Jinsi wakili msomi Dickson Matata alivyompeleka puta mtoto wa IGP Mahita

Wakati mabeberu wanapanga kumtumia ulikuwepo?
Bonyokwa pimbi mkubwa. Mambo yetu ya chama yanakuhusu nini??? Tumuache Mama afanye kazi! Mbowe alitumiwa na mabeberu yakimdanganya alete fujo nchi isitawalike waje wachote mali zetu. Rostm mjanja na lema kala kona.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kwa nini wanaenda na hao makomandoo kindasindasi hivyo. Ngoja siku shingo ya jaji igeuzwe hapo kizimbani ndio utanielewa kuwa natumia akili.
Nani kakuambia hao ni makomandoo? Mbona ujinga haukuishiagi? Memkwa bado ipo, kajiendeleze angalau upate division four ya 32.
 
...
Halafu mtu unajiuliza...Hivi polisi walitoa wapi huruma ya kumnunulia mtuhumiwa wa ugaidi tena Komandoo supu na Mo energy?
... halafu unajiuliza zaidi; kwa sheria ipi? Ndivyo PGO inavyoelekeza? Kwamba mkuu wa msafara ana wajibu wa kutoa fedha zake mfukoni kuwanunulia magaidi chakula na vinywaji?
 
Una shake credibility kwa relevant questions sio saa nzima unauliza habari za baba yake sijui alikuwa ajp sijui visu hovyo kabisa huyu wakili sijui kasoma chuo gani wakati anajua kabisa sheria ya ushahidi inakata maswali ya hovyo kama haya halafu limtu linafungua uzi etu maswali ya wakili msomi
Mbona umechukia sn huyo pimbi mwenzako kupigwa mondo Kali, tulieni mnyolewe vuz kwa chupa
 
Una shake credibility kwa relevant questions sio saa nzima unauliza habari za baba yake sijui alikuwa ajp sijui visu hovyo kabisa huyu wakili sijui kasoma chuo gani wakati anajua kabisa sheria ya ushahidi inakata maswali ya hovyo kama haya halafu limtu linafungua uzi etu maswali ya wakili msomi
Soma the Evidence Act s.155(b)&(c)
Screenshot_20210918-114606_WPS%20Office.jpg
 
Maelekezo ya msingi aliyopewa shahidi namba moko ni kuhakikisha hiyo mipango haifanikiwi lakini wakati huo huo kuona mtuhumiwa ana nia hiyo kweli? Kwa mfano ikitokea hao makomandoo Mbowe alitafutiwa na yule Mwanajeshi aliye toa taarifa na akaombwa kuendelea kutoa ushirikiano utasema nini tena? Kumbuka wako mashahidi 24.
Hivi Mbowe ni mjinga kiasi gani hadi aende kuomba makomandoo jeshini? Na kweli akapewa hao makomandoo? Tangu lini Komandoo wa jeshi akawa mlinzi wa diesel sijui huko SGR? Upumbavu tu.
 
Wewe ndyo mjinga,njia rahisi ya kugundua kama mtu anatoa ushahidi wa uongo ni kumtoa kwenye topic then unamrudisha tena.Kama ushahidi wake ni wauongo lazima kuna baadhi ya maeneo atasahau!
... sikumbuki; sijui; sifahamu; arudie swali; kimya! Hizo keywords ni indicators za ushahidi wa uongo!
 
Sasa hapo kipi kigeni yani maswali yake yote hayana athari kwenye ushahidi maana ni irelevant kwenye kile kinachojadiliwa.Tuliosoma sheria ya ushahidi hapa tunabaki kumcheka tu huyo wakili ni takataka,mavi ya uharo.. yani iiinhiii baghosha!!


MATATA: "Unakumbuka madai ya baba yako kuwakuta CUF na visu akadai wamekusudia kufanya ugaidi?"
Hujui kitu!
 
Bonyokwa pimbi mkubwa. Mambo yetu ya chama yanakuhusu nini??? Tumuache Mama afanye kazi! Mbowe alitumiwa na mabeberu yakimdanganya alete fujo nchi isitawalike waje wachote mali zetu. Rostm mjanja na lema kala kona.
Pole umeziana nondo lakini?Umefuatilia mashahidi lakini?Usimtukane mwenzako kisa tu imekuchoma Moderator
 
Sasa hapo kipi kigeni yani maswali yake yote hayana athari kwenye ushahidi maana ni irelevant kwenye kile kinachojadiliwa.Tuliosoma sheria ya ushahidi hapa tunabaki kumcheka tu huyo wakili ni takataka,mavi ya uharo.. yani iiinhiii baghosha!!


