Jinsi Halotel Walivyoiharibu Royal Bundle

Jinsi Halotel Walivyoiharibu Royal Bundle

Nodus

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2011
Posts
349
Reaction score
931
Salaam,

Halotel walivyoanzisha Royal Bundle Offer ilikuwa Simple, Lipia kuanzia Elfu 10 Kwa mwezi utapata 2GB + 1.5GB high speed, kisha utaendelea na unlimited internet kwa speed iliopunguzwa.

Miezi ya mwanzo ilikuwa vizuri hata baada ya speed kubwa kuisha ulikuwa unapata transfer rate ya 60 - 70 KB/s ambayo ilikuwa usable, kazi ndogo ndogo na streaming kwa low quality unafanya bila matatizo, hii ilikuwa nzuri sana kwa sisi tunaopenda kusoma online....

Naona baada ya wadau kuongezeka, uchu ukazidi, wakapata tamaa ya wanaopata makampuni mengine na mwishowe kuiharibu. Wamepunguza speed MNO yani sasa ni PRACTICALLY UNUSABLE, Simple Images tu inazingua kuload?!? Imekuwa straight up UTAPELI. Maana nilikuwa tayari niweke kila mwezi 10,000 x 12 = 120,000/= yangu wangechukua kwa mwaka mzima, lakini kwa sababu ya uchu wao wateja wengi mimi nikiwemo tutawakimbia.

Ushauri wangu: Wekeni mambo vizuri wateja mtapata. Mkiwa fisi na kutaka kutapeli wateja wenu, mtaishiwa kulalamikiwa na kukimbiwa (kifupi mtakuwa mpo mpo kama Zantel). Kwa wale wanaotaka kujiunga Royal Bundle, Bora mtumie hiyo 10,000/= Kununulia 10GB kwenye mitandao mengine kuliko utapeli huu wa spidi za kobe aliyeumia baada ya GB3.5 kuisha.

Mchana mwema
 
Unachozungumza ni kweli hapa nilipo najuta kujiunga na hiki kifurushi cha kipumbavu cha royal bundle Mavi Yao @halotel
 
Wana kifurushi chao wanakiita MEGA bando unakinunua kupitia Halopesa, kipo vizuri Sana
 
Shukrani.Ngoja niwasikilizie na mimi naona buffering zinazidi wakati nime swap 4G au sababu nakaa bondeni Goms huku ?
 
Wana kifurushi chao wanakiita MEGA bando unakinunua kupitia Halopesa, kipo vizuri Sana
Na TTCL sai wana vifurushi ka hawa Halotel kwa T-Pesa ni vizuri sana...! Afu bundle ya TTCL inakaaga sio ka hawa wahuni...
 
Salaam,

Halotel walivyoanzisha Royal Bundle Offer ilikuwa Simple, Lipia kuanzia Elfu 10 Kwa mwezi utapata 2GB + 1.5GB high speed, kisha utaendelea na unlimited internet kwa speed iliopunguzwa.

Miezi ya mwanzo ilikuwa vizuri hata baada ya speed kubwa kuisha ulikuwa unapata transfer rate ya 60 - 70 KB/s ambayo ilikuwa usable, kazi ndogo ndogo na streaming kwa low quality unafanya bila matatizo, hii ilikuwa nzuri sana kwa sisi tunaopenda kusoma online....

Naona baada ya wadau kuongezeka, uchu ukazidi, wakapata tamaa ya wanaopata makampuni mengine na mwishowe kuiharibu. Wamepunguza speed MNO yani sasa ni PRACTICALLY UNUSABLE, Simple Images tu inazingua kuload?!? Imekuwa straight up UTAPELI. Maana nilikuwa tayari niweke kila mwezi 10,000 x 12 = 120,000/= yangu wangechukua kwa mwaka mzima, lakini kwa sababu ya uchu wao wateja wengi mimi nikiwemo tutawakimbia.

Ushauri wangu: Wekeni mambo vizuri wateja mtapata. Mkiwa fisi na kutaka kutapeli wateja wenu, mtaishiwa kulalamikiwa na kukimbiwa (kifupi mtakuwa mpo mpo kama Zantel). Kwa wale wanaotaka kujiunga Royal Bundle, Bora mtumie hiyo 10,000/= Kununulia 10GB kwenye mitandao mengine kuliko utapeli huu wa spidi za kobe aliyeumia baada ya GB3.5 kuisha.

