Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,515
Habari wakuu,
Husika na kichwa tajwa,
Sogea tukae ni aina ya ndoa za mchongo ambazo wanawake wamezitaka.
Wamezitaka wanawake kwakuwa wamejisogeza kwa wanaume bila kusubiri wakati wa wao kufunga ndoa halisi.
Ndoa hii ya mchongo imehalalisha zinaa, wanaume wanakula tunda kiulaini bila kupata shida na ndio maana wanamkataa ndoa na kuita ni utapeli.
Hii ndoa ya mchongo ya sogea tukae imepelekea wanawake kuwa single mama.
Ajabu wakishawazalisha wanawasema vibaya na wanasema hawawaoi.
Ndio maana watoto wasio na walezi wawili wamekuwa wakiongezeka huko mitaani.
Ni kwa kuwa wanaume wakishawazoea na kuwatumia huwachoka na kutafuta wanawake wapya na kuwaoa..
Nasema wanawake wamezitaka sababu ni kiherehere chao tu kimewapeleka kwa wanaume bila kufunga ndoa halisi ya kanisani na msikitini.
Wanaume wao wanaona kwao ni sawa tu maana umejipeleka mwenyewe kwao.
Hii imepelekea wanaume kuona kua ndoa halisi ya kanisani na msikitini haina maana wanaona tayari wameoa ilihali hawjaoa.
Imefanya wanaume kukataa ndoa na kuoana ni utapeli pia sababu imekuwa ni rahisi tu maana ukimwambia mwanamke njoo tuishi anakuja anahamia..
Sogea tukae imeharibu maana nzima ya ndoa halisi za kanisani na msikitini.
Pia imefanya wanaume wasiome umuhimu wa kufunga ndoa kanisani na msikitini.
Sogea tukae ni zinaa, kataa sogea tukae kataa utapeli..
Husika na kichwa tajwa,
Sogea tukae ni aina ya ndoa za mchongo ambazo wanawake wamezitaka.
Wamezitaka wanawake kwakuwa wamejisogeza kwa wanaume bila kusubiri wakati wa wao kufunga ndoa halisi.
Ndoa hii ya mchongo imehalalisha zinaa, wanaume wanakula tunda kiulaini bila kupata shida na ndio maana wanamkataa ndoa na kuita ni utapeli.
Hii ndoa ya mchongo ya sogea tukae imepelekea wanawake kuwa single mama.
Ajabu wakishawazalisha wanawasema vibaya na wanasema hawawaoi.
Ndio maana watoto wasio na walezi wawili wamekuwa wakiongezeka huko mitaani.
Ni kwa kuwa wanaume wakishawazoea na kuwatumia huwachoka na kutafuta wanawake wapya na kuwaoa..
Nasema wanawake wamezitaka sababu ni kiherehere chao tu kimewapeleka kwa wanaume bila kufunga ndoa halisi ya kanisani na msikitini.
Wanaume wao wanaona kwao ni sawa tu maana umejipeleka mwenyewe kwao.
Hii imepelekea wanaume kuona kua ndoa halisi ya kanisani na msikitini haina maana wanaona tayari wameoa ilihali hawjaoa.
Imefanya wanaume kukataa ndoa na kuoana ni utapeli pia sababu imekuwa ni rahisi tu maana ukimwambia mwanamke njoo tuishi anakuja anahamia..
Sogea tukae imeharibu maana nzima ya ndoa halisi za kanisani na msikitini.
Pia imefanya wanaume wasiome umuhimu wa kufunga ndoa kanisani na msikitini.
Sogea tukae ni zinaa, kataa sogea tukae kataa utapeli..