Mohamedy cadinaly
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,449
- 2,276
Kwa masters ada ni 100,000/= kwa unit kama somo lina unit 2 utalipia 200,000/=Na ada za open kwa kozi za masters je? Ni bei hiyo hiyo uliotaja?
Kwa masters ada ni 100,000/= kwa unit kama somo lina unit 2 utalipia 200,000/=Na ada za open kwa kozi za masters je? Ni bei hiyo hiyo uliotaja?
Mkuu unasifazote za kupiga foundation...Nenda open kapige foundation course ukitusua unapiga zako bachelor ni 1 yr tuO'level cheti kiko poa, Cheti changu Cha form VI ndo kiko hovyo ndo nayotaka ku_reseat, sitaki diploma wala certificate maana nilisoma diploma zile za NECTA kifupi hata sikukaa chuoni kusoma kusoma bali nilienda tu kufanya mtihani nikahitimu badae nikaajiriwa shida GPA nlopata ni 2.2 Sasa kwa hiyo GPA unajiendelezaje?
Mkuu hakuna chuo kinachochukua GPA ya 2. Zamaini ilkuwa ni GPA ya 2.7 ila miaka hv karibuni wanataka GPA ya 3. Hapo alternative ni foundation course tuAh kuna vyuo wanachukua hiyo mkuu. Haya mambo sikuizi ni biashara
Ada ya hiyo foundation ni sh?Mkuu hakuna chuo kinachochukua GPA ya 2. Zamaini ilkuwa ni GPA ya 2.7 ila miaka hv karibuni wanataka GPA ya 3. Hapo alternative ni foundation course tu
Ada ya foundation kwa kweli sina uhakika ila haizid 40,000/= kwa somo na ni almost masomo 6 nafikiri ila kwa uhakika zaid tembelea tawi lolote lililokaribu na wwAda ya hiyo foundation ni sh?
kama elimu yako ni form four haina shida mkuu.
pale kuna course inaitwa foundation. hii itakufanya uwe na sifa za kusoma degree ukimaliza na kufaulu
course hii inasomwa na wale ambao hawajamaliza form 5-6.
sisi mfumo wetu wa kujiunga na vyuo vikuu unataka lazima umalize form 5-6 ndiyo maana ni vigumu hata kwa wanafunzi kutoka nchi nyingine zisizo na hiyo mifumo
asante
Na gharama za ku reseat kidato Cha sita Ni sh?Ada ya foundation kwa kweli sina uhakika ila haizid 40,000/= kwa somo na ni almost masomo 6 nafikiri ila kwa uhakika zaid tembelea tawi lolote lililokaribu na ww
Gharama za kurisiti sijui....ila pia usiangalie sna maswala ya gharama... kwa ushauri wangu kurisiti ni kupoteza muda!!! Uwezekano wakutusua foundation ni mkubwa zaid kuliko kurisitiNa gharama za ku reseat kidato Cha sita Ni sh?
Mkuu umeeleza vyema sana hapa. Umeweka vitu clear kabisa.Kabla ya kuanza kozi itakupasa uwe na android ama pc ukiwa na pc ni vzr zaid maana itakusaidia pia kuandika assigment ama kwenye course ya ICT.
Pili unaweza kujiunga kwa online kupitia website yao ame kwenda tawi lolote la open ulilokaribu nalo ili ufanye usajili. Open kunakuwa na intake ya aprili na november....kuna kipind zilikuwa intake nne lkn kwasasa naona hzo mbili ndio zinafanya vzr
Tatu kufanikiwa kujinga na kulipa ada kulingana na maelezekezo utakayopewa kipindi cha orientation utafunguliwa account mbili kwenye website yao..
Moja itatumika kuweka taarifazako za academic malipo nk
Yapili itatumika kwa ajili ya online lecture mtakazo kuwa mkifundishwa...