Mchana mwema
Kweli Mkuu wanazingua sana jamaa,kuna muda nilidhani sehemu nilipo ndio kuna shida,nikaenda sehemu nyingine bado mtandao upo slow,hawafai siku hizi hawa.
 
Halotel wajinga sana nimejiunga juz kat bundle lao ushuz mtupu ***** bora ntafute lain ya TTCL
 
Mimi Napata GB 7 Week 1 Kwa Tshs 5000, Nikijiunga Kwa Mwez Natumia Elfu 20 Kwa Ajili Ya MB,

Na Sipati Usumbufu WowoteKwa Hao Halotel, Kama Unaweza Jiunge Hii 7GB Per Week @5000 Ipo Kwa Halopesa.

Nilichogundua UkisikiaKitu ChaOfaKina Matatizo
 
Mimi Napata GB 7 Week 1 Kwa Tshs 5000, Nikijiunga Kwa Mwez Natumia Elfu 20 Kwa Ajili Ya MB,

Na Sipati Usumbufu WowoteKwa Hao Halotel, Kama Unaweza Jiunge Hii 7GB Per Week @5000 Ipo Kwa Halopesa.

Nilichogundua UkisikiaKitu ChaOfaKina Matatizo
Hiki kifurushi ukiwa na laini ya Halotel 4G kipo open tu kwenye vifurushi vya internet haina haja ya Halopesa...!
 
Kwangu pia royal bundle imedrop speed sasa hivi ni 0.1mbps badala ya 0.5mbps.

Vodacom wanayo kasi internet pia ni unlimited sema 0.5mbps kwa 50,000 parefu sana.
 
Mimi Napata GB 7 Week 1 Kwa Tshs 5000, Nikijiunga Kwa Mwez Natumia Elfu 20 Kwa Ajili Ya MB,

Na Sipati Usumbufu WowoteKwa Hao Halotel, Kama Unaweza Jiunge Hii 7GB Per Week @5000 Ipo Kwa Halopesa.

Nilichogundua UkisikiaKitu ChaOfaKina Matatizo
hiki ndicho kifurushi chao poa kwa sasa...sema sio kila mtu anaweza kuspend 20k kila mwezi kwa internet pekee mzee.
hiyo royal ya 10k ndo ilikuwa kimbilio la wengi
 
mwanzoni nilihisi ni peke yangu....baaye nikadhani labda sababu wameanzisha 4G basi kwa laini za kawaida wanapunguza spidi ili watu wahame
 
Halotel wamenikifu vibaya sana,wakati nilikuwa mpiga debe wao hadi watu wakahisi nalipwa,bure kabisa hawa
 
Salaam,

Halotel walivyoanzisha Royal Bundle Offer ilikuwa Simple, Lipia kuanzia Elfu 10 Kwa mwezi utapata 2GB + 1.5GB high speed, kisha utaendelea na unlimited internet kwa speed iliopunguzwa.

Miezi ya mwanzo ilikuwa vizuri hata baada ya speed kubwa kuisha ulikuwa unapata transfer rate ya 60 - 70 KB/s ambayo ilikuwa usable, kazi ndogo ndogo na streaming kwa low quality unafanya bila matatizo, hii ilikuwa nzuri sana kwa sisi tunaopenda kusoma online....

Naona baada ya wadau kuongezeka, uchu ukazidi, wakapata tamaa ya wanaopata makampuni mengine na mwishowe kuiharibu. Wamepunguza speed MNO yani sasa ni PRACTICALLY UNUSABLE, Simple Images tu inazingua kuload?!? Imekuwa straight up UTAPELI. Maana nilikuwa tayari niweke kila mwezi 10,000 x 12 = 120,000/= yangu wangechukua kwa mwaka mzima, lakini kwa sababu ya uchu wao wateja wengi mimi nikiwemo tutawakimbia.

Ushauri wangu: Wekeni mambo vizuri wateja mtapata. Mkiwa fisi na kutaka kutapeli wateja wenu, mtaishiwa kulalamikiwa na kukimbiwa (kifupi mtakuwa mpo mpo kama Zantel). Kwa wale wanaotaka kujiunga Royal Bundle, Bora mtumie hiyo 10,000/= Kununulia 10GB kwenye mitandao mengine kuliko utapeli huu wa spidi za kobe aliyeumia baada ya GB3.5 kuisha.

Mchana mwema
Mimi pia nitawakimbia
 
Back
Top Bottom