Hivi Iringa si wanakula mbwa au? Kama na wao wanakula mbwa basi huwenda umekula mbwa kabla hujaweka hili bandiko humu.
Kwani kula mbwa ni habari sana huko dar???
Kuliko kula ambaruti.
Kula Ambaruti nani kakwambia ni habari mbaya?
Ninafurahi kuwa wame pata ajira inayowalipa mshahara.Hivì hawa wahudumu viziwi mawasiliano yanakuaje au kuna menu maalum unauonesha.
Mimi nishawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na msichana mzuri lakini ndo hivyo tena...hasikii lakini mkarimu sana mara nyingine alikuwa ananiangalia bila mimi kujua lakini mtunapokutanisha macho anatabasamu nami namkumbatia daah!!!..miaka imeenda.
Kipindi fulani nilisafiri na washikaji kwenda kanda ya ziwa. Tulilala mji flani hivi, usiku kukawa kuna disco, tukaenda bhana baada kama risaa hivi, nikamwona mshikaji mmoja amekumbatiana na binti mmoja kisu chenye makali sana. Mwishoni tuliondoka naye, kumbe ailikuwa kiziwi aisee.mpaka leo jamaa hajaniambia alimuanzaaje zaidi ya kumsifia kwamba binti anayajua mambo!!!Hivì hawa wahudumu viziwi mawasiliano yanakuaje au kuna menu maalum unauonesha.
Hauna jina?
Huwa ni wapole wakarimu kuna kipindi wakizidiwa na mahaba ile miguno yao utasema wanaongea.Kipindi fulani nilisafiri na washikaji kwenda kanda ya ziwa. Tulilala mji flani hivi, usiku kukawa kuna disco, tukaenda bhana baada kama risaa hivi, nikamwona mshikaji mmoja amekumbatiana na binti mmoja kisu chenye makali sana. Mwishoni tuliondoka naye, kumbe ailikuwa kiziwi aisee.mpaka leo jamaa hajaniambia alimuanzaaje zaidi ya kumsifia kwamba binti anayajua mambo!!!
Watakua viziwi wa kandambili fc sbbu hilo jengo ni la kwao hpo jangwani, ndo maana umekuja mbio kweli bila hta maelezo ya iyo huduma nzuri
Huyo mshikaji anasema miguno ndo ilimmaliza kabiaa!!Huwa ni wapole wakarimu kuna kipindi wakizidiwa na mahaba ile miguno yao utasema wanaongea.
HahahàaHuyo mshikaji anasema miguno ndo ilimmaliza kabiaa!!
Si kweli. Ni stor tuHivi Iringa si wanakula mbwa au? Kama na wao wanakula mbwa basi huwenda umekula mbwa kabla hujaweka hili bandiko humu.
Wewe ni mchawi? (Ndio au Hapana)Si kweli. Ni stor tu