MATATA: "Unakumbuka madai ya baba yako kuwakuta CUF na visu akadai wamekusudia kufanya ugaidi?"
Wewe ni Lumumba FC hata Kama una PhD ukisha kuwa huko huwezi kuelewa .Nakushauri tafuta Hela acha hela ya kupewa madhara yake Ni pamoja na hili lakuweka akili pembeni .
 
Sasa hapo kipi kigeni yani maswali yake yote hayana athari kwenye ushahidi maana ni irelevant kwenye kile kinachojadiliwa.Tuliosoma sheria ya ushahidi hapa tunabaki kumcheka tu huyo wakili ni takataka,mavi ya uharo.. yani iiinhiii baghosha!!


MATATA: "Unakumbuka madai ya baba yako kuwakuta CUF na visu akadai wamekusudia kufanya ugaidi?"
Usituaibishe wanasheria !Huna Elimu yoyote ya sheria.Kauulize Wana CCM wenzeko wa Lumumba !Hilo swali unajua linaitwaje kitaalam ?Hilo swali unajua Lengo lake ni lip?

Kwa taarifa yako cross examination techniques ziko hivyo .
 
Mambo ya ajabu kweli wakili wa utetezi anasema makomandoo ni watu hatari lakini mahakamani hawataki polisi wengi na ullnzi uimarishwe. Siku hao makomando wakichafukwa na nyoyo hapo mahakamani tutasimuliana ya Hamza tena.
Yatulize wewee
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Jinsi wakili msomi Dickson Matata alivyompeleka puta mtoto wa IGP Mahita.

MATATA: Nikumbushe Majina yako.

SHAHIDI: Naitwa Inspector Mahita Omary Mahita.

MATATA: nitakuwa Sahihi nikisema wewe ni Mtoto wa IGP mstaafu Omary Mahita.

SHAHIDI: Upo sahihi

MATATA: Wakati Baba yako akiwa IGP wewe Ulikuwa wapi?

SHAHIDI: Nilikuwa Chuo kikuu

MATATA: Wakati Baba yako akiwa IGP ulikuwa na akili timamu?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Unakumbuka madai ya baba yako kuwakuta CUF na visu akadai wamekusudia kufanya ugaidi.

WAKILI WA JAMHURI: Objection Mheshimiwa Jaji. Naomba swali hilo liondolewe.

MATATA: Wakati mnawakamata watuhumiwa mlikuwa na Kikosi Maalum?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Kikosi chote kilitokea Arusha?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Na kikosi hicho kilikuwa chini ya RPC Kingai ambaye wakati huo alikua RCO Arusha?

SHAHIDI: Sahihi kabisa

MATATA: Unapotoka kwenye kituo unapaswa kuwa na Movement Order?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Ulipotoka Arusha kwenda Moshi hukueleza kuwa na movement order.

SHAHIDI: Nilikua nayo.

MATATA: Ulimweleza nani?

SHAHIDI: Sikueleza lakini nilikua nayo

MATATA: Maelezo yako ya awali hayaelezi hivyo.

SHAHIDI: Kimya.

MATATA: Je unajua kwamba unapofika mkoa mwingine unapaswa uriporti kwanza kwa Mlmamlaka za Mkoa huo?

SHAHIDI: Ni kweli.

MATATA: Katika maelezo yako hakuna popote uliposema umeripoti kwa mamlaka za polisi Moshi.

SHAHIDI: Ni kweli lakini?

MATATA: Hakuna lakini, jibu NDIYO au HAPANA.

SHAHIDI: Niliripoti lakini labda kwenye maelezo nilisahau kuandika.

MATATA: sasa kama hukuandika ulitegemea mahakama iote?

SHAHIDI: Kimya

MATATA: Una ushahidi wowote unaoonesha mliripoti mamlaka za polisi Moshi kabla ya operesheni yenu?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Uko wapi?

SHAHIDI: sijaja nao

MATATA: mlipowakamata watuhumiwa mliwasafirisha kuja Dar?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: walipofika Dar mliwatoa central na kuwapeleka Mbweni?

SHAHIDI: Ni kweli.

MATATA: Kwanini mliwapeleka Mbweni?

SHAHIDI: Kwa sababu ya usalama.

MATATA: Kati ya Cetral na Mbweni wapi kuna usalama zaidi?

SHAHIDI: Lakini..

MATATA: Jibu, acha lakini.

SHAHIDI: Mbweni.

MATATA: Kati ya Central na Mbweni wapi kuna askari wengi?

SHAHIDI: Central.

MATATA: Kati ya central na Mbweni wapi kuna silaha nyingi zaidi?

SHAHIDI: Central.

MATATA: Kati ya central na Mbweni wapi panaweza kupatikana msaada wa haraka ikitokea dharura?

SHAHIDI: Central.

MATATA: Sasa unasemaje Mbweni kuna usalama kuliko central?

