Jinsi wanausalama wa mtandaoni wanavyowapata watu

Jinsi wanausalama wa mtandaoni wanavyowapata watu

Habari zenu nahisi mko safi sana, je unajua kuwa pamoja na kwamba server ya baadhi ya forums ni vigumu kupata wenye akaunt lakin nawaibia siri, kidogo, pamoja na hiyo kama kukupata hawashughulik sana,

Watu wengi hawajuhi njia hizi hutumika na kumpata muhusika
1. Matangazo ya kazi, hapa watu wanakuwa washasahau kama wamesha comment mambo yasiyo na msingi. Mwana intelijensia mmoja anaweka tangazo la kazi, watu wanazama pm na kujiachia sana kuwa kaka nisaidie kaka nisaidie

2. Kuna wale wanaojiita "MISS FLAN NA MISS FLAN" Vijana wengi kwa mihemko ya mapenzi huzubaishwa na nyuzi wanazoanzisha hawa wanaojifanya wanawake kumbe ni madume kwenye mtandao, na kuwafuata PM kutililika kila kitu
Na kupanga maeneo ya kukutana mara mtu hatokei lengo ameshapata contact yako,

3. Matangazo ya biashara na connection mbalimbali, hizi pia ni njia rahisi kumdaka mtu na wamedakwa wengi mno,

4. Ushauri wa mapenzi na nguvu za kiume , hapa hatari sana watu wanaanzisha nyuzi watu wanaingia kichwa kichwa,

5. Wale wanaodanganya eti " nimepata clip moja ni hatari inamsema mkulu naogopa kuiweka hapa" utasikia watu wanajibu na Ku pm Namba yangu unitumie whatsap bhaaass.

6. Wanaojifanya kuipinga serikali na kuikashfu mtandaon hawakamatwi kama B-K hawa ni wa kutilia mashaka maana wanatengeneza mazingira uone hawako.na serikali na unapanga nao mikakati kumbe hatari sana,

7. Njia Nyingine inayotumiwa na nchi zilizoendelea ni rahisi kujua kwa Kuwa kifaa chochote kinachotumia mawimbi ya kimtandao kina kawaida ya kutuma signal au Taarifa kila sekunde katika chanzo chake Sever machine hivyo kitendo cha wewe kutumia kifaa cha aina hiyo Tayari umejiingizA katika hesabu za mtu Na ni rahisi kudakwa kwa sababu kifaa chako kinasema ulipo.

Ushauri ni kwamba usitoe contact zako hata kama ni dili, maana ni Muhim kujilinda, lakin pia tuwe makini tunavyoanzisha thread au Ku comment tusitukane,

Pia. Tekinologia ilipofikia kila kifaa,unachotumia kuweka line ya Simu, watoa huduma wanajua IMEI Namba.Wanaweza fatilia taarifa zako na print mawasialiano na nambari washirika wako,na kujua mahali.Fake Ids ni kama tinded na pazia .La msingi uwe makini kuzingatia sheria na kuwa tayari kuwajibika kwa unachokiandika.

Muwe na mchana mwema


Britanicca encyclopedia
Nyingine ni mtu kuja inbox na kuomba au kutaka kukupa msaada wa jambo fulani kulingana atakavyo review baadhi ya post au comments zako kwa uzi fulani fulani!

.....mfano anakuja inbox anasema naomba nisaidi 10 mkuu namba yangu ni hii...usipofikiria vzr unaeza tuma pesa thru namba yako....ukifanya hvy basi ameshapata pa kuanzia!
 
Niliwahi ku-post huu uzi, baada ya siku kadhaa kuna mdada akahitaji namba yangu pm, akadai anataka aniunge kwenye Whatsapp group yao maana huko kuna hoja motomoto. Kiukweli nilikataa

[emoji116]

Nani kamdanganya Mkuu wa Kaya.