Kuhusu mitihani
Open kuna vipind 4 vya kufanya mitihani
February,april, june, sept/ november,
Mwanafunzi utachagua ufanye lini mtihani kulingana na ulivyojiandaa
Lkn pia itakupasa kufanya online test au assigment ama pen and paper test ambzo znachukua 30% na annual exam 70%
Jumla ya matokeo yako yatachangiwa na 30% ya test na 70% ya annual. Pia hutaweza kufanya annual exam km hujafanya test.
Kumbuka open pia kuna kusap na kudisco pia
Chuo hiki kinatambulika na NACTE pamoja na TCU na nichuo cha serikali
Hao ni machache kwa ufupi
Kaka no hv hiyo foundation aneyesoma ni yule aliyemaliza form six mwenye kuanzia matokeo ya III ya 14( Three ya kumi na nne )kama elimu yako ni form four haina shida mkuu.
pale kuna course inaitwa foundation. hii itakufanya uwe na sifa za kusoma degree ukimaliza na kufaulu
course hii inasomwa na wale ambao hawajamaliza form 5-6.
sisi mfumo wetu wa kujiunga na vyuo vikuu unataka lazima umalize form 5-6 ndiyo maana ni vigumu hata kwa wanafunzi kutoka nchi nyingine zisizo na hiyo mifumo
asante
Bachelor upate ndan ya mwaka?Mkuu unasifazote za kupiga foundation...Nenda open kapige foundation course ukitusua unapiga zako bachelor ni 1 yr tu
Hata UDSM?Nichofahamu kama ulifail form 6 unapiga foundation course then ukifaulu kuanzia GPA ya 3 unakuwa unavigezo sawa na alifaulu form 6 hvyo unarusiwa kusoma chuo chochote tanzania
Nje ya madaMkuu umeeleza vyema sana hapa. Umeweka vitu clear kabisa.
Emb ngoja na mie nkasome bachelor nyingine ya uhasibu, daah, nmechoka kupiga chaki aisee. Hatari sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bachelor 1year?Mkuu unasifazote za kupiga foundation...Nenda open kapige foundation course ukitusua unapiga zako bachelor ni 1 yr tu
Miaka 45 ndio umri wa kikomo kuajiriwa serikalini.Nje ya mada
Limit ya mtu kuajiriwa gvttakuwa asivuke miaka mingapi
Asante mkuuMiaka 45 ndio umri wa kikomo kuajiriwa serikalini.
Kigezo ni ili ufanye miaka 15 au 10 ili uweze kupenshenika.
Si kweli kiongozi,hiyo foundation program haiwahusu wanafunzi wenye elimu ya kidato cha 4,inawahusu wanafunzi wenye elimu ya kidato cha sita,wenye principle pass moja na subsidiary,ambao hawawezi kusoma degree moja kwa moja,na wanafunzi waliosoma diploma wenye GPA below 2.9,ambao hawawezi kupata udahili moja kwa moja kusoma degree! Makundi hayo mawili tu ndo yanayoweza kusoma hiyo foundation program,huyo wa form four aanze na cheti then diploma,kama atapata GPA 3.0-5.0,atapata fursa ya kusoma degree moja kwa moja,kama atapata GPA ya 2.9 kushuka chini itambidi asome sasa hiyo foundation program.kama elimu yako ni form four haina shida mkuu.
pale kuna course inaitwa foundation. hii itakufanya uwe na sifa za kusoma degree ukimaliza na kufaulu
course hii inasomwa na wale ambao hawajamaliza form 5-6.
sisi mfumo wetu wa kujiunga na vyuo vikuu unataka lazima umalize form 5-6 ndiyo maana ni vigumu hata kwa wanafunzi kutoka nchi nyingine zisizo na hiyo mifumo
asante
45 years ukizidi unaajiriwa kwa mkataba (bila mafao ya uzeeni- nonpensionable)Nje ya mada
Limit ya mtu kuajiriwa gvttakuwa asivuke miaka mingapi
Nlikuwa namaanisha 1 yr ya foundation course sio bachelorBachelor upate ndan ya mwaka?
acha uongo mkuu
Tafuta guideline ya TCU ya mwaka jana uangalie criteria qualifications za kusoma university tanzania utakiona hicho kipengele cha foundation course!!!Hata UDSM?