Jinsi gani nitamueleza baba mkwe wangu ili niepukane na karaha za kelele zake za kupiga Mswaki?

Mchukue chemba ongea naye."Baba samahani naona kama kuna kitu unapata shida kidogo hasa wakati kupiga mswaki.Kwanza pole kwa shida hiyo ila cha pili nitaman kama naweza kufahamu tataizo nione tusaidiane vipi kulimaliza. Then baba kama kweli tatizo analo na anajua ni tatizo atakubia na kukiri hapo itakuwa rahisi.Ila anaweza asijue kama ana tatizo unalosema.

Hapo busara itabidi iongezeke kidogo ila bado huwez kushindwa ilimradi utakuwa polite
Mkuu, nakuhakikishia kuwa huyo mshua hana tatizo lolote, ni namna yake tu ya kupiga mswaki. Kuna watu kupiga mswaki ni kama vita! Mtu robo saa anapiga mswaki tu na kelele kama zote.
 
Wakuu habari zenu,

Natumai mpo powa na mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya maisha. Wakuu nina week sasa nimepokea ugeni toka mkoani,,ambao ni baba na mama wa mke wangu, ambao ni wakwe zangu. Mimi ndoa yangu ina kama miaka 4 hivi, lakini siku zote hizo sikuwahi kubahatika kuishi nao japo siku mbili wakwe zangu hao pamoja nyumbani kwangu.

Hivi juzi kuna Shemeji yangu alijifunguwa kwa operation ikabidi baba na mama yake wakaja mjini kumjulia hali, lakini kutokana na ufinyu wa sehemu ya kufikia ikabidi waongee na mke wangu kuhusu kukaa kwangu kwa muda, sababu nyumba yetu ni kubwa.

Walipokuja nikawakaribisha vzr sana, kama wakwe zangu,,hakuna shida yeyote kuwa pamoja nao. Siku ya kwanza kulala ndy tatizo limeanza kujitokeza. Baba mkwe anapiga mswaki mara tatu kwa siku,,na mbaya zaidi akipiga mswaki inakuwa ni kelele nyumba nzima, anapiga sana kelele, sijuwi mswaki wa aina gani anatumia.

Ni kelele kama anatapika,mara kama anakabwa,,,mara kupenga kamasi,,mara kukohoa hadi kubanja,,,mradi ni karaha tupu..hadi nyumba za jirani zinasikika. Akiamka yeye saa 11 alfajiri kwenda msikitini ni lazima apige mswaki, na nyumba nzima lazima iamke, ni kelele tupu, mradi kila mtu atatambuwa ni yeye yumo chooni.

Mchana na usiku baada ya kula ni lazima apige Mswaki tena, kelele na karaha zipo pale pale. Na tatizo sio baba mkwe kupiga Mswaki wakuu, bali tatizo ni kelele za kutapika au kama kukabwa koo au kupenga kamasi na kubanja, mwanzo nilidhani ana tatizo, nilipoongea na mke wangu ndiyo akanambiya hivyo ndivyo alivyo, hebu fikiria nyumba ya choo ndani halafu kunakuwa na karaha za kelele za kutapika au kukabwa koo, hivi wakuu kunalika hata embe humo ndani?

Wakuu hali ni tete sana,,nataka nipate mbinu ya kumueleza huyu mkwe, kwa anachokifanya sicho, tatizo nitaanzaje? Maana hawa wazee wanaweza wakaniachanisha na mke bado nampenda. Naweza nikamuingia hovyo ikawa nongwa.

Mke wangu yupo kimya sana, japokuwa na yeye ni muhanga wa kuamshwa kwa kelele za mswaki asubuhi na jioni.

Msaada wakuu, mbinu za kumvaa mkwe niepukane na kelele za mswaki asubuhi na jioni.
Nikikuuliza neno Msikiti limeingiaje utajibuje?
 
Mchukue chemba ongea naye."Baba samahani naona kama kuna kitu unapata shida kidogo hasa wakati kupiga mswaki.Kwanza pole kwa shida hiyo ila cha pili nitaman kama naweza kufahamu tataizo nione tusaidiane vipi kulimaliza. Then baba kama kweli tatizo analo na anajua ni tatizo atakubia na kukiri hapo itakuwa rahisi.Ila anaweza asijue kama ana tatizo unalosema.

Hapo busara itabidi iongezeke kidogo ila bado huwez kushindwa ilimradi utakuwa polite
Ushauri mzuri
 
Mnunulie mswaki mpya aachane na huo unaofika ndani ya tumbo hadi kutaka kumtapisha😜

Wakuu habari zenu,

Natumai mpo powa na mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya maisha. Wakuu nina week sasa nimepokea ugeni toka mkoani,,ambao ni baba na mama wa mke wangu, ambao ni wakwe zangu. Mimi ndoa yangu ina kama miaka 4 hivi, lakini siku zote hizo sikuwahi kubahatika kuishi nao japo siku mbili wakwe zangu hao pamoja nyumbani kwangu.

Hivi juzi kuna Shemeji yangu alijifunguwa kwa operation ikabidi baba na mama yake wakaja mjini kumjulia hali, lakini kutokana na ufinyu wa sehemu ya kufikia ikabidi waongee na mke wangu kuhusu kukaa kwangu kwa muda, sababu nyumba yetu ni kubwa.

Walipokuja nikawakaribisha vzr sana, kama wakwe zangu,,hakuna shida yeyote kuwa pamoja nao. Siku ya kwanza kulala ndy tatizo limeanza kujitokeza. Baba mkwe anapiga mswaki mara tatu kwa siku,,na mbaya zaidi akipiga mswaki inakuwa ni kelele nyumba nzima, anapiga sana kelele, sijuwi mswaki wa aina gani anatumia.