Awali ya yote nichukue fursa hii kumpongeza Mkuu wa Kaya yetu kwa moyo wake wa kizalendo wa kutuletea ndege mbili mpya ili kufufua shirika letu ambalo wenzie walilitafuna na kulifilisi. Japo haohao ndio wanaomshangilia kama vile waliofilisi shirika hilo siyo wao.<br /><br />Mkuu wa Kaya umedanganywa kuhusu gharama za usafiri wa ndege Dar to Songea. Amesema kuwa ndege za kawaida zinaweza kutumia mafuta ya milioni 28 kutoka Dar to Songea lakini ndege mpya za Bombadier Q400 zitatumia mafuta ya milioni 1 tu. Mimi sio mtaalamu wa ndege lakini taarifa imenifanya kufanya utafiti kidogo<br /><br />Katika kajiutafiti kangu nimegundua kiwango cha mafuta ya ndege kwa safari hakipo constant. Kinatofautiana kutokana na sababu anuai, kama vile aina ya ndege, umbali wa safari, uzito wa mzigo wa kwenye cabin, kimo kutoka usawa wa bahari, namna ya kupaa. Vyote hivi huchangia utofauti wa utumiaji wa mafuta ktk ndege.<br /><br />Katika hayo tuchukue moja la aina ya ndege na hayo mengi yawe constant (under ceteris peribus). Mkuu wa Kaya amesema "ndege nyingine" zitatumia mafuta ya mil.28 kutoka Dar kwenda Songea, lakini Bombadier zetu zitatumia mafuta ya milioni 1 tu. Tuchukulie mfano wa ndege aina ya Boeing 777 yenye uwezo wa kubeba abiria hadi 450 (mara 6 zaidi ya Bombadier zetu).<br />Umbali wa Dar to Songea kwa barabara ni maili 655 sawa na kilomita 1,054. Lakini kwa anga ni maili 364 sawa na kilomita 585. Boeing 777 inauwezo wa kukimbia kwa speed ya maili 590 kwa saa, sawa na kilomita 949 kwa saa. Kwahiyo ikisafiri kutoka Dar to Songea (kilomita 585) itatumia mwendo wa dakika 36 tu.<br />www.distancecalculator.net<br /><br />Mafuta ya ndege hupimwa kwa galoni (US Liquid gallon) ambapo galoni moja ni sawa na lita 3.7 za ujazo. Boeing 777 inatumia galoni 14.4 za mafuta kwa injini moja kwa dakika (1 lg/engine/minute). Boeing 777 ina injini mbili za "Rolls Royce trent 892" zinazotumia galoni 28.8 za mafuta kwa dakika moja (ingia hapa ). Hivyo basi kwa dakika 36 itakazotumia kutoka Dar to Songea itatumia galoni 1,036.<br />www.askcaptainlim.com<br /><br />Galoni moja ya mafuta (US liquid gallon) ina lita 3.7 za ujazo. Kwahiyo galoni 1,036 ni sawa na lita 3,836. Bei ya mafuta ya ndege (jet fuel) katika soko la Marekani ni dola 1.38 kwa galoni moja kwa bei ya September 1 mwaka huu. Kwa Tanzania sijui bei ni kiasi gani, lakini tukadirie ni mara mbili ya bei ya Marekani, yani dola 2.76 kwa galoni moja ya lita 3.7.<br />www.flightdeckfriend.com<br /><br />Kwahiyo tukitaka kujua gharama za mafuta ya Boeing 777 kutoka Dar kwenda Songea tunachukua galoni 1,036 mara dola 2.76, mara bei ya dola kwa leo ambayo ni TZS 2,182/=. Utapata Shilingi 6,239,123/=. Hii ndio gharama halisi ya mafuta ambayo Boeing 777 itatumia kutoka Dar to Songea.<br /><br />Maana yake ni kwamba Boeing 777 itatumia mafuta ya milioni 6.2 kupeleka abiria 450 Songea kutokea Dar.<br /><br />Sasa twende kwenye Bombadier zetu ambazo Mkuu wa Kaya amesema zinatumia mafuta ya milioni 1 tu kwa safari ya Dar - Songea. Bombadier Q400 inatumia mafuta ya milioni 1 kusafirisha abiria 75 tu kutoka Dar to Songea.<br />Kwahiyo kama kuna abiria 450 wa kwenda Songea, ndege ya Boeing 777 itawabeba wote na itakwenda mara moja tu kwa mafuta ya milioni 6. Lakini Bombadier itabidi iende trip 6 ndipo iweze kuwamaliza. Yani iende kwa mafuta ya milioni 1, irudi kwa mafuta ya milioni 1 (round ya kwanza), iende tena kwa mafuta ya milioni 1 na kurudi kwa mafuta ya milioni moja (round ya pili). Hadi round zote 6 ziishe Bombadier yetu itakua imetumia mafuta ya milioni 12.<br />Maana yake ni kwamba Bombadier itaenda round 6 na itatumia mafuta ya milioni 12, kubeba abiria walewale ambao wangebebwa na Boeing 777 mara moja tu na kwa gharama ya mafuta ya milioni 6 tu.<br /><br />NAOMBA NIONGEZEE FACT NYINGINE KUONYESHA KUWA MKUU WA KAYA ALIDANGANYWA. <br /><br />Kwa kutumia yale makadirio<br />1 US Gallon = 3.7 Lita <br /><br />Dhamani ya Dola ni Tshs 2,182 <br /><br />Kwahiyo, <br />Kama 3.7 Lita = 2.76 US Dolla<br /> 1 Lita = 0.8 US Dolla <br /><br />Kumbuka Bombadier Q400 inatumia Lita 7 @ Maili <br /><br />Dar to Songea ni 364 Maili <br /><br />Angalia hapa: <br /><br />LITA 7 × 364 MAILI × 0.8 DOLA @ LITA × 2182 TSH (Thamani ya Shilingi @ Dola) = 4,447,788.8 TSHS<br /><br />KWAHIYO; <br />GHARAMA YA NDEGE TULIYONUNUA KUSAFIRISHA ABIRIA 75 KUTOKA DAR - SONGEA KWA SAFARI MOJA TU NI 4,447,788.8 TSHS. <br /><br />Nani alimuambia Mkuu wa Kaya ni 1,000,000 TSHS?<br /><br /><br />ALIYEMDANGANYA MKUU WA KAYA AADHIBIWE....<br /><br />NAIPENDA TANZANIA NAWACHUKIA WAPIGA DILI.
Hypothetical kinda thinking. Where will you get 450 passengers from a poverty striken region like Ruvuma? Lazima ubaki na bombadier Q400
 
