo kijana anaweza kuwa humu busy kunitukana asijue kuwa juzi nilikuwa nasaidia afya yake.
😂😂😂😂nimekusoma mkuu
 
Kuna kijana mmoja mdogo kabisa (miaka 24-26) Mitaa ya Bugando hospital, ni fundi mzuri wa umeme wa magari, yaani habahatishi kazi zake. Baada ya kutembelea sana maeneo yake ya kazi, nilijaribu kumfanya rafiki yangu, sasa kuna siku nikamuuliza alisomea wapi huo ufundi, akanambia yeye ameishia darasa la 4,ila maisha yake yote amekulia garage, nilishangaa sana.

Sasa eti huyo dogo uje umringanishe na mtu alisoma mpaka form six, Kisha akajifunza ufundi wa magari kwa miaka 3 na kufanya field ya miezi mitatu?

Ndomaana wazungu hawataki kabisa habari ya makaratasi, wao wanaangalia fani na uzoefu wako katika fani husika, cheti ni kigezo cha mwisho kabisa.
Umeona sasa....kijana kama huyo huwez kumfananisha na mtu alosoma miaka yake mitatu ya ubabaishaji mwingi na chabo za kutosha

Kitu kingine watu wanachokosea au kusahau mbali na elimu kuna watu wanazaliwa talented iwe kwenye siasa au maeneo mengine yoyote yale, so unapokuta mtu yuko talented anaweza kuwork ethnically and successfully kuliko yulr ambae alipata GPA yake ya upper second tena ilojaa mazonge na harakati za ajabu..Mifumo yetu ya elimu sio rafiki kwenye soko la ushindani wa ajira,
 
ni wale awawalionufaika na biashara ya watumwa wahi kuzisomea, Mtu kasomea kemia unamteua akasimamie barabara na ujenzi wa majengo! Mtu kasomea udaktari wa binadamu unamuweka akasiamie utalii na wanyamapori! Mtu kasomea maendeleo ya jamii unamteua kuwa waziri wa ardhi! Hapa hata wakikosea ni jambo la kawaida
Ok,nimekupata hapa ila swali la kujiuliza ni je huyo aliyewateua naye ni darasa la saba?
Ukiona mfumo haubadilishwi maana yake kuna wanaonufaika nao bila kujali ni wasomi au si wasomi.Kama ilivyokuwa biashara ya utumwa,watemi walinufaika na hivyo waliwasaidia waarabu kuwakamatia watu na kuwauzia kama watumwa huku wanyonge yaani familia za waliouzwa wakiomboleza. Na wale waliokuwa karibu na mtemi familia zao hazikuguswa hivyo zilinufaika na biashara haramu ya utumwa.
 
Back
Top Bottom