mwemweremwemwere
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 606
- 663
Unakuta mwanamke wa nguvu kimuonekano, lakini ukienda naye kitandani hajui a wala b. Anachojua ni kuvua nguo na kufungua miguu au mapaja na kujilaza tu hapo. Mengine we mwenyewe endelea!
Kesho na kesho kutwa unasikia huyoo kaolewa, matokeo yake unasikia baada ya miezi 2 bidada kaachwa au karudishwa kwao!
Au unakuta unalala na mtu halafu unakuta mwenzio analala fofofo hadi asubuhi vinginevo wewe ndio umwamshe, napo anaamka kwa mbinde na malalamiko kibao halafu huyu ndio anajiita mpenzi au mke! Halafu asubuhi huyu anataka umuachie kodi ya meza, nyambaff kabisa! Aisee haiwezekani mtu wa hivi hata mimi napiga chini fasta!
Ninavyoona, hili wimbi la watu kuachana na idadi kubwa ya masingo maza linatokana na mambo kama haya ambayo kama jamii tumeyapuuzia na kuyaona kama ni ya kawaida sana. Kiukweli inabidi lazima kuyangaliwa kwa upana wake.
Tusiporudi kwenye misingi yetu, watu wapewe hizi elimu dunia ambazo wazee wetu walipewa lakini sisi tunaziita ni za kale, zisaidie kuokoa ndoa na kupunguza masingo maza aisee. Watu wafundwe hata ikibidi kwa kuchapwa viboko kwa faida yao ya baadaye na vizazi vyao.
Kesho na kesho kutwa unasikia huyoo kaolewa, matokeo yake unasikia baada ya miezi 2 bidada kaachwa au karudishwa kwao!
Au unakuta unalala na mtu halafu unakuta mwenzio analala fofofo hadi asubuhi vinginevo wewe ndio umwamshe, napo anaamka kwa mbinde na malalamiko kibao halafu huyu ndio anajiita mpenzi au mke! Halafu asubuhi huyu anataka umuachie kodi ya meza, nyambaff kabisa! Aisee haiwezekani mtu wa hivi hata mimi napiga chini fasta!
Ninavyoona, hili wimbi la watu kuachana na idadi kubwa ya masingo maza linatokana na mambo kama haya ambayo kama jamii tumeyapuuzia na kuyaona kama ni ya kawaida sana. Kiukweli inabidi lazima kuyangaliwa kwa upana wake.
Tusiporudi kwenye misingi yetu, watu wapewe hizi elimu dunia ambazo wazee wetu walipewa lakini sisi tunaziita ni za kale, zisaidie kuokoa ndoa na kupunguza masingo maza aisee. Watu wafundwe hata ikibidi kwa kuchapwa viboko kwa faida yao ya baadaye na vizazi vyao.