SHAHIDI: ili watuhumiwa wasiweze kutoroka.

MATATA: Umewahi kusikia pale central kuna watuhumiwa wametoroka?

SHAHIDI: kimya

MATATA: Jibu swali, umewahi kusikia watuhumiwa kutoroka central?

SHAHIDI: wangeweza kutoroka.

JAJI: Mbona swali rahisi, jibu kama umeshawahi kusikia wametoroka?

SHAHIDI: Mheshimiwa Jaji mimi sijui.

MATATA: Kwanini mliwapeleka watuhumiwa Mbweni?

SHAHIDI: Ni kwa maelekezo ya viongozi wangu.

MATATA: Nakuuliza wewe, sio viongozi wako.

SHAHIDI: Kama nilivyosema ni sababu za kiusalama.

MATATA: Utakubaliana na mimi kwamba mlipowaleta watuhumiwa Dar hujasema mliripoti kwa nani?

SHAHIDI: Tuliripoti kwa mamlaka za polisi kanda maalumu na mkoa wa kipolisi Kinondoni.

MATATA: Kwenye taarifa yako kuna mahali umeeleza hayo?

SHAHIDI: Hapana.

MATATA: Unaelewa kabla ya kuwasachi watuhumiwa, ilibidi nyie mlisachiwe kwanza?
shahidi ni kweli sijazungumza hilo.

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Lakini kwenye maelezo yako hujaeleza ka mlisachiwa kwanza kabla ya kuwasachi watuhumiwa.

SHAHIDI: Tulisachiwa japo sijaeleza.

MATATA: Kwa kuwa hujaeleza nitakosea nikisema hamkusachiwa.

SHAHIDI: Kimya.

MATATA: Umeeeleza kuwa watuhumiwa ni Makomandoo wa JWTZ?

SHAHIDI: Ni kweli.

MATATA: Utakubaliana na mimi kwamba Makomandoo ni watu ambao wanahitaji ulinzi zaidi?

SHAHIDI: Sahihi.

MATATA: Lakini katika maelezo yako hakuna popote umesema mliwasifirisha kwa pingu? Je utakubaliana na mimi nikisema mliwasafirisha makomandoo wa jeshi kizembe bila kuwafunga pingu?

SHAHIDI: Tuliwafunga

MATATA: Lakini maelezo yako uliyoandika hayaelezi hivyo.

SHAHIDI: Itakua nilisahau tu.

MATATA: Ni hayo tu Mheshimiwa Jaji.!

Malisa GJ

View attachment 1942312
Haki itashinda
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Hivi Mbowe ni mjinga kiasi gani hadi aende kuomba makomandoo jeshini? Na kweli akapewa hao makomandoo? Tangu lini Komandoo wa jeshi akawa mlinzi wa diesel sijui huko SGR? Upumbavu tu.

Nilisikia hadithi za babu wakiwa kwenye mission maalumu hawa jamaa unaweza kukuta ni kibarua wa kubeba zege. Yawezekana hapo kwenye mradi huo wa kinkakati wa sgr naye alikuwa ni mlinzi wa kinkakati. Na huo wizi wa diesel kama ni kweli inawezekana alishamaliza kazi ikawa ndio njia ya kuvunja/kufunga nkata. Na mmoja wao tunambiwa alikuwa mlinzi wa Mbowe.
 
Jinsi wakili msomi Dickson Matata alivyompeleka puta mtoto wa IGP Mahita.

MATATA: Nikumbushe Majina yako.

SHAHIDI: Naitwa Inspector Mahita Omary Mahita.

MATATA: nitakuwa Sahihi nikisema wewe ni Mtoto wa IGP mstaafu Omary Mahita.

SHAHIDI: Upo sahihi

MATATA: Wakati Baba yako akiwa IGP wewe Ulikuwa wapi?

SHAHIDI: Nilikuwa Chuo kikuu

MATATA: Wakati Baba yako akiwa IGP ulikuwa na akili timamu?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Unakumbuka madai ya baba yako kuwakuta CUF na visu akadai wamekusudia kufanya ugaidi.

WAKILI WA JAMHURI: Objection Mheshimiwa Jaji. Naomba swali hilo liondolewe.

MATATA: Wakati mnawakamata watuhumiwa mlikuwa na Kikosi Maalum?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Kikosi chote kilitokea Arusha?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Na kikosi hicho kilikuwa chini ya RPC Kingai ambaye wakati huo alikua RCO Arusha?

SHAHIDI: Sahihi kabisa

MATATA: Unapotoka kwenye kituo unapaswa kuwa na Movement Order?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Ulipotoka Arusha kwenda Moshi hukueleza kuwa na movement order.

SHAHIDI: Nilikua nayo.

MATATA: Ulimweleza nani?

