Wadau naomba kidogo mnisaidie kitaaluma kunikumbusha kwamba ni namba gani nikizibonyeza kwenye simu naweza kupata simu na ujumbe uliotumwa kwenye simu husika kwa kipindi flani?naomba msaada wenu wadau. asanteni sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.