Tunaosoma Open University of Tanzania tukukutane

marehem x

JF-Expert Member
Dec 28, 2022
515
786
Bi kupoteza muda.

Mimi ni mgeni hapa wakuu nimecheki haraka haraka sioni thread maalumu ya OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA THREAD.

Nataka kujiunga nisome stashahada ya uzamili na nataka panapo uzima niimalize kwa uharaka na iwe kama upepo wa kisulisuli. Sijawa mwanafunzi bado ila uanafunzi unaanzia pale unapoweka nia, nataa nianze kusoma naomba wale waliopitia humo, wanaosoma tukutane hapa.

Msaada wangu namba moja ni namna ipi ya kuisoma hii shahada angu ya Pili, PGD kwa uahara sana na mwaka ujao iishe kabisa.

natangaliza shukrani kwa wana jf waasisi, moderators, wanachama, wakongwe, viongozi wa serikali yangu tukufu najua wako humu na wanafunzi wenzangu wa OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA.

Mods usisite kuunganisha uzi huu ikiwa upo unaendelea.
asante
 
Bi kupoteza muda.

Mimi ni mgeni hapa wakuu nimecheki haraka haraka sioni thread maalumu ya OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA THREAD.

Nataka kujiunga nisome stashahada ya uzamili na nataka panapo uzima niimalize kwa uharaka na iwe kama upepo wa kisulisuli. Sijawa mwanafunzi bado ila uanafunzi unaanzia pale unapoweka nia, nataa nianze kusoma naomba wale waliopitia humo, wanaosoma tukutane hapa.

Msaada wangu namba moja ni namna ipi ya kuisoma hii shahada angu ya Pili, PGD kwa uahara sana na mwaka ujao iishe kabisa.

natangaliza shukrani kwa wana jf waasisi, moderators, wanachama, wakongwe, viongozi wa serikali yangu tukufu najua wako humu na wanafunzi wenzangu wa OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA.

Mods usisite kuunganisha uzi huu ikiwa upo unaendelea.
asante
Hongera sana kwa nia nzuri. Nami nipo kwenye line hiyo hiyo kama yako. Nilianza kufanya online application lakini nikakwama njiani hasa ku upload picha. Lakini nikipata msaada wa akaunti ya malipo kwa ajili ya application fee nitashukuru sana. Kama yupo mwenye uelewa wa awali ktk usomaji wa open tupeane tips. Nategemea kuanza mdogo mdogo PhD in Education.
 
Hongera sana kwa nia nzuri. Nami nipo kwenye line hiyo hiyo kama yako. Nilianza kufanya online application lakini nikakwama njiani hasa ku upload picha. Lakini nikipata msaada wa akaunti ya malipo kwa ajili ya application fee nitashukuru sana. Kama yupo mwenye uelewa wa awali ktk usomaji wa open tupeane tips. Nategemea kuanza mdogo mdogo PhD in Education.
UKIINGIA PALE UNAPEWA CONTROL NUMBER UNALIPIA 30,000.

BAADA YA HAPO KUNA REG FEE
 
Masters open wanasomaje
Open University wanatoa elimu kwa njia ya open and distance learning/elimu masafa
si lazima Mwanafunzi akae darasani kufundishwa/kuelekezwa lakini Kuna muda maalum(face to face sessions)za Mwanafunzi kukaa darasani na lecturers,pia unaweza kufundishwa private kwa makubaliano ya malipo nje ya tuition fee, discussion na wenzako
Materials unapata kwa mfumo wa Moodle system (maalum kwa ajili ya kusomea) hivyo unaweza kupakua na kuhifadhia

Hata ukiwa mbali,nje ya nchi unaweza kusoma Open university,utaingia darasani kupitia zoom n.k .. open university inaushirika na vyuo vingi nje ya nchi ikiwa pamoja na vyuo huria Karibu Dunia nzima .
 
Ni wazi kwamba, Vyuo vikuu vyetu vimepiga hatua kubwa tangu kuanzishwa kwake, ikiwemo ongezeko la kozi mbalimbali na matawi/vituo vya kutolea huduma. OUT kimeendelea kuwa msaada hususan kwa watu wasio na nafasi ya kusoma Full Time. Haya yote na mengine mengi ni ya kupongezwa sana.

Hata hivyo, baadhi ya wadau wa vyuo ikiwemo OUT wanakumbana na changamoto wanapohitaji huduma upande wa administration. Kwa ujumla kuna uzito wa kushughulikia mambo na kutoa mrejesho. Kwa maoni yangu; mtu anapojiunga na Tertiary Education haipaswi ajifunze taaluma pekee bali mazingira na uendeshaji wa vyuo hivyo iwe ni mfano kwa kuonyesha viwango vya ustaarabu, mpangilio, umakini, kutokuwepo urasimu n.k ili kujenga jamii bora zaidi ya kitanzania.

Website za vyuo na 'online interfaces' zingine zinaweza kuwa za msaada zaidi kwa kuziongezea functions/links/apps na ku-limit 'human contact' kwa masuala yasiyo na ulazima kuonana na mtu. Pia zinaweza kusaidia kujua issues zilizoshughulikiwa zipo hatua gani. Bahati nzuri zipo teknolojia rahisi za kisasa kufanya haya yote.
Vyuo vyenye matawi mikoani ikiwemo OUT waimarishe uratibu na mpangilio wa shughuli za kitaaluma kuanzia Application, supervision, face to face sessions, reading spaces, n.k. Waboreshe pia vituo vyao vya mikoani viendane na hadhi ya elimu ya juu. Endapo mifumo hii inayopendekezwa tayari ipo, nashauri vyuo vikague ufanisi wake.

Ninaamini Serikali ina maono ya kuendelea kuimarisha vyuo vyetu vya elimu ya juu vifikie ushindani wa kimataifa kwa kutoa wasomi wenye maono ya mbali na kuchangia Uchumi Endelevu.
 
Open University wanatoa elimu kwa njia ya open and distance learning/elimu masafa
si lazima Mwanafunzi akae darasani kufundishwa/kuelekezwa lakini Kuna muda maalum(face to face sessions)za Mwanafunzi kukaa darasani na lecturers,pia unaweza kufundishwa private kwa makubaliano ya malipo nje ya tuition fee, discussion na wenzako
Materials unapata kwa mfumo wa Moodle system (maalum kwa ajili ya kusomea) hivyo unaweza kupakua na kuhifadhia

Hata ukiwa mbali,nje ya nchi unaweza kusoma Open university,utaingia darasani kupitia zoom n.k .. open university inaushirika na vyuo vingi nje ya nchi ikiwa pamoja na vyuo huria Karibu Dunia nzima .
Ila mitihani ya mwisho wa mwaka inabidi uhudhurie physically.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom