Jinsi Kampuni za Simu zinavyowaibia wateja wao!

Jinsi Kampuni za Simu zinavyowaibia wateja wao!

tpaul hizi hapa jioneee

Unaona hizo screenshots? Jana nilitaka kununua muda wa maongezi ili nijiunge na kifurushi cha week. Wakanizingua weeeeeee hadi muda ukafika kika expire. Kila nikijaribu kununua inagoma, night ikawa imekubali kununua muda wa maongezi wa buku Tatu unusu, asubuhi najaribu kujiunga wanasema salio halitoshi kucheki wamekula kama buku shilingi Tatu, kwa kipi nilichokifanya sijui....

Massaweeeeeeee....Yesuuuuuuuuuuuuu....hawa voda sasa wamezidi kwa kweli. Ushahidi huu hata mahakamani unakubalika. Hivi ni lini hawa waizi wataacha kukwapua fedha za wateja wao?
 
Last edited by a moderator:
Yan mtanznia kuliwa inaonekana kama ni jambo ambalo halikwepeki maana wenye dhamana ya kututoa kwenye hali hii wamekaa kimya. Ila ipo siku tutachomoka wenyewe kwa njia yoyote.
 
Mkuu kama Mimi simu yangu nikijiunga na kifurushi halafu nikaweka buku lina zurura tu kwenye simu kesho nakuta 250 kesho kutwa nakutashillings 0 kabisa.ila siku hiz nimeshtuka nawaachia shillings 5 tu kwenye salio wakakate Mbele ya safari huko.
hahaaaaaa
 
Makanpuni yote ya simu ni wezi na wakuu wa tcra wanalifahamu hilo ila tatizo lao ni kuwa nao pia wanamgao wao toka kwenye hizo hujuma ndiyo maana wanakaa kimya
 
Hongera, naona na wewe ulichukua chako mapema ukajiongeza.
Pili, una maanisha hutumii simu ya mkononi?
 
Voda wamezidi ni matepeli wakubwa kutumia laini yao ni janga.hawana hata huruma wamekaa kitapeli tapeli.
 
Vodacom ndio mtandao unao ongoza kwa wizi yani sitaki hata kuwasikia wame niibia sana hawa jamaa mpk line nimeichoma moto kwa hasira.

Hahahaa
Ss umehamia wapi?
Manaake mi hapa ndo nipo mbioni kuhama sema m-pesa inasaidia
 
Voda wamezidi ni matepeli wakubwa kutumia laini yao ni janga.hawana hata huruma wamekaa kitapeli tapeli.

yaani mi sasa hv niko airtel maana vifurushi vyao voda wamepunguza sana bora airtel
voda ni mpesa tu
 
Hivi mnajua hii mitandao ya simu nchini inakichangia Chama Tawala shs ngapi kwenye Uchaguzi mkuu? Voda ndio partner mkubwa wa CCM.
Mnafikiri hizi Kampuni za simu zitafidia vipi michango mikubwa zinazodaiwa na CCM.?

Mnafikiri TCRA haifahamu huu wizi unaofanywa na hizi Kampuni?

Hili nalo neno
 
Mkuu usidanganyike kuna jamaa namfahamu anademu wake anapiga kazi voda tena anakitengo kikubwa tu,sasa basi jamaa kila droo za washindi jamaa lazima achukue jamaa ameshawai kupata Hyundai,pesa na droo kama za simu.tena demu wake ndiyo anamuambia "nimekuingiza kwenye droo watakupigia simu" hapo ndiyo nikagundua haa kumbe.

Dah aiseeeee
Ndo maana huwa sijiungi na hizo mambo huwa sijawahi kuwaamini
 
Yaani hawa Vodacom Tanzania ni waizi wakubwa kuwahi kutokea Tanzania ktk tansinia ya networks. Jana usiku niliweka vocha ya Tsh500 nikasema ngoja nijiunge kifurushi cha dk8 na 10mb cha 250tsh nikabakisha 250ili leo nijiunge kifurushi cha 750tsh.

Muda huu nimecheki salio ni tsh61!!!!

TCRA Mulika hawa majambazi yametumaliza.
 
Last edited by a moderator:
Hongera, naona na wewe ulichukua chako mapema ukajiongeza.
Pili, una maanisha hutumii simu ya mkononi?

mkuu, kwanza mimi sikuhusika katika wizi huu hata kidogo, mimi nimejitokeza hapa kama shahidi ili kushuhudia kile ninachokifahamu katika wizi huu. na utaona watu wengi wamenielewa isipokuwa wale wachache wanaofurahia utapeli huu.

pili, nami pia natumia simu na ninaumizwa sana na huu ufisadi unaofumbiwa macho na mamlaka husika.

kwani weye ni mkurugenz wa kampuni ya simu au upo TCRA? maana naona kama umekuja mbiombio kuliko kawaida.
 
Last edited by a moderator:
kweli kabisa wizi hasa upo katika miamala ya voda kama muda umeisha basi wasikate sio kumaliza salio ndio wanatuma sms
 
Duh, kama ndio hivyo wametuibia hadi basi. Hatuna la kuwafanya wewe umetusaidia kutukuza ila wataendelea na wizi tu sababu hatuna watu wa kutunusulu
 
Back
Top Bottom