Jinsi Tanzania ilivyogeuzwa shamba la bibi

Ferds

JF-Expert Member
Oct 27, 2010
1,263
191
Kuna kiwanda cha kutengeneza Chupa kinaitwa Kioo Limited, Kipo jijini Dar es Salaam, hiki ni kiwanda kikubwa tu hapa nchini, kinatengeneza chupa, na kinauza ndani ya nchi na Afrika Mashariki na Kati kwa ujumla, kiwanda hiki kinamilikiwa na wahindi, kama ilivyo desturi ya viwanda vyingi nchini mwetu.

Hali katika kiwanda hiki inasikitisha, kama si kukatisha tamaa kabisa.

Nilipewa habari kuhusu mwenendo wa kiwanda hiki na mmoja wa wafanyakazi, ambaye alinieleza kwa masikitiko makubwa kuhusu yanayotokea ndani ya kiwanda hiki, manyanyaso na unyonyaji, nikajitwika jukumu la kuwa kibarua kwa siku kadhaa nijionee yaliyomo usiulize mshahara wangu maana ulikuwa shilingi 3,600/=tshs za kitanzania kwa siku, nikaingia mzigoni kwa takribani mwezi mmoja hivi, niliona mengi, lakini hili kuu ndilo limenifanya niandike na kulifikisha kwenu wanajamvi, awezaye alifikishe kwa wahusika.

Jamani hawa wamiliki wa Kioo wameamua kujenga Plant Mpya ili kupanua kiwanda chao amabalo ni jambo la heri lakini kwao tu si kwetu kwa jinsi system ilivyo hapo kiwandani! Naamini mpaka sasa bado ujenzi unaendelea, kilichonisikitisha ni kuletwa vibarua kama 50 au chini ya idadi hiyo kutoka India, hawa jamaa, wanafanya kazi zile ambazo watanzania wanazifanya kila leo nchini humu, wahindi hawa ni wengi na sijui walipewaje viza, walipewa kama kina nani? Mamlaka zetu katika uhamiaji zinafanya kazi gani, wizara ya viwanda na biashara, wizara ya kazi, wizara ya mambo ya ndani inafanya nini? Je wakaguzi wa wizara husika hawalijui kweli hili?

Waziri Mkuu Pinada alisema wakati akifungua Mkutano wa watafiti, alisema kuwa hajui kwa nini umasikini unazidi kukithiri japokuwa kuna tafiti kibao.

Ukifika Kioo, utaona jinsi watanzania wanavyonyimwa fursa kwa maana kila kitu kipo kwa wageni, menegiment yote ni ya kwao, Hivi kweli tanzania ya leo, unaajiri Marketing Meneja Kutoka Ulaya eti kwa kisingizio kuwa watanzania ni wazembe!

Watu wetu wanaosomeshwa kwa kodi zetu wanakuwa underultilize, Engineer anawekwa kuwa Supervisor, wakati technician anaeletwa kutoka India anapewa cheo cha Engineer, inasikitisha.

Kwa mtindo huu maandamano na migomo haitaisha nchini, na serekali kwa kuzembea huku isilaumu watu kwa utovu wa nidhamu, uchochezi na sababu zingine.

Uwekezaji ni lazima ulete tija kwetu sote na si kwa wageni tu.

Wanasiasa nao wasijiegemeze tu kwenye migodi, na chaguzi, tembeleeni watu viwandani muone wanavyoumia.Ukifika kioo huna haja ya kuuliza sana kwani mambo yanazungumza yenyewe "RES IPSA LOQUITUR"
 
Haya uliyojionea ni karibu kila kiwanda kinachomilikiwa na wahindi na wenye ngozi nyeupe wengine, mfano katika kiwanda cha Kagera Sugar hali ya ngozi nyeusi kunyanyaswa na wahindi au wazungu ni ya kawaida sana.

Utakuta mhindi mwenye elimu sawa na mbantu mishahara hailingani, serikali ya JK imelala wakati wasomi wetu wakihaha kila uchao kusaka ajira ambazo zinaporwa na wageni. Dawa ni kuking'oa chama cha mafisadi ili tufaidi matunda ya nchi yetu.
 
