Jinsi gani naweza kusoma Open University?

babutozi

Member
Mar 13, 2021
5
15
Wana JF samahani naomba kujua namna ya kujiunga na open university na taratibu Huwa zipoje ikiwa Mimi ni mfanya kazi na mwajili wangu kagoma kunipa full time ili nikasome, na natamani kujiendeleza kielimu.

NB. Elimu yangu ni Form 4.

Nawasilisha kwenu, Asante.
 
Wana JF samahani naomba kujua namna ya kujiunga na open university na taratibu Huwa zipoje ikiwa Mimi ni mfanya kazi na mwajili wangu kagoma kunipa full time ili nikasome, na natamani kujiendeleza kielimu.

NB. Elimu yangu ni Form 4.

Nawasilisha kwenu, Asante.
kama elimu yako ni form four haina shida mkuu.
pale kuna course inaitwa foundation. hii itakufanya uwe na sifa za kusoma degree ukimaliza na kufaulu
course hii inasomwa na wale ambao hawajamaliza form 5-6.
sisi mfumo wetu wa kujiunga na vyuo vikuu unataka lazima umalize form 5-6 ndiyo maana ni vigumu hata kwa wanafunzi kutoka nchi nyingine zisizo na hiyo mifumo
asante
 
kama elimu yako ni form four haina shida mkuu.
pale kuna course inaitwa foundation. hii itakufanya uwe na sifa za kusoma degree ukimaliza na kufaulu
course hii inasomwa na wale ambao hawajamaliza form 5-6.
sisi mfumo wetu wa kujiunga na vyuo vikuu unataka lazima umalize form 5-6 ndiyo maana ni vigumu hata kwa wanafunzi kutoka nchi nyingine zisizo na hiyo mifumo
asante
Njia sahihi kabisa
 
kama elimu yako ni form four haina shida mkuu.
pale kuna course inaitwa foundation. hii itakufanya uwe na sifa za kusoma degree ukimaliza na kufaulu
course hii inasomwa na wale ambao hawajamaliza form 5-6.
sisi mfumo wetu wa kujiunga na vyuo vikuu unataka lazima umalize form 5-6 ndiyo maana ni vigumu hata kwa wanafunzi kutoka nchi nyingine zisizo na hiyo mifumo
asante
Mkuu mkuu mfumo wa foundation course nafikiri ni kwa waliofail form 6 na co kwa form 4. Sema huyo ataweza kusoma certificate au diploma ila itadepend anatakakusoma nn?
 
Wana JF samahani naomba kujua namna ya kujiunga na open university na taratibu Huwa zipoje ikiwa Mimi ni mfanya kazi na mwajili wangu kagoma kunipa full time ili nikasome, na natamani kujiendeleza kielimu.

NB. Elimu yangu ni Form 4.

Nawasilisha kwenu, Asante.
Mkuu kwanza ungesema unataka kusoma nini?
 
Mkuu mkuu mfumo wa foundation course nafikiri ni kwa waliofail form 6 na co kwa form 4. Sema huyo ataweza kusoma certificate au diploma ila itadepend anatakakusoma nn?
Inawezekana. Ila namjua mwalimu mmoja wa grade A alipitia hii njia sasa yupo degree
 
Inawezekana. Ila namjua mwalimu mmoja wa grade A alipitia hii njia sasa yupo degree
Nichofahamu kama ulifail form 6 unapiga foundation course then ukifaulu kuanzia GPA ya 3 unakuwa unavigezo sawa na alifaulu form 6 hvyo unarusiwa kusoma chuo chochote tanzania
 
Vyeti vyangu vinanikera nikiviangalia, Mimi nataka risiti tu kabisa. Vipi ukirisiti halafu nikafeli zaidi kinatumiga cheti kipi?
Kwenye kurisiti kinatumika kile ulichofaulu vizuri wala usiwe na shaka.
Lakini ukitaka kurisiti pia Amini kwamba unaweza usiwaze kufeli mkuu
 
kama elimu yako ni form four haina shida mkuu.
pale kuna course inaitwa foundation. hii itakufanya uwe na sifa za kusoma degree ukimaliza na kufaulu
course hii inasomwa na wale ambao hawajamaliza form 5-6.
sisi mfumo wetu wa kujiunga na vyuo vikuu unataka lazima umalize form 5-6 ndiyo maana ni vigumu hata kwa wanafunzi kutoka nchi nyingine zisizo na hiyo mifumo
asante
ACHA KUMPOTOSHA, NI WAL E WALIOMAIZA FORM 6, WAKAPUNUKIWA SIFA , NA SI WALIOFELI WALA WASIOMALIZA, NENDA KASOME CIRTIFICATE KWA NJIA YA ONLINE
 
Vyeti vyangu vinanikera nikiviangalia, Mimi nataka risiti tu kabisa. Vipi ukirisiti halafu nikafeli zaidi kinatumiga cheti kipi?
Kama una D 4 achana na maswala ya kurisiti utapoteza muda bure nenda open piga diploma yako huku unapiga mishe zako... kwa somo ada kwa unit 1 ni 40000/= na unalipa kidogo kidogo.

