Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,998
ni kweli kutoa ni moyo...ingawa wote wanayo!
Mzee Theory,
Heshima mbele ndugu yangu, mawazo yako ni mazuri tena sana, lakini JF is bigger than that, yaani hizo info,
Check this out, Mkulu Ditto, alipoua dereva wa dala dala, ilitoka hapa JF, in the next two hours, tulifanya kazi kubwa ya kuwafahamisha wakulu karibu 75% wa bongo, kupitia hii forum kuwa ni kweli na imetokea,
Usije shangaa kuwa hao nao wanakuaja kuchukua vitu vingine hapa, habari za hela za kampeni za Muungwana, na Iran zilikuwa hapa mwezi mmoja kabla gazeti la London, halijasema, I can go on and on,
I am sorry mkuu wangu, JF we are bigger than that, Mkuu Mahita, aliukuta mustakabali wake hapa kuhusu kupumzishwa kwake na Muungwana, kwa kushinikizwa na CC, hapa JF kwanza kabla hajasikia popote pengine,
Again, habari za Kahama, Al-Noor Kassoum, Mama Mkapa, Mama Maria, na Muungwana kukutana majuzi kwenye kuzindua kitabu cha Kassoum, hatukuziona kuwa muhimu ndio maana hatukuziweka hapa, tukaipasia forum moja huko pembeni, ndiko hao walikozichukua, I mean ni kweli kuna some info ambazo hao wakuu wanazo, lakini ni ndogo sana mkuu, na value less kulinganisha hapa JF,
hapa Giladi, kwa kilingala panaitwa Koko-banga na Koko Banga, yaani mwisho na mwanzo wa yote, waziri mmoja wa bongo aliyeshinikizwa kuchungulia hapa, majuzi alilalamika kwa wenziwe kuwa hapa ni addiction, sasa hata kazi inamshinda, maana nataka kuchungulia hapa kuna nini jipya, Tanzania nzima mkuu wangu, magazeti yameurifaaa mkataba wa Buzwagi hapa JF, what else do you want mkuu?
Breaking Newzzz, ziko hapa JF, otherwise sio Newzzz hizo! Wakuu tujifunze kuwa masikini jeuri, kizuri ni chetu tu kingine chochote kinanuka!
Ahsanteni!
asante mzee.. ndio maana tunataka kuonesha kuwa unaweza ukallipia lakini kusubiri hadi habari ziandikwe kwa kiingereza inachukua miezi.. wakati wao wanaripoti kuhusu shilingi Bilioni 10 za Karamagi, sisi hiyo mada hapa yaani sijui iko ukurasa wa ngapi... Wakati wao wanasubiri vipakuliwe mezani kule Tanzania, sisi tunavishuhudia vikipikwa hapa!! Kudos mzee..
NB: Nadhani ulimaanisha mzee Mahita siyo Mahundi...
Mkuu TheoryVile vile naweza kusema kuwa hii ilikuwa inachangiwa zaidi na ile vision yangu ya awali ya kutaka kuona JF inakuwa jaidi ya FORUM bali inakuwa ni ONLINE NEWSPAPER ambayo forum ni kama part yake.
No kwa maoni yangu binafsi sidhani kama niwazo zuri la kuanza kuchangisha watu hapa JF, kama wewe unataka hizo habari hapa unaweza kuomba watu wakuchangie ukazipata!
Au uliza watu wenye vipesa kidogo wanunue hizo habari na wakaziweka hapa badala ya kuanza kuchangisha watu hapa JF ili pesa ipatikane kulipia newsletters.
haya ni maoni yangu binafsi, uchangiaji na upatikanaji wa habari utakuwa tu kwa wale pesa ingawa unasahau kuwa JF inalenga pia watu walioko nyumbani na kipato cha watz wa kawaida huko ni dola 50 - 100 kwa mwezi mmoja!
isije ikaendeshwa kindugu kama chadema !
isije ikaendeshwa kindugu kama chadema !
binadamu wote ni ndugu zangu na afrika ni moja....
Una maana kama inavyoendeshwa serikali ya CCM?
its a good idea kuchangia lakini nyie mliopo ughaibuni kumbuka lifi lilivyo tight huku mascan, yaani mtu anajikusanya kweli kweli kupata buku moja ili aingie internet cafe kupata habari au kutoa duku duku lake kwenye JF sasa ikija hiyo la dola 10 sijui itakuwa kwa mwaka au mwezi naona wanachama watazidi kupumbua bila wao kupenda ila hali halisi itawalazimisha. anyway labda iwe hiari kuchangia ili isije kuleta gap btn those who haves and those who have not kama serikali yetu inavyofanya. Nimejaribu kutembelea hiyo web ya www.africaintelligence.com naona imejikita zaidi kufanya biashara ambalo siyo lengo letu hapa JF. anyway tusubiri maoni ya wengine.
Hata hivyo tatizo la kuchangia ni kuwa italazimisha watu kudisclose their identinty in a certain way na hivyo itaondoa utamu wa forum yenyewe!
Mzee Theory,
Heshima mbele ndugu yangu, mawazo yako ni mazuri tena sana, lakini JF is bigger than that, yaani hizo info,
Check this out, Mkulu Ditto, alipoua dereva wa dala dala, ilitoka hapa JF, in the next two hours, tulifanya kazi kubwa ya kuwafahamisha wakulu karibu 75% wa bongo, kupitia hii forum kuwa ni kweli na imetokea,
Usije shangaa kuwa hao nao wanakuaja kuchukua vitu vingine hapa, habari za hela za kampeni za Muungwana, na Iran zilikuwa hapa mwezi mmoja kabla gazeti la London, halijasema, I can go on and on,
I am sorry mkuu wangu, JF we are bigger than that, Mkuu Mahita, aliukuta mustakabali wake hapa kuhusu kupumzishwa kwake na Muungwana, kwa kushinikizwa na CC, hapa JF kwanza kabla hajasikia popote pengine,
Again, habari za Kahama, Al-Noor Kassoum, Mama Mkapa, Mama Maria, na Muungwana kukutana majuzi kwenye kuzindua kitabu cha Kassoum, hatukuziona kuwa muhimu ndio maana hatukuziweka hapa, tukaipasia forum moja huko pembeni, ndiko hao walikozichukua, I mean ni kweli kuna some info ambazo hao wakuu wanazo, lakini ni ndogo sana mkuu, na value less kulinganisha hapa JF,
hapa Giladi, kwa kilingala panaitwa Koko-banga na Koko Banga, yaani mwisho na mwanzo wa yote, waziri mmoja wa bongo aliyeshinikizwa kuchungulia hapa, majuzi alilalamika kwa wenziwe kuwa hapa ni addiction, sasa hata kazi inamshinda, maana nataka kuchungulia hapa kuna nini jipya, Tanzania nzima mkuu wangu, magazeti yameurifaaa mkataba wa Buzwagi hapa JF, what else do you want mkuu?
Breaking Newzzz, ziko hapa JF, otherwise sio Newzzz hizo! Wakuu tujifunze kuwa masikini jeuri, kizuri ni chetu tu kingine chochote kinanuka!
Ahsanteni!
anyway tuendelee ku brainstorm mwelekeo na mawazo zaidi
..hawa wanaoingia hapa bure na wako wengi ndio wanaoifanya forum iwe melting pot ya nguvu!
..sasa,kuchangia ni muhimu. kuwalazima watu kuchangia ni kitu kingine tofauti!kwani,wengine weshachangia kwa nyeti wanazozi-post hapa!