Jinsi Kampuni za Simu zinavyowaibia wateja wao!

Jinsi Kampuni za Simu zinavyowaibia wateja wao!

sasa kumbukeni CCM imetunyonya kwa miaka 50.. lakini wapo watu wanaishabikia.. kama tunakataa wizi huu wa mitandao tukumbuke pia kukutaa wizi wa CCM hapo mwakani 2015

Viatu vilimtosha mwingereza na mjerumani wengine 'vinapwaya' hata akiondoka ciciem........hakuna wa kuvivaa!
 
Wewe jina linalokufaa kwa uzi huu ni ''MNAFIKI'!
 
Wewe jina linalokufaa kwa uzi huu ni ''MNAFIKI'!

acheni kuwaibia wateja wenu. mnataka muendelee kuwaibia mpaka lini? na ukirudi uje na majibu mujarabu kujibia hoja hizi, sio unakuja unatupa jiwe halafu unakimbia.

uzi una hoja ambazo mnapaswa kuzitolea majawabu fasaha sio blabla. dhambi ya kuwaibia wateja wenu haitawaacha salama...itakutafuneni hadi kiyama kiwakute!
 
kwa upande wa bahati nasibu washindi wanakuwa ni wa ukweli. hakuna uchakachuaji wowote unaofanyika...hapa ni uhakika 100%

lkn hapo n lazma mshnd awe na points nying kuliko wote...
 
Mkuu asante kwa taarifa nzuri kwetu. Ungetupatia pia maujanja jinsi ya kujinasua na mitego hii, kwani matumizi ya simu hayakwepeki.
 
Mkuu asante kwa taarifa nzuri kwetu. Ungetupatia pia maujanja jinsi ya kujinasua na mitego hii, kwani matumizi ya simu hayakwepeki.

mkuu, ujajanja uliopo ni kwamba usiweke salio kubwa kwenye akaunti yako. nunua vocha nyingi za 500 ukae nazo mfukoni...recharge tu pale unapotaka kununua bundle. ukijipendekeza kuacha fedha kwenye akaunti, zitatafunwa na hawa mafisadi.
 
mkuu, ujajanja uliopo ni kwamba usiweke salio kubwa kwenye akaunti yako. nunua vocha nyingi za 500 ukae nazo mfukoni...recharge tu pale unapotaka kununua bundle. ukijipendekeza kuacha fedha kwenye akaunti, zitatafunwa na hawa mafisadi.

Aisee kweli
 
Tumeibiwa sana na tutaendelea kuibiwa sana tu na haya makampuni.
 
Mwezi wa nane nilimtumia mke wangu muda wa maongezi shilingi 11,000/ tigo. Ile pesa kwangu ilikata ila kwa mke wangu haikufika hadi leo. Niliwapigia tigo, walichonijibu ni kuwa mke wangu kapata salio ila ananidanganya. Kwa kweli ni bahati kwamba mke wangu tulikuwa wote pamoja hivyo simu yake nilikuwa nayo na hakuna salio liloingia. Niliwaza sana kwamba hivi ingekuwa mke wangu yuko mbali si ningesema ananidanganya na pengine tungegombana. Hadi leo hiyo pesa haijafika kwa wife wala kwangu haijafika.
 
mkuu hizi michezo za bahati nasibu....washind wanakuwa n wa kweli au n waku tengenezwa....?

Mkuu usidanganyike kuna jamaa namfahamu anademu wake anapiga kazi voda tena anakitengo kikubwa tu,sasa basi jamaa kila droo za washindi jamaa lazima achukue jamaa ameshawai kupata Hyundai,pesa na droo kama za simu.tena demu wake ndiyo anamuambia "nimekuingiza kwenye droo watakupigia simu" hapo ndiyo nikagundua haa kumbe.
 
Mkuu usidanganyike kuna jamaa namfahamu anademu wake anapiga kazi voda tena anakitengo kikubwa tu,sasa basi jamaa kila droo za washindi jamaa lazima achukue jamaa ameshawai kupata Hyundai,pesa na droo kama za simu.tena demu wake ndiyo anamuambia "nimekuingiza kwenye droo watakupigia simu" hapo ndiyo nikagundua haa kumbe.

teh teh unamaanisha wanatoa kwa mkono wa kulia na kuvuta kwa mkono wa kushoto
 
mkuu, ujajanja uliopo ni kwamba usiweke salio kubwa kwenye akaunti yako. nunua vocha nyingi za 500 ukae nazo mfukoni...recharge tu pale unapotaka kununua bundle. ukijipendekeza kuacha fedha kwenye akaunti, zitatafunwa na hawa mafisadi.

Hiki ndo nifanyacho mimi sku hizi. Nawaachiaga ka shing mbili hizi au vijisenti. Washaanila sana hawa wendawazimu.
 
Hata wafanyakazi wao pia wanawaibia kwa kuwalipa ujira usiowiana na majukumu yao. Hivi sasa makampuni hayo yameanza kuleta wahindi kwenye idara kadhaa tena kwa kuwalipa vizuri zaidi kuliko wazawa na mwisho wa siku performance delivery ya wahindi hao ni very poor wakati wazawa wanahenyeshwa bila kuangalia tija wanayozalisha kwa faida kubwa. HUU NI UNYANYASAJI ULIO DHAHIRI.
 
Mwezi wa nane nilimtumia mke wangu muda wa maongezi shilingi 11,000/ tigo. Ile pesa kwangu ilikata ila kwa mke wangu haikufika hadi leo. Niliwapigia tigo, walichonijibu ni kuwa mke wangu kapata salio ila ananidanganya. Kwa kweli ni bahati kwamba mke wangu tulikuwa wote pamoja hivyo simu yake nilikuwa nayo na hakuna salio liloingia. Niliwaza sana kwamba hivi ingekuwa mke wangu yuko mbali si ningesema ananidanganya na pengine tungegombana. Hadi leo hiyo pesa haijafika kwa wife wala kwangu haijafika.

tena hawa tigo ndio tiG0 kabisa...ukiwa na tatizo ukipiga customer care ukishajitambulisha tu, wahudumu wanakata simu na unalambwa tsh 200! na ukipiga tena wanalamba 200.

sipati picha kama mtu una tatizo halafu huna pesa kwenye simu! kwa mfano, mtu unaingiza salio limegoma na huna ki2 kwenye simu na huwezi kupiga customer care.

hizi kampuni za kifisadi ni shida.
 
Back
Top Bottom