Nb: Kuna baadhi ya program utaweza kusoma diploma kwa D nne ila kuna baadhi zitahitaji uanze na certificate kwanza
 
Kama una D 4 achana na maswala ya kurisiti utapoteza muda bure nenda open piga diploma yako huku unapiga mishe zako... kwa somo ada kwa unit 1 ni 40000/= na unalipa kidogo kidogo.

Nb: Kuna baadhi ya program utaweza kusoma diploma kwa D nne ila kuna baadhi zitahitaji uanze na certificate kwanza
Na ada za open kwa kozi za masters je? Ni bei hiyo hiyo uliotaja?
 
Kama una D 4 achana na maswala ya kurisiti utapoteza muda bure nenda open piga diploma yako huku unapiga mishe zako... kwa somo ada kwa unit 1 ni 40000/= na unalipa kidogo kidogo.

Nb: Kuna baadhi ya program utaweza kusoma diploma kwa D nne ila kuna baadhi zitahitaji uanze na certificate kwanza
O'level cheti kiko poa, Cheti changu Cha form VI ndo kiko hovyo ndo nayotaka ku_reseat, sitaki diploma wala certificate maana nilisoma diploma zile za NECTA kifupi hata sikukaa chuoni kusoma kusoma bali nilienda tu kufanya mtihani nikahitimu badae nikaajiriwa shida GPA nlopata ni 2.2 Sasa kwa hiyo GPA unajiendelezaje?
 
O'level cheti kiko poa, Cheti changu Cha form VI ndo kiko hovyo ndo nayotaka ku_reseat, sitaki diploma wala certificate maana nilisoma diploma zile za NECTA kifupi hata sikukaa chuoni kusoma kusoma bali nilienda tu kufanya mtihani nikahitimu badae nikaajiriwa shida GPA nlopata ni 2.2 Sasa kwa hiyo GPA unajiendelezaje?
Ah kuna vyuo wanachukua hiyo mkuu. Haya mambo sikuizi ni biashara
 
Wana JF samahani naomba kujua namna ya kujiunga na open university na taratibu Huwa zipoje ikiwa Mimi ni mfanya kazi na mwajili wangu kagoma kunipa full time ili nikasome, na natamani kujiendeleza kielimu.

NB. Elimu yangu ni Form 4.

Nawasilisha kwenu, Asante.
Kabla ya kuanza kozi itakupasa uwe na android ama pc ukiwa na pc ni vzr zaid maana itakusaidia pia kuandika assigment ama kwenye course ya ICT.

Pili unaweza kujiunga kwa online kupitia website yao ame kwenda tawi lolote la open ulilokaribu nalo ili ufanye usajili. Open kunakuwa na intake ya aprili na november....kuna kipind zilikuwa intake nne lkn kwasasa naona hzo mbili ndio zinafanya vzr

Tatu kufanikiwa kujinga na kulipa ada kulingana na maelezekezo utakayopewa kipindi cha orientation utafunguliwa account mbili kwenye website yao..
Moja itatumika kuweka taarifazako za academic malipo nk
Yapili itatumika kwa ajili ya online lecture mtakazo kuwa mkifundishwa...

Kuhusu mitihani
Open kuna vipind 4 vya kufanya mitihani
February,april, june, sept/ november,
Mwanafunzi utachagua ufanye lini mtihani kulingana na ulivyojiandaa

Lkn pia itakupasa kufanya online test au assigment ama pen and paper test ambzo znachukua 30% na annual exam 70%
Jumla ya matokeo yako yatachangiwa na 30% ya test na 70% ya annual. Pia hutaweza kufanya annual exam km hujafanya test.
Kumbuka open pia kuna kusap na kudisco pia

Chuo hiki kinatambulika na NACTE pamoja na TCU na nichuo cha serikali

Hao ni machache kwa ufupi
 
Back
Top Bottom