Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 48,296
- 41,841
Ukipata mnayeelewana mnaweza kuishi maisha mazuri na matamu kuliko waliooana kwa matarumbeta
hahahhahah nimeipenda ioMkuu usisahau miaka ina kwenda, vumbuzi mbalimbali zaki sayansi zina toka kila siku, research pia zina fanyika kila siku, tathimini ya maswala mbalimbali pia zina fanywa na kupatikana basi na tabia za viumbe vile vile zimebadilika kutokana na mazingira na technlogy tulio nayo sasahivi. Watu hawa taki cheni ndefu za kufunguna kwa viapo vingiii simple una kuja tuna test mitambo kikieleweke fresh kikibuma bila kelele mingi 50/50.
Cc Smart911Bora uzima maisha ni matokeo!! Kama wameridhiana aah acha wasongeshe life
Pamoja na shida zote hizo bado ulifanikiwa kuishi nae mwaka mmoja (siku 365!)Mnanikumbusha sogea tuishi ilinisaidia kujua kuwa nimepotea njia niliishia na mwanaume mwaka mmoja, nikagundua hana nguvu za kiume hadi anywe konyagi, pili ni mlevi mbwa akilewa anajikojolea na kujinyea na matusi ya kila rangi anatoa, tatu kumbe na ni muumini wa kuvuta bangi na sigara, NNE kila Leo nafuma msg za wanawake Mara ndomu kwenye mifuko na huku ndani kazi inamshinda, tano alikuwa na wivu hiyo ole anikute hata naongea na wenzie ni ugomvi, sita nikagundua familia yao haieleweki baba na mama waliachana, pia baba ana watoto wengi wa nje
Mnanikumbusha sogea tuishi ilinisaidia kujua kuwa nimepotea njia niliishia na mwanaume mwaka mmoja, nikagundua hana nguvu za kiume hadi anywe konyagi, pili ni mlevi mbwa akilewa anajikojolea na kujinyea na matusi ya kila rangi anatoa, tatu kumbe na ni muumini wa kuvuta bangi na sigara, NNE kila Leo nafuma msg za wanawake Mara ndomu kwenye mifuko na huku ndani kazi inamshinda, tano alikuwa na wivu hiyo ole anikute hata naongea na wenzie ni ugomvi, sita nikagundua familia yao haieleweki baba na mama waliachana, pia baba ana watoto wengi wa nje
Umeshasogezwa nikusogeze au bado upo upo?Afu hawashauuriki ni wakali mno mabinti sogezwa hataree
Hahahahaah hii inapunguza makali ya ndoa na inasaidia kujuana vyema! Mfano mie hii ndio imenipa mke wangu na nilimjua vyema kabla hata sijafanya maamuzi ya kuoa!Heshima ya ndoa iko pale pale kwa watu wanaojitambua bila kujali mlango walioingilia kwenye ndoa.
Suala la kuachana lipo pale pale bila kujali umetoa mahari ya ng'ombe 15, milioni 5, umefunga ndoa kanisani/msikitini au bomani kutegemeana na wahusika wenyewe.
Kwa kipindi hiki hasara za kufunga ndoa ni kubwa kuliko faida:
Mosi:Gharama kubwa sana kukamilisha harusi
Pili: Unafunga ndoa kwa gharama kubwa huku mke mwenyewe ni used/second hand. Nini hiki kama si ufala? Second hand wife unamtolea ng'ombe 15 au m3?
Ujanja hapa ni sogea tuishi-nawapongeza sana wanaosogeza tu.
Ha ha haa,utani huoUmeshasogezwa nikusogeze au bado upo upo?
Fungua moyo tutumie fursaHa ha haa,utani huo