Na leo nimeona wanaipima akili ya rais wenu ili waendelee kuiexploit on their benefit
 
Hao wahindi viwandani kwao wanaitwa EXPERTS!!!! Mara nyingi (kama sio zote) wanakuwa ni BONDED LABOURERS...Unalipiwa tiketi toka India/Bangladesh hadi Tz. Ukifika passport na documents zote za maana (mara nyingi huwa wana passport tuu) anavihifadhi TAJIRI.

Makazi yao huwa niyakufungiwa kwenye godowns za matajiri wao au majumba kama mabweni. Kwa kuwa hawana karatasi sahihi na paspoti anayo tajiri huwa hawaonekani mitaani.

Mara nyingi hawa hulipwa ujira bora kidogo kuliko ndg zetu wazawa! Ila kwa kuwa wao WAMETOKA KWENYE DHIKI kali zaidi yetu wengi huwa wakatili sana kwa wazawa na ukizingatia UBAGUZI WA MADARAJA WA WAHINDI NI WAASILI!

Serikali yetu na VI***ZI WETU ndio wanayaruhusu kwa sababu ya ULAFI ULIOKITHIRI....Kwani UHAMIAJI huwa hawaoni makaratasi yanayopelekwa kuomba vibali vya kufanya kazi nchini??? TUNAJIKAANGA WENYEWE JAMANI
 
Hao wahindi viwandani kwao wanaitwa EXPERTS!!!! Mara nyingi (kama sio zote) wanakuwa ni BONDED LABOURERS...Unalipiwa tiketi toka India/Bangladesh hadi Tz. Ukifika passport na documents zote za maana (mara nyingi huwa wana passport tuu) anavihifadhi TAJIRI.

Makazi yao huwa niyakufungiwa kwenye godowns za matajiri wao au majumba kama mabweni. Kwa kuwa hawana karatasi sahihi na paspoti anayo tajiri huwa hawaonekani mitaani.

Mara nyingi hawa hulipwa ujira bora kidogo kuliko ndg zetu wazawa! Ila kwa kuwa wao WAMETOKA KWENYE DHIKI kali zaidi yetu wengi huwa wakatili sana kwa wazawa na ukizingatia UBAGUZI WA MADARAJA WA WAHINDI NI WAASILI!

Serikali yetu na VI***ZI WETU ndio wanayaruhusu kwa sababu ya ULAFI ULIOKITHIRI....Kwani UHAMIAJI huwa hawaoni makaratasi yanayopelekwa kuomba vibali vya kufanya kazi nchini??? TUNAJIKAANGA WENYEWE JAMANI
Inaikitisha sana, niliwahi kufanya interview St Joseph College of Engineering, mshahara walioni-offer nilishindwa kuamini. Nikiwa natoka nje ya office, mmoja wa masecretary pale aliniambia kuwa hata hao wahindi unaowaona kama waalimu, wameletwa tu kutoka India ili watafute maisha hapa Bongo na wanalipwa mshahara kidogo mpaka watumike kwa muda fulani. Huu ni mtindo wa wahindi hapa bongo. Si kila mhindi unayekutana naye yuko fit kimaisha, wengine ni watumwa wa wahindi wenzao waliowaleta hapa nchini bila utaratibu kwa mikataba ya kutumika kwa muda fulani.

Kinachosikitisha ni kuwa wizara ya kazi na idara ya uhamiaji wanalijua hili lakini hakuna hatua wanazochukua kwa sababu ya rushwa! Mbaya zaidi baada ya muda utakuta mhindi mtumwa huyo huyo ana passport ya Tanzania.
 
Nilishasoma humu jamvini kwamba kuna watumwa pia wanatoka India kuja kufanya kazi katika hivyo viwanda vya Wahindi.
 
Nchi yoyote inayoendekeza wahindi au yenye wahindi wengi ujue India inapata maslahi makubwa kutoka katika nchi hiyo.

