Jinsi gani ya kuomba ruhusa kazini?

Jinsi gani ya kuomba ruhusa kazini?

Nipe namba ya simu nitakupigia huku nalia nataja jina lolote hata john kuwa amekufa na wewe unga tela anza kulia ,wakikuuliza wambie ni rafiki yako wa mtaani hivyo unaomba ukaweke mazingira mazuri ya msiba ,hapo utapewa si chini ya siku tatu


Ya kwanza kafanye usaili ,siku ya pili tafuta hata kibarua cha saidia fundi ili unitumie hela yangu ya kazi ,ni hennesy mbili nitakuwa sikudai
 
Nipe namba ya simu nitakupigia huku nalia nataja jina lolote hata john kuwa amekufa na wewe unga tela anza kulia ,wakikuuliza wambie ni rafiki yako wa mtaani hivyo unaomba ukaweke mazingira mazuri ya msiba ,hapo utapewa si chini ya siku tatu


Ya kwanza kafanye usaili ,siku ya pili tafuta hata kibarua cha saidia fundi ili unitumie hela yangu ya kazi ,ni hennesy mbili nitakuwa sikudai
Ila WATU 😀😀
 
Back
Top Bottom