Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,783
- 95,577
Leo mnakubali kuwa pesa ni kila kitu [emoji23][emoji23][emoji23]Ndiye demu huyo huyo ..mabeste alipambana mpaka akafanyiwa harambee na wa-bongo ili demu wake akatibiwe " na hatimae akapona
Hapa wanaume Tunajifunza kwamba pesa ndio kila kitu " hata ujitoe kwa mwanamke kiasi gani 'Kama hauna pesa Thamani yako itabaki kuwa rehani
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app