SIFA KUBWA TA WAHINDI NI KUFANYA BIASHARA KATIKA MAZINGIRA WANAYOTAKA NYANYASA WATU NA KUIIBIA SERIKALI, MIMI NIMESOMA NA HAWA WATU NAWAJUA NA WANANIJUA, hawa watu sio wa kucheka nao ni jamii ya nyoka
 
Mi nawafahamu sana hawa nimezaliwa na kukulia uhindini (city center) nimecheza nao nikiwa mdogo (hata nilipokuwa mdogo nilikuwa na kinyaka ki-gujarati wanachoongea baniani sema sikuhizi nimekisahau), nimesoma nao shule yamsingi na baade A-level nikarudi kusoma town. Wengi wao sio wazuri ila wapo wachache ambao wana utu.

Nimeshuhudia wakati nikiwa mdogo (miaka ya '80) wahindi wakitoka India wakifanyishwa kazi kama vinyozi kwenye viduka vya kunyolea vya wahindi wazawa pale mjini. Wengi huwa hawajui hata kiswahili na wanakuwa wametoka katika jamii masikini sana. Hiki ni kile kipindi ambacho wahindi hawakuwa wakimiliki viwanda vingi (1985-1990), baada ya kuzoea hawa wahamiaji hutafuta wahindi wazawa na kuoa au kuolewa. Hapo wanapata uraia wa moja kwa moja kupitia wahindi wenzao wazawa. Labda kama Sheria ya uhamiaji Tanzania imebadilika lakini inasema kwa mgeni kuolewa au kuoa Mtazania, mgeni anakuwa raia wa Tanzania moja kwa moja. Haya mambo utayajua kama unaishi nao kwasababu huwa hawayasemi waziwazi.

Wengi miaka ya nyuma ('70, '80) ambapo Watanzania walikuwa hawasafiri sana nchi za nje kama sasa walikuwa wanakuja Tanzania, wanakaa na kupata uraia halafu wanakwenda Uingereza au Kanada. Kwasabau viza za kwenda nchi hizo kwa Watanzania ilikuwa rahisi kupata kuliko kwa raia wa India, kwahiyo wahindi wa India walitumia njia hiyo kwenda Ulaya.

Kitu kimoja ninacho kifahamu kwa hawa ndugu zetu ni 'HONGO'. Dah wahindi wanapenda kuhonga bwana, asikuambie mtu. Utasikia anakwambia, "swahili iko taka pesa bana veve ipa pesa dogo na mambo ako iko safi". Sasa kwasababu mfumo wetu ni mbovu hawa jamaa watazidi kutuumiza.

Juzi juzi nimesoma hapa kuhusu mambo ya risiti... yaani haya mambo yapo toka miaka mingi, utakuta muhindi anakuuliza, "iko taka risti"?. Nakumbuka wakati mdogo niliwahi kumuuliza mama yangu kwanini wanauliza hivi? Akaniambia "usikubali kununua bidhaa bila risiti kwasababu nitakuwa nimeshiriki katika kuiibia serikali, wizi ni dhambi".

Mimi sina tatizo na wageni kutafuta maisha Tanzania lakini mfumo wetu ni mbovu sana na unahitaji kurekebishwa. Ndiyo maana huwa nasema kabla ya kuparamia mambo ya uraia wa nchi mbili eti kwasabu itasaidia Watanzania wachache walio ng'ambo nilazima tuangalie hasara kubwa itakayoletwa kama hakutakuwa na ufuatiliaji wa sheria.
 
Hao wahindi viwandani kwao wanaitwa EXPERTS!!!! Mara nyingi (kama sio zote) wanakuwa ni BONDED LABOURERS...Unalipiwa tiketi toka India/Bangladesh hadi Tz. Ukifika passport na documents zote za maana (mara nyingi huwa wana passport tuu) anavihifadhi TAJIRI.

Makazi yao huwa niyakufungiwa kwenye godowns za matajiri wao au majumba kama mabweni. Kwa kuwa hawana karatasi sahihi na paspoti anayo tajiri huwa hawaonekani mitaani.