SHAHIDI: Sikueleza lakini nilikua nayo

MATATA: Maelezo yako ya awali hayaelezi hivyo.

SHAHIDI: Kimya.

MATATA: Je unajua kwamba unapofika mkoa mwingine unapaswa uriporti kwanza kwa Mlmamlaka za Mkoa huo?

SHAHIDI: Ni kweli.

MATATA: Katika maelezo yako hakuna popote uliposema umeripoti kwa mamlaka za polisi Moshi.

SHAHIDI: Ni kweli lakini?

MATATA: Hakuna lakini, jibu NDIYO au HAPANA.

SHAHIDI: Niliripoti lakini labda kwenye maelezo nilisahau kuandika.

MATATA: sasa kama hukuandika ulitegemea mahakama iote?

SHAHIDI: Kimya

MATATA: Una ushahidi wowote unaoonesha mliripoti mamlaka za polisi Moshi kabla ya operesheni yenu?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Uko wapi?

SHAHIDI: sijaja nao

MATATA: mlipowakamata watuhumiwa mliwasafirisha kuja Dar?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: walipofika Dar mliwatoa central na kuwapeleka Mbweni?

SHAHIDI: Ni kweli.

MATATA: Kwanini mliwapeleka Mbweni?

SHAHIDI: Kwa sababu ya usalama.

MATATA: Kati ya Cetral na Mbweni wapi kuna usalama zaidi?

SHAHIDI: Lakini..

MATATA: Jibu, acha lakini.

SHAHIDI: Mbweni.

MATATA: Kati ya Central na Mbweni wapi kuna askari wengi?

SHAHIDI: Central.

MATATA: Kati ya central na Mbweni wapi kuna silaha nyingi zaidi?

SHAHIDI: Central.

MATATA: Kati ya central na Mbweni wapi panaweza kupatikana msaada wa haraka ikitokea dharura?

SHAHIDI: Central.

MATATA: Sasa unasemaje Mbweni kuna usalama kuliko central?

SHAHIDI: ili watuhumiwa wasiweze kutoroka.

MATATA: Umewahi kusikia pale central kuna watuhumiwa wametoroka?

SHAHIDI: kimya

MATATA: Jibu swali, umewahi kusikia watuhumiwa kutoroka central?

SHAHIDI: wangeweza kutoroka.

JAJI: Mbona swali rahisi, jibu kama umeshawahi kusikia wametoroka?

SHAHIDI: Mheshimiwa Jaji mimi sijui.

MATATA: Kwanini mliwapeleka watuhumiwa Mbweni?

SHAHIDI: Ni kwa maelekezo ya viongozi wangu.

MATATA: Nakuuliza wewe, sio viongozi wako.

SHAHIDI: Kama nilivyosema ni sababu za kiusalama.

MATATA: Utakubaliana na mimi kwamba mlipowaleta watuhumiwa Dar hujasema mliripoti kwa nani?

SHAHIDI: Tuliripoti kwa mamlaka za polisi kanda maalumu na mkoa wa kipolisi Kinondoni.

MATATA: Kwenye taarifa yako kuna mahali umeeleza hayo?

SHAHIDI: Hapana.

MATATA: Unaelewa kabla ya kuwasachi watuhumiwa, ilibidi nyie mlisachiwe kwanza?
shahidi ni kweli sijazungumza hilo.

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Lakini kwenye maelezo yako hujaeleza ka mlisachiwa kwanza kabla ya kuwasachi watuhumiwa.

SHAHIDI: Tulisachiwa japo sijaeleza.

MATATA: Kwa kuwa hujaeleza nitakosea nikisema hamkusachiwa.

SHAHIDI: Kimya.

MATATA: Umeeeleza kuwa watuhumiwa ni Makomandoo wa JWTZ?

SHAHIDI: Ni kweli.

MATATA: Utakubaliana na mimi kwamba Makomandoo ni watu ambao wanahitaji ulinzi zaidi?

SHAHIDI: Sahihi.

MATATA: Lakini katika maelezo yako hakuna popote umesema mliwasifirisha kwa pingu? Je utakubaliana na mimi nikisema mliwasafirisha makomandoo wa jeshi kizembe bila kuwafunga pingu?

SHAHIDI: Tuliwafunga

MATATA: Lakini maelezo yako uliyoandika hayaelezi hivyo.

SHAHIDI: Itakua nilisahau tu.

MATATA: Ni hayo tu Mheshimiwa Jaji.!

Malisa GJ

View attachment 1942312
Najaribu kuwaza hii kesi ingekuwa inaendeshwa mubashara!tukaona Hawa vilaza wa polisi ccm,wanavyoenyeshwa na mawakili,haki ya nani,IGP Siro,angekuwa anajialishia kila wakati
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom