iCode
JF-Expert Member
- Oct 16, 2013
- 758
- 439
Habari za muda huu wakuu,
Naomba msaada wenu, nahitaji kuacha kitumia king'amuzi cha DStv kwa sababu ya kupandisha gharama zao kila siku, yaani hawatabiriki.
Naamini wengi tupo kwenye hii kadhia kwa sasa. Penye wengi pana mengi, karibuni tusaidiane alternatives.
Naomba msaada wenu, nahitaji kuacha kitumia king'amuzi cha DStv kwa sababu ya kupandisha gharama zao kila siku, yaani hawatabiriki.
Naamini wengi tupo kwenye hii kadhia kwa sasa. Penye wengi pana mengi, karibuni tusaidiane alternatives.