Mara nyingi hawa hulipwa ujira bora kidogo kuliko ndg zetu wazawa! Ila kwa kuwa wao WAMETOKA KWENYE DHIKI kali zaidi yetu wengi huwa wakatili sana kwa wazawa na ukizingatia UBAGUZI WA MADARAJA WA WAHINDI NI WAASILI!

Serikali yetu na VI***ZI WETU ndio wanayaruhusu kwa sababu ya ULAFI ULIOKITHIRI....Kwani UHAMIAJI huwa hawaoni makaratasi yanayopelekwa kuomba vibali vya kufanya kazi nchini??? TUNAJIKAANGA WENYEWE JAMANI
HAWA Wahindi vibarua wa KIOO LTD wamekuwepo kwa miaka mingi sasa wakija na kuondoka hapa nchini na ukitaka kuwaona tembelea bar ya Sugar Ray, Temeke kwa Sokota kuanzia saa 2 za usiku utawakuta wakikata kinywaji na kuvizia totos.
 
Nchi yoyote inayoendekeza wahindi au yenye wahindi wengi ujue India inapata maslahi makubwa kutoka katika nchi hiyo.

SIFA KUBWA TA WAHINDI NI KUFANYA BIASHARA KATIKA MAZINGIRA WANAYOTAKA NYANYASA WATU NA KUIIBIA SERIKALI, MIMI NIMESOMA NA HAWA WATU NAWAJUA NA WANANIJUA, hawa watu sio wa kucheka nao ni jamii ya nyoka

Wahindi ni balaa. Jana nilikuwa naangalia programme moja BBC wanaonyesha jinsi rushwa ilivyovuka mipaka huko India. Jamaa anasema chochote ukitakacho unapata iwe vyeti vya vyuo mbalimbali na leseni za udereva hata kama hujuwi kuendesha kabisa, nilichoka. Na walikuwa wanatumia hidden camera kupiga picha na kurekodi maofisa mbalimbali walikopoita.

Lol! Wahindi hawafai kabisa.
 
Ikiwa mtanzania mwenye asili ya kiasia anaitwa Mhindi, Je mtanzania mwenye asili kwa mfano ya kibantu ataiwa nani ?

Sababu wote ni watanzania na wote ni waafrika.

Punguzeni chuki zenu za kibaguzi, hawa watu wanafanikiwa kwa juhudi zao. Hicho kiwanda kikifungwa leo watu wangapi watakosa ajira ?

Kila mfanya biashara anataka kazi yake ifanikiwe maana kuna mashindano makubwa huko kwenye jukwaa la biashara. Na watanzania hatuna sifa ya kufanya kazi kwa ufanisi , uvivu na ufisadi ndio sifa yetu kubwa leo.
 
Wahindi ni balaa. Jana nilikuwa naangalia programme moja BBC wanaonyesha jinsi rushwa ilivyovuka mipaka huko India. Jamaa anasema chochote ukitakacho unapata iwe vyeti vya vyuo mbalimbali na leseni za udereva hata kama hujuwi kuendesha kabisa, nilichoka. Na walikuwa wanatumia hidden camera kupiga picha na kurekodi maofisa mbalimbali walikopoita.

Lol! Wahindi hawafai kabisa.

Mbona hata Bongo vitu hivyo vipo kwa sana tu..! Kama hujui sema tukwambie. Ukitaka TIN, Leseni au cheti chochote utapata.
 
Ikiwa mtanzania mwenye asili ya kiasia anaitwa Mhindi, Je mtanzania mwenye asili kwa mfano ya kibantu ataiwa nani ?

Sababu wote ni watanzania na wote ni waafrika.

Punguzeni chuki zenu za kibaguzi, hawa watu wanafanikiwa kwa juhudi zao. Hicho kiwanda kikifungwa leo watu wangapi watakosa ajira ?

Kila mfanya biashara anataka kazi yake ifanikiwe maana kuna mashindano makubwa huko kwenye jukwaa la biashara. Na watanzania hatuna sifa ya kufanya kazi kwa ufanisi , uvivu na ufisadi ndio sifa yetu kubwa leo.

nadhani mada yangu hujaielewa au wewe nawe ni mmja wao, cjakurupuka kuandika hii mada na nimetafiti vilivyo , pia nimekutana na madai hayo kuwa watanzania ni wavivu na si wafanisi ktk kazi, lakini cha kushangaza kioo, watanzania ndio wanaofanya kazi na hawa wahindi wamekaa maofisini tu, wanamenyeka watanzania hawa jamaa kazi ni kuagiza ufanye ubunifu wako, hatupo hapa kubaguana, ila tunalazimishwa kubaguana, ikiwa mimi mtanzania nakosa ajira ndani ya ardhi yangu hata kubeba tofali analetwa mhindi kutoka india, je nani mbaguzi hapo?ikiwa Engineer aliesomeshwa kwa kodi zetu anakuwa supervisor wa vyupa, wakati mpuuzi kutoka India anaekuja hajui hata kazi unamfundisha halafu anakuwa engineer kwa rangi yake nani ni mbaguzi, Kioo LTD, kuna nyumba za wafanyakazi, weusi wemeondolewa na amebaki mbishi mmja tu wamechukua wenyewe wahindi! bado unasema mimi mbaguzi! Hii ni nchi yetu na ni lazima tuwe wakali au wewe mhindi staili ile ya waliooomba urai wale?natambua kila mfanyabiashara anataka faida lakini lazima haki za watu zizingatiwe ili kuepusha migongano, la sivyo lazima ya Afrika Kusini yaa kuondoa wageni yatafika tu mda si mrefu.
 
HAWA Wahindi vibarua wa KIOO LTD wamekuwepo kwa miaka mingi sasa wakija na kuondoka hapa nchini na ukitaka kuwaona tembelea bar ya Sugar Ray, Temeke kwa Sokota kuanzia saa 2 za usiku utawakuta wakikata kinywaji na kuvizia totos.

asante kwa kuniunga mkono, hii inaonyesha ni njisi gani wengi tumewaona
 
Mi nawafahamu sana hawa nimezaliwa na kukulia uhindini (city center) nimecheza nao nikiwa mdogo (hata nilipokuwa mdogo nilikuwa na kinyaka ki-gujarati wanachoongea baniani sema sikuhizi nimekisahau), nimesoma nao shule yamsingi na baade A-level nikarudi kusoma town. Wengi wao sio wazuri ila wapo wachache ambao wana utu.

Nimeshuhudia wakati nikiwa mdogo (miaka ya '80) wahindi wakitoka India wakifanyishwa kazi kama vinyozi kwenye viduka vya kunyolea vya wahindi wazawa pale mjini. Wengi huwa hawajui hata kiswahili na wanakuwa wametoka katika jamii masikini sana. Hiki ni kile kipindi ambacho wahindi hawakuwa wakimiliki viwanda vingi (1985-1990), baada ya kuzoea hawa wahamiaji hutafuta wahindi wazawa na kuoa au kuolewa. Hapo wanapata uraia wa moja kwa moja kupitia wahindi wenzao wazawa. Labda kama Sheria ya uhamiaji Tanzania imebadilika lakini inasema kwa mgeni kuolewa au kuoa Mtazania, mgeni anakuwa raia wa Tanzania moja kwa moja. Haya mambo utayajua kama unaishi nao kwasababu huwa hawayasemi waziwazi.

Wengi miaka ya nyuma ('70, '80) ambapo Watanzania walikuwa hawasafiri sana nchi za nje kama sasa walikuwa wanakuja Tanzania, wanakaa na kupata uraia halafu wanakwenda Uingereza au Kanada. Kwasabau viza za kwenda nchi hizo kwa Watanzania ilikuwa rahisi kupata kuliko kwa raia wa India, kwahiyo wahindi wa India walitumia njia hiyo kwenda Ulaya.

Kitu kimoja ninacho kifahamu kwa hawa ndugu zetu ni 'HONGO'. Dah wahindi wanapenda kuhonga bwana, asikuambie mtu. Utasikia anakwambia, "swahili iko taka pesa bana veve ipa pesa dogo na mambo ako iko safi". Sasa kwasababu mfumo wetu ni mbovu hawa jamaa watazidi kutuumiza.