Last year Kuna bwege mmoja alishawahi kunifuata PM akawa ananimba namba za Simu eti anataka tuwasiliane

Sijui anafurahishwa na michango yangu sijui eti Nina Akili and blaaaa blaaa kibao 😁😁😁😁

Nikijitazama hizo Akili zenyewe alizokuwa anasema ninazo Binafsi najijua Sina nikaona mhhh !! Hapa Nina pangwa kmmk ili wapate kunichuna ngozi Hawa mabwege

Nikamkatalia , mbaya zaidi ilikuwa njkimkatalia Leo ana kaa baada ya siku kadhaa Anakuja kuniambia Tena , mara oohh sijui una Onekana una exposure mara ohhh inaonekana una IQ kubwa mawazo Yako huwenda yakanifaa na kunisaidia , Nilishtukia chezo kudadeki namba sikutoa

Ajabu ni kwamba baada ya wimbi la uchaguzi kupita ile I'd now days siioni Tena mamaeee
 
Last year Kuna bwege mmoja alishawahi kunifuata PM akawa ananimba namba za Simu eti anataka tuwasiliane

Sijui anafurahishwa na michango yangu sijui eti Nina Akili and blaaaa blaaa kibao 😁😁😁😁

Nikijitazama hizo Akili zenyewe alizokuwa anasema ninazo Binafsi najijua Sina nikaona mhhh !! Hapa Nina pangwa kmmk ili wapate kunichuna ngozi Hawa mabwege

Nikamkatalia , mbaya zaidi ilikuwa njkimkatalia Leo ana kaa baada ya siku kadhaa Anakuja kuniambia Tena , mara oohh sijui una Onekana una exposure mara ohhh inaonekana una IQ kubwa mawazo Yako huwenda yakanifaa na kunisaidia , Nilishtukia chezo kudadeki namba sikutoa

Ajabu ni kwamba baada ya wimbi la uchaguzi kupita ile I'd now days siioni Tena mamaeee
Hahahaha nimecheka sana watu kama hao usiwakatalie wape namba fake tu
 
niliingia direct messages kumuomba msaada waziri fulani maarufu sana humu JF mpaka tuzo aliwahi pewa. Akanitumia namba nimtafute huko, MUNGU wangu! nikanasa, nikamtafuta, kilichofuata mpaka leo niko na paranoia! msaada sikupata!
kwa kipindi cha miaka mitatu huenda mpaka leo hii niko monitored kila mahali, simu yangu kuhackiwa, kurekodiwa kama unavyosema "kufwatilia simu na kuprint taarifa na watu ninaowasiliana nao" hayo yote nimepitia mpaka gmail a/c kuwa monitored (ukiingia pale kwenye device nilikuta nafwatiliwa na device mbili tofauti!)
kuja kushtuka too late niko monitored kila mahali, mtaani, kutengwa na ka***a, kufukuzwa kazi, na mambo mengine mengi yanayofanana na hayo. kuna siku nikapigiwa simu ule msimu wa uchaguzi mwaka jana, nikaulizwa nitapigwa kura au sitopiga!? Kama si Roho wa Mungu huenda ningeisha mapema!
 
Nyingine ni mtu kuja inbox na kuomba au kutaka kukupa msaada wa jambo fulani kulingana atakavyo review baadhi ya post au comments zako kwa uzi fulani fulani!

.....mfano anakuja inbox anasema naomba nisaidi 10 mkuu namba yangu ni hii...usipofikiria vzr unaeza tuma pesa thru namba yako....ukifanya hvy basi ameshapata pa kuanzia!
Pm za aina hiyo huwa na block rightaway.
 
Back
Top Bottom