Ni kelele kama anatapika,mara kama anakabwa,,,mara kupenga kamasi,,mara kukohoa hadi kubanja,,,mradi ni karaha tupu..hadi nyumba za jirani zinasikika. Akiamka yeye saa 11 alfajiri kwenda msikitini ni lazima apige mswaki, na nyumba nzima lazima iamke, ni kelele tupu, mradi kila mtu atatambuwa ni yeye yumo chooni.

Mchana na usiku baada ya kula ni lazima apige Mswaki tena, kelele na karaha zipo pale pale. Na tatizo sio baba mkwe kupiga Mswaki wakuu, bali tatizo ni kelele za kutapika au kama kukabwa koo au kupenga kamasi na kubanja, mwanzo nilidhani ana tatizo, nilipoongea na mke wangu ndiyo akanambiya hivyo ndivyo alivyo, hebu fikiria nyumba ya choo ndani halafu kunakuwa na karaha za kelele za kutapika au kukabwa koo, hivi wakuu kunalika hata embe humo ndani?

Wakuu hali ni tete sana,,nataka nipate mbinu ya kumueleza huyu mkwe, kwa anachokifanya sicho, tatizo nitaanzaje? Maana hawa wazee wanaweza wakaniachanisha na mke bado nampenda. Naweza nikamuingia hovyo ikawa nongwa.

Mke wangu yupo kimya sana, japokuwa na yeye ni muhanga wa kuamshwa kwa kelele za mswaki asubuhi na jioni.

Msaada wakuu, mbinu za kumvaa mkwe niepukane na kelele za mswaki asubuhi na jioni.
 
wazee wakwetu tanga wanavopenda umwinyi akija kwako atajikoholesha mtaa mzima ujue kua yeye yupo wanazunguka mtaa wote wakiwa na msuli na mpaka watishie majirani. hio ndio njia yakuwazuia


Lakini wageni lazima waje kwako utawapeleka wapi?
 
Kama kwako Kuna Kuna bafu na choo cha nje leta fundi jidai unataka kufanya marekebisho kweny choo cha ndani alaf kifunge waambie watumie cha nje kwakua cha ndani kina marekebisho alaf we na mke wako mtumie cha chumban , ye akitapika huko nje hawez kukukera..
Ukijaribu kumwambia anakukera anavyo piga mswaki hapo umenunua ugomvi na familia nzima.
 
Mliokuwa mnasona topic za mbele kabla ya mwalimu tunaomba mtuambie mvua itanyesha Christmas ama?
 
Wapo wazee wa hivyo yaani hadi makohozi aweza tema koridoni, ungekuwa na vyumba vya nje ungewaweka tokea awali, sasa huwezi tena, labda ukawapangie hotelini wakae huko.
 
Wakuu habari zenu,

Natumai mpo powa na mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya maisha. Wakuu nina week sasa nimepokea ugeni toka mkoani,,ambao ni baba na mama wa mke wangu, ambao ni wakwe zangu. Mimi ndoa yangu ina kama miaka 4 hivi, lakini siku zote hizo sikuwahi kubahatika kuishi nao japo siku mbili wakwe zangu hao pamoja nyumbani kwangu.

Hivi juzi kuna Shemeji yangu alijifunguwa kwa operation ikabidi baba na mama yake wakaja mjini kumjulia hali, lakini kutokana na ufinyu wa sehemu ya kufikia ikabidi waongee na mke wangu kuhusu kukaa kwangu kwa muda, sababu nyumba yetu ni kubwa.

Walipokuja nikawakaribisha vzr sana, kama wakwe zangu,,hakuna shida yeyote kuwa pamoja nao. Siku ya kwanza kulala ndy tatizo limeanza kujitokeza. Baba mkwe anapiga mswaki mara tatu kwa siku,,na mbaya zaidi akipiga mswaki inakuwa ni kelele nyumba nzima, anapiga sana kelele, sijuwi mswaki wa aina gani anatumia.

Ni kelele kama anatapika,mara kama anakabwa,,,mara kupenga kamasi,,mara kukohoa hadi kubanja,,,mradi ni karaha tupu..hadi nyumba za jirani zinasikika. Akiamka yeye saa 11 alfajiri kwenda msikitini ni lazima apige mswaki, na nyumba nzima lazima iamke, ni kelele tupu, mradi kila mtu atatambuwa ni yeye yumo chooni.

Mchana na usiku baada ya kula ni lazima apige Mswaki tena, kelele na karaha zipo pale pale. Na tatizo sio baba mkwe kupiga Mswaki wakuu, bali tatizo ni kelele za kutapika au kama kukabwa koo au kupenga kamasi na kubanja, mwanzo nilidhani ana tatizo, nilipoongea na mke wangu ndiyo akanambiya hivyo ndivyo alivyo, hebu fikiria nyumba ya choo ndani halafu kunakuwa na karaha za kelele za kutapika au kukabwa koo, hivi wakuu kunalika hata embe humo ndani?

Wakuu hali ni tete sana,,nataka nipate mbinu ya kumueleza huyu mkwe, kwa anachokifanya sicho, tatizo nitaanzaje? Maana hawa wazee wanaweza wakaniachanisha na mke bado nampenda. Naweza nikamuingia hovyo ikawa nongwa.

Mke wangu yupo kimya sana, japokuwa na yeye ni muhanga wa kuamshwa kwa kelele za mswaki asubuhi na jioni.

Msaada wakuu, mbinu za kumvaa mkwe niepukane na kelele za mswaki asubuhi na jioni.
Nakushauri uwe mvumilivu,waache wakae na kuondoka kwa amani,sacrifice your joy for them ,naamini hawatakaa milele.
 
Back
Top Bottom