Juzi juzi nimesoma hapa kuhusu mambo ya risiti... yaani haya mambo yapo toka miaka mingi, utakuta muhindi anakuuliza, "iko taka risti"?. Nakumbuka wakati mdogo niliwahi kumuuliza mama yangu kwanini wanauliza hivi? Akaniambia "usikubali kununua bidhaa bila risiti kwasababu nitakuwa nimeshiriki katika kuiibia serikali, wizi ni dhambi".

Mimi sina tatizo na wageni kutafuta maisha Tanzania lakini mfumo wetu ni mbovu sana na unahitaji kurekebishwa. Ndiyo maana huwa nasema kabla ya kuparamia mambo ya uraia wa nchi mbili eti kwasabu itasaidia Watanzania wachache walio ng'ambo nilazima tuangalie hasara kubwa itakayoletwa kama hakutakuwa na ufuatiliaji wa sheria.
Na hawa ndio wanasababisha bei za kila kitu kupanda maana wamemonopolize soko, sukari itauzwaje 2000/= wakati tuna viwanda kama vitatu ndani ya nchi yetu?
 
Inaikitisha sana, niliwahi kufanya interview St Joseph College of Engineering, mshahara walioni-offer nilishindwa kuamini. Nikiwa natoka nje ya office, mmoja wa masecretary pale aliniambia kuwa hata hao wahindi unaowaona kama waalimu, wameletwa tu kutoka India ili watafute maisha hapa Bongo na wanalipwa mshahara kidogo mpaka watumike kwa muda fulani. Huu ni mtindo wa wahindi hapa bongo. Si kila mhindi unayekutana naye yuko fit kimaisha, wengine ni watumwa wa wahindi wenzao waliowaleta hapa nchini bila utaratibu kwa mikataba ya kutumika kwa muda fulani.

Kinachosikitisha ni kuwa wizara ya kazi na idara ya uhamiaji wanalijua hili lakini hakuna hatua wanazochukua kwa sababu ya rushwa! Mbaya zaidi baada ya muda utakuta mhindi mtumwa huyo huyo ana passport ya Tanzania.

Pole kaka si peke yako hata mimi ni victim wa hii system, system imecorrode shehe!!!!
 
Ikiwa mtanzania mwenye asili ya kiasia anaitwa Mhindi, Je mtanzania mwenye asili kwa mfano ya kibantu ataiwa nani ?

Sababu wote ni watanzania na wote ni waafrika.

Punguzeni chuki zenu za kibaguzi, hawa watu wanafanikiwa kwa juhudi zao. Hicho kiwanda kikifungwa leo watu wangapi watakosa ajira ?

Kila mfanya biashara anataka kazi yake ifanikiwe maana kuna mashindano makubwa huko kwenye jukwaa la biashara. Na watanzania hatuna sifa ya kufanya kazi kwa ufanisi , uvivu na ufisadi ndio sifa yetu kubwa leo.
Si hivyo wahindi ni wabaguzi kwa asilimia 100,nenda pale Agakhan hospital,Mzizima na shaaban Robert secondary school,Regency hospital angalia kadi zao zinataka kujua ni mtu wa rangi gani au soma kwenye matangazo ya kuomba kazi utasikia tunataka anayeongea Gujarati ,Gujarati hapa bongo ya nini,sijawahi soma au kusikia tangazo linalosema tunataka mtu anayeongea Kisukuma au Kichaga kwenye nafasi za kazi ,pia utasikia mimi ni mtanzania mwenye asili ya Asia(ingawa Asia ni kubwa ukiona hivyo ni Mhindi na wala si mchina au mkorea).Wahindi ni wabaguzi ukioa au kuolewa na Mhindi mnatengwa je hiyo nini?huenda nawe ni baniani
 
Mkuu andika Article kwenye gazeti. Anza na yale ya kiingereza. Wahusika wote (wizara, uhamiaji) watayaona wenyewe.

Soma na Utekeleze Signature yangu hapo chini
 
Back
Top Bottom