Ziggler
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 378
- 127
Habari wakuu
Nimepata tenda ya kreti za mayai (zaid ya mayai 9,000) kadhaa ya kienyeji nayotakiwa kusafirisha from Arusha to Dar.
1.Kwa jinsi mayai yalivyo fragile nilikua naomba kujua kutoka kwa wenye experience ni njia gani salama nayoweza kusafirisha huu mzigo kwa umbali huu bila uharibifu
2. Pia mabasi yetu ya mkoani haya huwa yanasafirisha mizigo ya aina hii?
Asante
Nimepata tenda ya kreti za mayai (zaid ya mayai 9,000) kadhaa ya kienyeji nayotakiwa kusafirisha from Arusha to Dar.
1.Kwa jinsi mayai yalivyo fragile nilikua naomba kujua kutoka kwa wenye experience ni njia gani salama nayoweza kusafirisha huu mzigo kwa umbali huu bila uharibifu
2. Pia mabasi yetu ya mkoani haya huwa yanasafirisha mizigo ya aina hii?
Asante