Bullshit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,300
- 1,495
Wabembe ni kabila la watu ambao wanaishi katika nchi zote za Maziwa Makuu ya Afrika. Wanapatikana kwa wingi Fizi, Kongo, Jamhuri ya Kidemokrasia na wanaishi katika nchi tofauti kama: Kongo, Jamhuri ya Kidemokrasia, Burundi, Kongo (Brazzaville) na Mkoa wa Kigoma, Tanzania.
Lugha yao ni Kibembe.
Katika mwaka wa 1991 idadi ya Wabembe ilikuwa 252.000 (Kongo, Jamhuri ya Kidemokrasia). Ila kwa sasa idadi ya Wabembe haijulikani kikamilifu, kufuatana na kusambaratika kwa kabila hiyo kwenye sehemu zote duniani.
Miaka kadhaa iliyopita hadi hivi sasa kuanzia mwaka 2005, inazidi kuonyesha idadi ya Wabembe wengi katika mabara tofauti kama vile: Marekani, Australia, Ulaya ya Magharibi na Ulaya ya Kaskazini.
Pia idadi ya Wabembe wengine inaongezeka katika nchi za Afrika Kusini, Kenya, Zimbabwe, Malawi na Zambia.
Lugha yao ni Kibembe.
Katika mwaka wa 1991 idadi ya Wabembe ilikuwa 252.000 (Kongo, Jamhuri ya Kidemokrasia). Ila kwa sasa idadi ya Wabembe haijulikani kikamilifu, kufuatana na kusambaratika kwa kabila hiyo kwenye sehemu zote duniani.
Miaka kadhaa iliyopita hadi hivi sasa kuanzia mwaka 2005, inazidi kuonyesha idadi ya Wabembe wengi katika mabara tofauti kama vile: Marekani, Australia, Ulaya ya Magharibi na Ulaya ya Kaskazini.
Pia idadi ya Wabembe wengine inaongezeka katika nchi za Afrika Kusini, Kenya, Zimbabwe, Malawi na Zambia.